Wapi pameandikwa kupinga kila kitu,Kwani yeye amekatazwa kuwa Chawa?
Harafu hii mentality ya kipumbavu imetoka wapi kwamba kuwa kiongozi au mpinzani mzuri lazima uwe unakosoa na kupinga kila kitu?
Mwisho anaefanya vizuri ndio husifiwa,na ni upumbavu kudhani kila anaemsifia kiongozi ni Chawa.
Mkuu naweza ku justify kwamba Chawa waliasisiwa awamunyatano...Chawa waliasisiwa bavicha kwa jina la Makarai
Kimaro has a Point, ila the fact that Miaka michache nyuma alikuwa Chawa wa Mwendakuzimu Jiwe, inamuondolea udhu wa kusema anayoyasema.Mchungaji Kimaro wa KKKT Kijitonyama amesema taifa letu Chawa wamejaa kila kona na kuwapofusha macho viongozi wetu.
Dr Kimaro amesema Chawa wako kila mahali kuanzia kwenye vyama vya siasa hadi makanisani
Mchungaji Kimaro anasema Kiongozi makini huwapenda wakosoaji kwa sababu wanapomueleza Ukweli wanamfanya ajirekebishe na kujijenga zaidi
Lakin Wabunge na Mawaziri wengi huwapenda Chawa kwa sababu wanapenda kudanganywa
Mungu wa mbinguni awabariki nyote
Nani alisifia Sana.Wapi pameandikwa kupinga kila kitu,
Awamu ya tano ilipofunga maduka ya fedha za kigeni, kuzuia safari nje, mlisifia sana,
Imekuja ya mama samia kuanza safari za nje mmesifia nchi inafunguka, huoni huu ndo uchawa anaosema kimaro, sifia sifia ya kujali matumbo, Akili zimehamia tumboni ubongo haufanyi kazi.
Wewe hujambo?Wewe chawa pro max hujambo?
HapanaKwani na ww chawa?
Ujinga tuuWapi pameandikwa "kukosoa na kupinga kila kitu"!!???
Pole sana kwa kuguswa.
Pole sana kwa uzuzu.
Amekugusa wapi?Mchungaji Kimaro amekugusa?
Vyote kwa pamojaHuyo ni mchungaji au mwanasiasa
ChawaniAmekugusa wapi?
Ashike moja asije akawapoteza kondooVyote kwa pamoja
Mchungaji kachokoza nyuki. Chawa wenyewe wameamka, cheza na ujumbe unaombewa kabla ya kurushwa!! Lazima uwachomoe mlimojificha gizani.Afanye kazi yake ya kueneza injili
Mchungaji anatakiwa akumbuke kuwa kitaa ni kigumu sana ndio maana hata wazee kama akina Wasira hawataki kustaafu siasa, wanakaba hadi dakika ya mwisho.Mchungaji Kimaro wa KKKT Kijitonyama amesema taifa letu Chawa wamejaa kila kona na kuwapofusha macho viongozi wetu.
Dr Kimaro amesema Chawa wako kila mahali kuanzia kwenye vyama vya siasa hadi makanisani
Mchungaji Kimaro anasema Kiongozi makini huwapenda wakosoaji kwa sababu wanapomueleza Ukweli wanamfanya ajirekebishe na kujijenga zaidi
Lakin Wabunge na Mawaziri wengi huwapenda Chawa kwa sababu wanapenda kudanganywa
Mungu wa mbinguni awabariki nyote
Ni Chawa kila konaMchungaji anatakiwa akumbuke kuwa kitaa ni kigumu sana ndio maana hata wazee kama akina Wasira hawataki kustaafu siasa, wanakaba hadi dakika ya mwisho.
Nyerere aliwaita chawa kama malaya; na alijionea toka enzi akiwapo kuna majitu yalikuwa na tabia za kimalaya-malaya ili yapate kitu kidogo.
Kama kuna mahali taifa hili limekwama ni wakubwa kuwasikiza chawa, imagine hata wafanyabishara nao wamezungukwa na chawa, kuwafikia bila endorsement ya chawa, hutoboi.
Wachungaji wazidishe maombi ili roho wachafu wanaotumia chawa watoke ili viongozi wafanya maamuzi kwa kumtanguliza Mungu na maslahi ya watu wanaowaongoza.
Akina pambaluiHii habari waione akina nani kwenye jalada?
Chawa wa promax mwimba mapambioKwani yeye amekatazwa kuwa Chawa?
Harafu hii mentality ya kipumbavu imetoka wapi kwamba kuwa kiongozi au mpinzani mzuri lazima uwe unakosoa na kupinga kila kitu?
Mwisho anaefanya vizuri ndio husifiwa,na ni upumbavu kudhani kila anaemsifia kiongozi ni Chawa.
Acha uchawa wewe kimaro alimchana Jiwe Ikulu wakati alipowaalika viongozi wa Dini akamwambie awape wengine nafasi ya kufanya siasa Nchi ipumue ,Kimaro aache unafiki, ametoka kwenye misingi ya neno la Mungu sasa anaangalia popularity. Enzi za Mwendazake alikua akisifia kila kitu