Baba Swalehe
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 20,178
- 39,641
Mkulima wa mahindi nayejua kinglishiHahahhahaa Daaah!!
Sent from my iPhone using JamiiForums
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkulima wa mahindi nayejua kinglishiHahahhahaa Daaah!!
Sent from my iPhone using JamiiForums
Bwashee " cha machame " si mchezo.........mtu anaropoka tu!Konyagi za kupima huwa zinalewesha mapema kuliko hata ukiagiza bapa zima
Halafu ikawaje?So hivyo tu shedraki, meshaki na Abednego walipinga amri ya Rais ya kuabudu sanamu
Comrade umejiandaaje kupiga kelele jumapili ?Bwashee " cha machame " si mchezo.........mtu anaropoka tu!
Kamuulize lusekelo anayo majibu ilikuajeHalafu ikawaje?
Hapa ndipo mkristo ulipopewa mtihani mkubwa sana..
Wanafunzi wakamuuliza Yesu, Je Mwalimu tutawajuaje hao manabii wa uongo.???
Sasa ewe mkristo rudi tena kwenye biblia yako soma soma soma.... kwa msaada wa roho mtakatifu nina hakika utapewa mwangozo.. , nyakati hizi ni za hatari..tunaelekea si kuzuri...tusipokuwa makini tutapotea.
Je Kama kiongozi ni shetani laana itakupata?Watakao mpinga na kumtukana Mzee wa Upako ni Mapaganitu. Wasiojua maandiko. Alichosema Mzee wa Upako ndio ukweli wa Neno LA Mungu.
Tena neno LA Mungu limesema Amelaaniwa MTU Anae Mlaani kiongozi wake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiwa mfanyabiashara ya dini,mwanamuziki, kibiashara si vizuri kujionyesha uko upande gani hii ibakie tu moyoni mwakoHuwa nashangaa sana, sijui wanadamu tumeumbwa namna gani, Lusekelo na Gwajima nao wana wafuasi wa imani ya kikristo. Wana haki ya kuwa na wafuasi kwenye mambo mengine lakini siyo kwenye imani ya kikristo. Sidhani hawa wawili kama kuna wakati wowote wamewahi kuwa wakristo, achiliambali uchungaji.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaaaa........ nipo hapa Rombo watu wanachoma moto barakoa!Comrade umejiandaaje kupiga kelele jumapili ?
Hahahaaaa........ nipo hapa Rombo watu wanachoma moto barakoa!
Bwashee Lusekelo ni mtu safi sana nilikuwa naye pale Iringa miaka ya 80s alikuwa akiishi kwenye jengo la Bakwata.Bwashee huyu jamaa nadhan wajua kama chapombe na aliwah tukana mpaka majiran zake kuonesha kuwa yy n mchungaji uchwara
Sent using Jamii Forums mobile app
Bora mvuta bangi anapiga nyungu kuliko mlevi wa konyagi anaunguza maini na utumbo.Mchungaji Lusekelo amesema yeye ni miongoni mwa wachungaji bora 10 barani Afrika hivyo anapoongea jambo wananchi ni lazima wamuelewe.
Lusekelo anasema Rais Magufuli ameitikisa dunia kwa namna alivyoweza kudhibiti Corona, kadhalika wale walioongea baada tu ya Rais kuongea na wananchi ni wavuta bangi.
Lusekelo anasisitiza kuwa mkuu wa nchi akishaongea mjadala unafungwa kinachofuatia ni utekelezaji na yule mtu anayesubiri Rais aongee ili yeye amjibu huyo ni mvuta bangi. Mkuu wa nchi anaheshimiwa na kuenziwa kwa mujibu wa Biblia.
Mchungaji Lusekelo alikuwa akichangia mada kuhusu kudhibitiwa kwa Corona nchini na yeye alielezea kwa upande wa Wakristo na upande wa waislamu alikuwepo shehe wa mkoa wa Dsm Alhad Mussa Salum.
Mjadala huo uliendeshwa na Channel Ten tv.
Maendeleo hayana vyama!
Konyagi na kitimoto ndio mwake bwashee...... Hudhuriki popote!Bora mvuta bangi anapiga nyungu kuliko mlevi wa konyagi anaunguza maini na utumbo.
"THAWA BWASHEE" nakubaliana na wewe bila TASHWISHWI.Konyagi na kitimoto ndio mwake bwashee...... Hudhuriki popote!
😆😆😆
Asante mkuu hili ni tapeli la diniHapa ndipo mkristo ulipopewa mtihani mkubwa sana..
Wanafunzi wakamuuliza Yesu, Je Mwalimu tutawajuaje hao manabii wa uongo.???
Sasa ewe mkristo rudi tena kwenye biblia yako soma soma soma.... kwa msaada wa roho mtakatifu nina hakika utapewa mwangozo.. , nyakati hizi ni za hatari..tunaelekea si kuzuri...tusipokuwa makini tutapotea.