Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
KUOSHWA KWA NYOTA ILIYOCHAFUKA..!
Ayubu 25:5-6
Tazama, hata mwezi hauangazi, Wala nyota si safi machoni pake;Siuze mtu, aliye mdudu! Na mwanadamu, ambaye ni buu!
Andiko hili linatuonesha nyota ya Mtu inaweza Ikachafuliwa na kuonekana si safi machoni Pake katika Ulimwengu wa roho!! Hapa biblia Inatuambia thamani ya mtu huyu hushuka na kuwa kama mdudu, au mwanadamu huyu huibeba thamani ya buu.
👉 Nyota ni kitu cha Ajabu na ni siri kubwa katika ulimwengu wa Roho, Nyota hubeba hatima ya mtu na utukufu wa Mtu tangu siku anazaliwa, Nyota inauwezo wa kuvuta waliobeba baraka zako;
Ndio maana wakati Yesu amezaliwa (Mathayo 2) Ilionekana nyota yake, Ile nyota ya Bethlehem Ikiwaongoza mamajusi kupeleka fedha, manemane, dhahabu n.k kwa mtoto Yesu, Hivyo kwa kifupi nyota yako Inatakiwa Iwavute waliobeba baraka zako ukutane nao. Lakini nyota ikiwa imechafuliwa haiwezi onekana na waliobeba mibaraka yako.
Nyota silaha, Biblia Inasema
Waamuzi 5:20
Walipigana kutoka mbinguni, Nyota katika miendo yao zilipigana na Sisera.
Andiko hili linaonesha Iko vita nyota zinapigana katika ulimwengu wa roho, kama nyota yako ni dhaifu...basi huwezi ona matokeo kwa chochote Kile unafanya: Hivyo basi chukua hatua ya Imani ufike KWENYE IBADA JUMATANO YA KESHO, Kwa Msaada wa Roho Tutaosha nyota yako Kwa Damu ya Yesu. Prophet Martin na Prophet Malisa katika madhabahu Moja....! WOTE MNAKARIBISHWA.
Ayubu 25:5-6
Tazama, hata mwezi hauangazi, Wala nyota si safi machoni pake;Siuze mtu, aliye mdudu! Na mwanadamu, ambaye ni buu!
Andiko hili linatuonesha nyota ya Mtu inaweza Ikachafuliwa na kuonekana si safi machoni Pake katika Ulimwengu wa roho!! Hapa biblia Inatuambia thamani ya mtu huyu hushuka na kuwa kama mdudu, au mwanadamu huyu huibeba thamani ya buu.
👉 Nyota ni kitu cha Ajabu na ni siri kubwa katika ulimwengu wa Roho, Nyota hubeba hatima ya mtu na utukufu wa Mtu tangu siku anazaliwa, Nyota inauwezo wa kuvuta waliobeba baraka zako;
Ndio maana wakati Yesu amezaliwa (Mathayo 2) Ilionekana nyota yake, Ile nyota ya Bethlehem Ikiwaongoza mamajusi kupeleka fedha, manemane, dhahabu n.k kwa mtoto Yesu, Hivyo kwa kifupi nyota yako Inatakiwa Iwavute waliobeba baraka zako ukutane nao. Lakini nyota ikiwa imechafuliwa haiwezi onekana na waliobeba mibaraka yako.
Nyota silaha, Biblia Inasema
Waamuzi 5:20
Walipigana kutoka mbinguni, Nyota katika miendo yao zilipigana na Sisera.
Andiko hili linaonesha Iko vita nyota zinapigana katika ulimwengu wa roho, kama nyota yako ni dhaifu...basi huwezi ona matokeo kwa chochote Kile unafanya: Hivyo basi chukua hatua ya Imani ufike KWENYE IBADA JUMATANO YA KESHO, Kwa Msaada wa Roho Tutaosha nyota yako Kwa Damu ya Yesu. Prophet Martin na Prophet Malisa katika madhabahu Moja....! WOTE MNAKARIBISHWA.