Mchungaji Mastai: Nilimuunga mkono hayati Magufuli na sasa namuunga mkono Rais Samia, akitugeuka na mimi namgeuka

Mchungaji Mastai: Nilimuunga mkono hayati Magufuli na sasa namuunga mkono Rais Samia, akitugeuka na mimi namgeuka

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Mchungaji wa Kanisa la KKKT Kimara, Dr Mastai amesema yeye alimuunga mkono hayati Magufuli kuanzia siku ya kwanza aliyoingia madarakani hadi Jumapili iliyopita alipomfanyia maombezi maalumu Kanisani.

Mchungaji Mastai amesema hata sasa anamuunga mkono Rais Samia Suluhu Hassan lakini akitugeuka na yeye atamgeuka.

Mchungaji Mastai amesema ana imani Rais Samia atatuvusha kwa sababu ana uwezo mkubwa na uzoefu wa uongozi.

Pia Mastai amerusha video inayomuonyesha mtabiri aliyetabiri kifo cha kiongozi wetu wiki iliyopita akitabiri kutatokea vita ya ukabila baada ya kifo cha Magufuli.

Hata hivyo Mastai anasema Tanzania haina ukabila na huenda anachosema mtabiri huyo ni vita vya kidini.

Mastai amewataka waislamu na wakristo kuliombea taifa letu.

Maendeleo hayana vyama!
 
Yaani mchungaji unajitia aibu yaani Jumapili iliyopita ulikuwa unamuombea apone kumbe alishakufa wiki kabla. Mungu akukuonyesha hilo
 
Bado bado mapema mambo ya waraka! Tunajua kuwa wakiwa watu wa tamaduni fulani waraka kutolewa ni jambo la kawaida sana subirini tumalize msiba au ndo mnatest mitambo?
 
Mchungaji wa Kanisa la KKKT kimara Dr Mastai amesema yeye alimuunga mkono hayati Magufuli kuanzia siku ya kwanza aliyoingia madarakani hadi Jumapili iliyopita alipomfanyia maombezi maalumu Kanisani.

Mchungaji Mastai amesema hata sasa anamuunga mkono Rais Samia Suluhu Hassan lakini akitugeuka na yeye atamgeuka.

Mchungaji Mastai amesema ana imani Rais Samia atatuvusha kwa sababu ana uwezo mkubwa na uzoefu wa uongozi.

Pia Mastai amerusha video inayomuonyesha mtabiri aliyetabiri kifo cha kiongozi wetu wiki iliyopita akitabiri kutatokea vita ya ukabila baada ya kifo cha Magufuli.
Hata hivyo Mastai anasema Tanzania haina ukabila na huenda anachosema mtabiri huyo ni vita vya kidini.

Mastai amewataka waislamu na wakristo kuliombea taifa letu.

Maendeleo hayana vyama!
Hapa nyie Wapuuzi wa kijani hamuoni kuwa anatumia jukwaa la kanisa kuongea siasa! Maneno hayo ya kisiasa yakisemwa na mwingine mnaanza nyege zenu fyokofyoko
 
Huyo hana chochote, asidhani presdent atamwogopa..
 
Mchungaji wa Kanisa la KKKT kimara Dr Mastai amesema yeye alimuunga mkono hayati Magufuli kuanzia siku ya kwanza aliyoingia madarakani hadi Jumapili iliyopita alipomfanyia maombezi maalumu Kanisani.

Mchungaji Mastai amesema hata sasa anamuunga mkono Rais Samia Suluhu Hassan lakini akitugeuka na yeye atamgeuka.

Mchungaji Mastai amesema ana imani Rais Samia atatuvusha kwa sababu ana uwezo mkubwa na uzoefu wa uongozi.

Pia Mastai amerusha video inayomuonyesha mtabiri aliyetabiri kifo cha kiongozi wetu wiki iliyopita akitabiri kutatokea vita ya ukabila baada ya kifo cha Magufuli.
Hata hivyo Mastai anasema Tanzania haina ukabila na huenda anachosema mtabiri huyo ni vita vya kidini.

Mastai amewataka waislamu na wakristo kuliombea taifa letu.

Maendeleo hayana vyama!
Mimi huwa nashsngaa Sana watu wanaenda kusali makanisa ya Wachungaji wanaojimwambafai kwa kutukuza watu!
Awali huu haukuwa utamaduni wa KKKT ...Malasusa amelidhalilisha sana Kanisa ...kwa kuruhusu Wapenyekoste Hawa ...Kimaro was Kijitonyama na huyu Matsai!
 
Mimi huwa nashsngaa Sana watu wanaenda kusali makanisa ya Wachungaji wanaojimwambafai kwa kutukuza watu!
Awali huu haukiwa utamaduni wa KKKT ...Mallasusa amelidhalilisha sana Kanisa ...kwa kuruhusu Wapenyekoste Hawa ...Kimaro was Kijitonyama na huyu Matsai!
Hawa siyo wapentekoste bwashee ni waluteri pure!
 
Mchungaji wa Kanisa la KKKT kimara Dr Mastai amesema yeye alimuunga mkono hayati Magufuli kuanzia siku ya kwanza aliyoingia madarakani hadi Jumapili iliyopita alipomfanyia maombezi maalumu Kanisani.

Mchungaji Mastai amesema hata sasa anamuunga mkono Rais Samia Suluhu Hassan lakini akitugeuka na yeye atamgeuka.

Mchungaji Mastai amesema ana imani Rais Samia atatuvusha kwa sababu ana uwezo mkubwa na uzoefu wa uongozi.

Pia Mastai amerusha video inayomuonyesha mtabiri aliyetabiri kifo cha kiongozi wetu wiki iliyopita akitabiri kutatokea vita ya ukabila baada ya kifo cha Magufuli.
Hata hivyo Mastai anasema Tanzania haina ukabila na huenda anachosema mtabiri huyo ni vita vya kidini.

Mastai amewataka waislamu na wakristo kuliombea taifa letu.

Maendeleo hayana vyama!
Hapa nyie Wapuuzi wa kijani hamuoni kuwa anatumia jukwaa la kanisa kuongea siasa! Maneno hayo ya kisiasa yakisemwa na mwingine mnaanza nyege zenu fyokofyoko
 
Mchungaji wa Kanisa la KKKT kimara Dr Mastai amesema yeye alimuunga mkono hayati Magufuli kuanzia siku ya kwanza aliyoingia madarakani hadi Jumapili iliyopita alipomfanyia maombezi maalumu Kanisani.

Mchungaji Mastai amesema hata sasa anamuunga mkono Rais Samia Suluhu Hassan lakini akitugeuka na yeye atamgeuka.

Mchungaji Mastai amesema ana imani Rais Samia atatuvusha kwa sababu ana uwezo mkubwa na uzoefu wa uongozi.

Pia Mastai amerusha video inayomuonyesha mtabiri aliyetabiri kifo cha kiongozi wetu wiki iliyopita akitabiri kutatokea vita ya ukabila baada ya kifo cha Magufuli.
Hata hivyo Mastai anasema Tanzania haina ukabila na huenda anachosema mtabiri huyo ni vita vya kidini.

Mastai amewataka waislamu na wakristo kuliombea taifa letu.

Maendeleo hayana vyama!
Uchungaji wake ni wa mashaka anampenda zaidi kaisari kuliko Mungu anatakiwa ahubiri neno la Mungu sio kutoa vitisho kwa Rais. Amwache Rais afanye kazi yake kwa mujibu wa katiba.
 
Uchungaji wake ni wa mashaka anampenda zaidi kaisari kuliko Mungu anatakiwa ahubiri neno la Mungu sio kutoa vitisho kwa Rais. Amwache Rais afanye kazi yake kwa mujibu wa katiba.
KKKT hawana wachungaji wa mashaka bwashee!
 
Back
Top Bottom