Mchungaji Lusekelo: Libya na Iraq zinajuta kuwasaliti viongozi wao Gaddafi na Sadam Hussein, watanzania msifanye makosa mtajuta!

Mchungaji Lusekelo: Libya na Iraq zinajuta kuwasaliti viongozi wao Gaddafi na Sadam Hussein, watanzania msifanye makosa mtajuta!

Mchungaji Anthony Lusekelo amewataka watanzania kutoiga iga mambo kwani demokrasia ina maana pana.

Mzee wa Upako amesema hata Marekani demokrasia wanayoihubiri hawaiishi kwa mfano Hilarry Clinton ndiye aliyeshinda kwa wingi wa kura lakini aliyeteuliwa kuwa Rais ni Donald Trump.

Kadhalika Uingereza Waziri mkuu anapigiwa kura lakini mfalme ndiye anayempitisha.

Lusekelo amewataka watanzania wajifunze Libya na Iraq waliotupa " mbachao" kwa msala upitao na sasa wanajuta.

Source Channel ten.

Maendeleo hayana vyama!
Mzee wa konyagi
 
Anazungumzia watanzania na " majuto ni mjukuu"
Kwani wananchi wakiamua kumpigia kura mgombea mwingine na kupelekea Magufuli kupoteza Urais ni kitendo cha kumsaliti kama alichofanyiwa Saddam Hussein au Muammar al-Gaddafi ?
 
Mimi yangu ya moyoni ni kama ifuatavyo
La kwanza hivi hata wanywa bapa nao kumbe wana uhuru wa kutoa maoni
La pili hivi bapa likipigwa marufuku huyu mzee si atakufa maana bapa mwilini mwake ni kama petrol kwenye gari
Na la mwisho lakini si kwa umuhimu usitufananishe na Libya na iraq kukipigia kura chama kingine na kuinyea ccm yenu si usaliti bali watu wanatekeleza haki yao ya msingi ya kumchagua kiongozi wanayemtaka bila kushinikizwa na mtu yoyote.Kwanini utake kuwafanya watz wapumbavu kwa kuwaaminisha wasipomchagua jiwe basi ni wasaliti.Mzee wa bapa aache upumbavu wako.
 
Uzuri hatuwezi kuwapa nchi waiongoze.

Hii kusema hili Mungu tayari katuepusha kwa hili.
 
ZWAZWA jingine hilo nalo limeamua kusikika. MAZWAZWA haya yalikuwa kimya kabisa kuhusu maovu mbali mbali ya KICHAA ikiwemo bomoa bomoa, 2.7 trillions iliyokwapuliwa hazina, kutekwa kuteswa na hata kupotezwa kwa wasiojulikana, shambulizi la lissu, maiti kwenye viroba ufukweni, ubambikiaji kesi, sheria eti asishtakiwe kwa maovu yake na madudu mengine chungu nzima.
Kaongezeka kwenye list.. Masanja hlf huyu mzee wa bapa.... bila kumsahau yule askari.. hv ni wa kule kwetu ee .. ile accent kama unagommbbbanaa
 
Mchungaji Anthony Lusekelo amewataka watanzania kutoiga iga mambo kwani demokrasia ina maana pana.

Mzee wa Upako amesema hata Marekani demokrasia wanayoihubiri hawaiishi kwa mfano Hilarry Clinton ndiye aliyeshinda kwa wingi wa kura lakini aliyeteuliwa kuwa Rais ni Donald Trump.

Kadhalika Uingereza Waziri mkuu anapigiwa kura lakini mfalme ndiye anayempitisha.

Lusekelo amewataka watanzania wajifunze Libya na Iraq waliotupa " mbachao" kwa msala upitao na sasa wanajuta.

Source Channel ten.

Maendeleo hayana vyama!
Atueleze tume huru inatakiwe iweje
 
Mwambie asisahau kunywa kvant ili ahubiri vizuri
Muulize huyo mtu wako

Anajua mfumo wa kura za Marekani ukoje???

Muulize pia ni Uingereza gani Waziri mkuu anapitishwa na Mfalme????

Mwisho muulize tutajuta nini??? Kwa hiyo yeye anamfananisha Magufuli na Saddam Hussein??? Anazijua sifa za Saddam Hussein??? Je anamfananisha Magufuli na Gaddafi??? Anazijua sifa za Gaddafi??? Ametumia vigezo gani kumfananisha Magufuli na hawa??? Au amekaririshwa tu??[emoji23][emoji23]
Mpuuzi...uyo...mpuzieni...
 
Mchungaji Anthony Lusekelo ameHilarry Clinton ndiye aliyeshinda kwa wingi wa kura lakini aliyeteuliwa kuwa Rais ni Donald Trump.wataka watanzania kutoiga iga mambo kwani demokrasia ina maana pana.

Mzee wa Upako amesema hata Marekani demokrasia wanayoihubiri hawaiishi kwa mfano Hilarry Clinton ndiye aliyeshinda kwa wingi wa kura lakini aliyeteuliwa kuwa Rais ni Donald Trump.

Kadhalika Uingereza Waziri mkuu anapigiwa kura lakini mfalme ndiye anayempitisha.

Lusekelo amewataka watanzania wajifunze Libya na Iraq waliotupa " mbachao" kwa msala upitao na sasa wanajuta.

Source Channel ten.

Maendeleo hayana vyama!
"Hilarry Clinton ndiye aliyeshinda kwa wingi wa kura lakini aliyeteuliwa kuwa Rais ni Donald Trump." ana uhakika na ii statement? au ndio ushabiki maandazi tu
 
ZWAZWA jingine hilo nalo limeamua kusikika. MAZWAZWA haya yalikuwa kimya kabisa kuhusu maovu mbali mbali ya KICHAA ikiwemo bomoa bomoa, 2.7 trillions iliyokwapuliwa hazina, kutekwa kuteswa na hata kupotezwa kwa wasiojulikana, shambulizi la lissu, maiti kwenye viroba ufukweni, ubambikiaji kesi, sheria eti asishtakiwe kwa maovu yake na madudu mengine chungu nzima.
mi nilisha mpuuza tangu zamani
 
Mchungaji Anthony Lusekelo amewataka watanzania kutoiga iga mambo kwani demokrasia ina maana pana.

Mzee wa Upako amesema hata Marekani demokrasia wanayoihubiri hawaiishi kwa mfano Hilarry Clinton ndiye aliyeshinda kwa wingi wa kura lakini aliyeteuliwa kuwa Rais ni Donald Trump.

Kadhalika Uingereza Waziri mkuu anapigiwa kura lakini mfalme ndiye anayempitisha.

Lusekelo amewataka watanzania wajifunze Libya na Iraq waliotupa " mbachao" kwa msala upitao na sasa wanajuta.

Source Channel ten.

Maendeleo hayana vyama!
Mzee wa bapa huyu hatumsikilize katu. Tunataka mabadiliko tumechoshwa na ubaguzi na ukabila.
 
Wanajisi wa Biblia, kwa hili Waislam wametushinda sana Wakristo. Hawana upuzi wa hizi religious rooting companies (Ministries ).

Mijitu inajipendekeza tu
Kwan wapi kasema uongo hapo
 
Hatutaki porojo wa wachumia tumbo kama huyo watu wanatekwa yuko kimya tu ukandamizaji wa uhuru wa watu yuko kimya tu hata hapa kama kuna udikteta bora tuwe kama hiyo Libya lakini tusitawaliwe na dikteta uchwara
 
Back
Top Bottom