Mchungaji Kimaro: Viongozi makini hawahitaji Chawa wa kuwasifiasifia bali wanawapenda wakosoaji wanaowaambia ukweli ili wajiimarishe

Mchungaji Kimaro: Viongozi makini hawahitaji Chawa wa kuwasifiasifia bali wanawapenda wakosoaji wanaowaambia ukweli ili wajiimarishe

Kwani yeye amekatazwa kuwa Chawa?

Harafu hii mentality ya kipumbavu imetoka wapi kwamba kuwa kiongozi au mpinzani mzuri lazima uwe unakosoa na kupinga kila kitu?

Mwisho anaefanya vizuri ndio husifiwa,na ni upumbavu kudhani kila anaemsifia kiongozi ni Chawa.
Wapi pameandikwa kupinga kila kitu,
Awamu ya tano ilipofunga maduka ya fedha za kigeni, kuzuia safari nje, mlisifia sana,
Imekuja ya mama samia kuanza safari za nje mmesifia nchi inafunguka, huoni huu ndo uchawa anaosema kimaro, sifia sifia ya kujali matumbo, Akili zimehamia tumboni ubongo haufanyi kazi.
 
Pastor has had his observation and he isn't a horizon by his opinion or rather caution, basically we are all entitled to the same right to air our opinions. I truly thank you this Hon.pastor for fronting this. Aikambe 🙏🙏🙏
 
Mchungaji Kimaro wa KKKT Kijitonyama amesema taifa letu Chawa wamejaa kila kona na kuwapofusha macho viongozi wetu.

Dr Kimaro amesema Chawa wako kila mahali kuanzia kwenye vyama vya siasa hadi makanisani

Mchungaji Kimaro anasema Kiongozi makini huwapenda wakosoaji kwa sababu wanapomueleza Ukweli wanamfanya ajirekebishe na kujijenga zaidi

Lakin Wabunge na Mawaziri wengi huwapenda Chawa kwa sababu wanapenda kudanganywa

Mungu wa mbinguni awabariki nyote
Kimaro has a Point, ila the fact that Miaka michache nyuma alikuwa Chawa wa Mwendakuzimu Jiwe, inamuondolea udhu wa kusema anayoyasema.
 
Wapi pameandikwa kupinga kila kitu,
Awamu ya tano ilipofunga maduka ya fedha za kigeni, kuzuia safari nje, mlisifia sana,
Imekuja ya mama samia kuanza safari za nje mmesifia nchi inafunguka, huoni huu ndo uchawa anaosema kimaro, sifia sifia ya kujali matumbo, Akili zimehamia tumboni ubongo haufanyi kazi.
Nani alisifia Sana.
 
Mchungaji Kimaro wa KKKT Kijitonyama amesema taifa letu Chawa wamejaa kila kona na kuwapofusha macho viongozi wetu.

Dr Kimaro amesema Chawa wako kila mahali kuanzia kwenye vyama vya siasa hadi makanisani

Mchungaji Kimaro anasema Kiongozi makini huwapenda wakosoaji kwa sababu wanapomueleza Ukweli wanamfanya ajirekebishe na kujijenga zaidi

Lakin Wabunge na Mawaziri wengi huwapenda Chawa kwa sababu wanapenda kudanganywa

Mungu wa mbinguni awabariki nyote
Mchungaji anatakiwa akumbuke kuwa kitaa ni kigumu sana ndio maana hata wazee kama akina Wasira hawataki kustaafu siasa, wanakaba hadi dakika ya mwisho.
Nyerere aliwaita chawa kama malaya; na alijionea toka enzi akiwapo kuna majitu yalikuwa na tabia za kimalaya-malaya ili yapate kitu kidogo.

Kama kuna mahali taifa hili limekwama ni wakubwa kuwasikiza chawa, imagine hata wafanyabishara nao wamezungukwa na chawa, kuwafikia bila endorsement ya chawa, hutoboi.

Wachungaji wazidishe maombi ili roho wachafu wanaotumia chawa watoke ili viongozi wafanya maamuzi kwa kumtanguliza Mungu na maslahi ya watu wanaowaongoza.
 
Mchungaji anatakiwa akumbuke kuwa kitaa ni kigumu sana ndio maana hata wazee kama akina Wasira hawataki kustaafu siasa, wanakaba hadi dakika ya mwisho.
Nyerere aliwaita chawa kama malaya; na alijionea toka enzi akiwapo kuna majitu yalikuwa na tabia za kimalaya-malaya ili yapate kitu kidogo.

Kama kuna mahali taifa hili limekwama ni wakubwa kuwasikiza chawa, imagine hata wafanyabishara nao wamezungukwa na chawa, kuwafikia bila endorsement ya chawa, hutoboi.

Wachungaji wazidishe maombi ili roho wachafu wanaotumia chawa watoke ili viongozi wafanya maamuzi kwa kumtanguliza Mungu na maslahi ya watu wanaowaongoza.
Ni Chawa kila kona
 
Kwani yeye amekatazwa kuwa Chawa?

Harafu hii mentality ya kipumbavu imetoka wapi kwamba kuwa kiongozi au mpinzani mzuri lazima uwe unakosoa na kupinga kila kitu?

Mwisho anaefanya vizuri ndio husifiwa,na ni upumbavu kudhani kila anaemsifia kiongozi ni Chawa.
Chawa wa promax mwimba mapambio
 
Kimaro aache unafiki, ametoka kwenye misingi ya neno la Mungu sasa anaangalia popularity. Enzi za Mwendazake alikua akisifia kila kitu
Acha uchawa wewe kimaro alimchana Jiwe Ikulu wakati alipowaalika viongozi wa Dini akamwambie awape wengine nafasi ya kufanya siasa Nchi ipumue ,
Wee chawa Wa Lumumba acha ku tumia Akili yako kinyume Cha maumbile mpyuuuuu
 
Back
Top Bottom