Mchungaji Lusekelo: Kwa mujibu wa Biblia mkuu wa nchi akishaongea mjadala unafungwa, hao wanaohoji baadae ni wavuta bangi

Watakao mpinga na kumtukana Mzee wa Upako ni Mapaganitu. Wasiojua maandiko. Alichosema Mzee wa Upako ndio ukweli wa Neno LA Mungu.

Tena neno LA Mungu limesema Amelaaniwa MTU Anae Mlaani kiongozi wake.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu kuskeko huwa mropokaji alafu nikama anaroho mbaya na hasira za kimkizimkizi. Maranyingi namhisi anatumia mavitu yakulefya sana itakuwa alianza kipindi ile anakula msoto mwendekeza hela mkubwa
 
Alinunuliwa kwa kuhongwa kipande cha lami so hawezi kwenda against la sivyo usajili utafutwa,Hawa Wala dezo hawana alternative ya maisha Hadi wanaondoka duniani so no lzm wawe makada tu
 
Ukiwa mfanyabiashara ya dini,mwanamuziki, kibiashara si vizuri kujionyesha uko upande gani hii ibakie tu moyoni mwako
 
Bora mvuta bangi anapiga nyungu kuliko mlevi wa konyagi anaunguza maini na utumbo.
 
Asante mkuu hili ni tapeli la dini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…