Mpaka hapo nyinyi mnao lalama mnaamini vipi kama tundu lissu atawaletea auheni katika maisha yenu,, fikirini kwanza kabla ya kuchukua maamuzi na katika siasa kuna maneno ya kukushawishi mwananchi a.k.a kukutongoza ili ujuwe huyo ndo mkweli kumbe akishika dolla mnaanza kusema bora na Mweshimiwa magufuli,,
Kuweni makini hii ni siasa ndugu zanguni musiamini kila anachosema huyu tundu lissu maana kwa upande wangu naona nikama mahasimu kwa hiyo hawawezi kuombeana au kusemana vizuri,,
Na huyu tundu lissu akiingia madarakani mtajuta naamini maana atafanya kama kulipiza kisasi kwa yote yaliyo fanyika katika utawala wa mweshimiwa.
HAPO NDO MTAJUA KWANINI SHUKA HALINA MFUKO?
Mwenye masikio na asikie,
Nawatakia uchaguzi mwema.