johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
- #21
Hakika mkuu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakika mkuu!
Hapa ndipo mkristo ulipopewa mtihani mkubwa sana..Huyu ni Mchugaji au dalali wa dini?
Mchungaji Lusekelo amesema yeye ni miongoni mwa wachungaji bora 10 barani Afrika hivyo anapoongea jambo wananchi ni lazima wamuelewe.
Lusekelo anasema Rais Magufuli ameitikisa dunia kwa namna alivyoweza kudhibiti Corona, kadhalika wale walioongea baada tu ya Rais kuongea na wananchi ni wavuta bangi.
Lusekelo anasisitiza kuwa mkuu wa nchi akishaongea mjadala unafungwa kinachofuatia ni utekelezaji na yule mtu anayesubiri Rais aongee ili yeye amjibu huyo ni mvuta bangi. Mkuu wa nchi anaheshimiwa na kuenziwa kwa mujibu wa Biblia.
Mchungaji Lusekelo alikuwa akichangia mada kuhusu kudhibitiwa kwa Corona nchini na yeye alielezea kwa upande wa Wakristo na upande wa waislamu alikuwepo shehe wa mkoa wa Dsm Alhad Mussa Salum.
Mjadala huo uliendeshwa na Channel Ten tv.
Maendeleo hayana vyama!
Ndo tukushangae Wewe, kama serikali haijaona wizi huo mwenzetu uliona wapi?
Lakini havuti bangi kama yule anayehoji bila utaratibu!Mzee wa upako asilaumiwe kwa lolote.
Hapo anaesema sio yeye ni pombe.
Hapo alipo anaongea huku chini hapo kaweka glass ya smonof vodka au konyagi kubwa anapiga taratibu.
Mzee wa upako muda wote amelewa hivyo huna sababu ya kumlaumu.
Kwa Lijualikali!Ndo tukushangae Wewe, kama serikali haijaona wizi huo mwenzetu uliona wapi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata Nyerere alivyowapinga wazungu alipoteza muda?mijitu kama hii inafuata nini JF..Mchungaji yuko sahihi, hata ukipinga unapoteza muda. Kwanza tuambieni 8 Bilioni za wabunge ziko wapi
Sent using Jamii Forums mobile app
Mchungaji ambae nina hakika ataenda kumlaki bwana yesu mawinguni mmojawapo ni Lusekelo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwandiko wako tuu,unaonyesha kabisa pasi shaka kuwa hata wewe ni miongoni mwa watakaomlaki "bwana yesu mawinguni".Mchungaji ambae nina hakika ataenda kumlaki bwana yesu mawinguni mmojawapo ni Lusekelo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Lusekelo ni mchungaji au anajiita mchungaji? Tukumbuke kuwa tapeli ana uwezo wa kujiita jina lolote analoona linaweza kusaidia kutimiza azma yake.Mchungaji Lusekelo amesema yeye ni miongoni mwa wachungaji bora 10 barani Afrika hivyo anapoongea jambo wananchi ni lazima wamuelewe.
Lusekelo anasema Rais Magufuli ameitikisa dunia kwa namna alivyoweza kudhibiti Corona, kadhalika wale walioongea baada tu ya Rais kuongea na wananchi ni wavuta bangi.
Lusekelo anasisitiza kuwa mkuu wa nchi akishaongea mjadala unafungwa kinachofuatia ni utekelezaji na yule mtu anayesubiri Rais aongee ili yeye amjibu huyo ni mvuta bangi. Mkuu wa nchi anaheshimiwa na kuenziwa kwa mujibu wa Biblia.
Mchungaji Lusekelo alikuwa akichangia mada kuhusu kudhibitiwa kwa Corona nchini na yeye alielezea kwa upande wa Wakristo na upande wa waislamu alikuwepo shehe wa mkoa wa Dsm Alhad Mussa Salum.
Mjadala huo uliendeshwa na Channel Ten tv.
Maendeleo hayana vyama!
Lazima chadema watapinga sanaMchungaji Lusekelo amesema yeye ni miongoni mwa wachungaji bora 10 barani Afrika hivyo anapoongea jambo wananchi ni lazima wamuelewe.
Lusekelo anasema Rais Magufuli ameitikisa dunia kwa namna alivyoweza kudhibiti Corona, kadhalika wale walioongea baada tu ya Rais kuongea na wananchi ni wavuta bangi.
Lusekelo anasisitiza kuwa mkuu wa nchi akishaongea mjadala unafungwa kinachofuatia ni utekelezaji na yule mtu anayesubiri Rais aongee ili yeye amjibu huyo ni mvuta bangi. Mkuu wa nchi anaheshimiwa na kuenziwa kwa mujibu wa Biblia.
Mchungaji Lusekelo alikuwa akichangia mada kuhusu kudhibitiwa kwa Corona nchini na yeye alielezea kwa upande wa Wakristo na upande wa waislamu alikuwepo shehe wa mkoa wa Dsm Alhad Mussa Salum.
Mjadala huo uliendeshwa na Channel Ten tv.
Maendeleo hayana vyama!
Huwa nashangaa sana, sijui wanadamu tumeumbwa namna gani, Lusekelo na Gwajima nao wana wafuasi wa imani ya kikristo. Wana haki ya kuwa na wafuasi kwenye mambo mengine lakini siyo kwenye imani ya kikristo. Sidhani hawa wawili kama kuna wakati wowote wamewahi kuwa wakristo, achiliambali uchungaji.