Mchungaji Mbarikiwa: Kilichokutuma Christina Shusho ni umalaya tu hakuna huduma hapo

Mchungaji Mbarikiwa: Kilichokutuma Christina Shusho ni umalaya tu hakuna huduma hapo

Ni lini ndoa yake ilikuwa na matatizo kiasi cha kufanya aikimbie? Jamii ndiyo inayohukumu ni nani ni mvurugaji wa ndoa. Alishindwa nini kuiambia jamii kuwa mume wake ni mkorofi anatishia amani ya ndoa. Huyu dada ni maarufu kwenye media angeweza kuita press aeleze yanayomsibu imeshindikana kusuluhishwa hivyo anatoka kwenye ndoa kwa usalama wake. Na kama vipi media zimhoji mume wake kuona nani ni mvunja ndoa ili jamii imuhukumu. Msimtete shusho hatakuwa mchungaji mzuri kuhubiri habari za ndoa kwa kuwa yeye aliikimbia. Majaribu hayakimbiwi
 
bila shaka kanisa lake litajaza nyumbu wakimsikiliza kwa kuwa watakuwa wanafanana na mchungaji wao. Itakuwa ni kanisa kimbilio la wanawake waliovunja ndoa
 
Naona bukuku, flora na shusho wamepewa shavu waimbe kule dodoma kwenye maombi ya kuliombea taifa. Wote hawa wamekuwa ni watata kwenye ndoa zao. Bora wawe wanamuziki wa kidunia tu huko panawafaa kuendeleza vipaji vyao. Habari za injili hawaziwezi zimewashinda, hawana ushuhuda mzuri kwa maisha ya kindoa
 
HAPANA.

Siyo sawa Wala HAIRUHUSIWI. Chagua kuamini ama kutokuamini.

Maana siyo unachagua vya kuamini wakati unavyoviamini vimefungamanishwa na usivyoviamini.

Kama nguruwe ni haramu usile mkia wa nguruwe halafu useme hujala nguruwe.

Kikristo uzinzi ni dhambi Kwa kuwa wakristo wanaamini Mungu alitoa Amri kumi. Na ndani ya hizo Amri kumi ndimo Kuna Amri mojawapo inayosema Usizini.

Sasa wewe kama huamini kuwa kuna MUNGU hutakiwi kuingilia mtizamo wa wanaoamini kuna Mungu kuhusu uzinzi.

Maana Lazima wewe utumie chanzo chako kuwa uzinzi ni halali ama ni haramu bila ya kuingilia wanaoamini kuwa Bibilia imesema uzinzi ni haramu.
Ndio maana nimekwambia kwa kutumia biblia yenu hiyohiyo kama reference, Mchungaji huyo hapaswi kuhukumu maovu ya wengine.

Mchungaji huyo amekwenda kinyume na mafundisho ya biblia yanavyo mtaka.

Kabla ya kung'oa boriti kwenye jicho la mwenzake akitazame kwanza kibanzi kilichomo jichoni mwake.
 
Hata huyo naye mzushi tu, "Mchungaji Mbarikiwa",ndo nini?!,amebarikiwa na nani!?,Kuna ushahidi au ndo kujikweza tu!?,siku hizi yameibuka mambo ya ajabu sana. Mtu anajiita mchungaji Mbarikiwa na watu wanamuona kama Mtakatifu fulani hivi.
sio aka hilo ni jina lake aliopewa na wazazi wake ambavyo wewe wazazi wako walivyoamua kukuita malalamiko yeye
 
Ndio maana nimekwambia kwa kutumia biblia yenu hiyohiyo kama reference, Mchungaji huyo hapaswi kuhukumu maovu ya wengine.

Mchungaji huyo amekwenda kinyume na mafundisho ya biblia yanavyo mtaka.

Kabla ya kung'oa boriti kwenye jicho la mwenzake akitazame kwanza kibanzi kilichomo jichoni mwake.
Yeye amekemea KIROHO kwa kuagizwa na MUNGU. WEWE unaamini hilo???
 
Kama kweli Christina Shusho alimwacha Mme kwa sababu hiyo,huenda Mbarikiwa hajakosea!
 
Mchungaji Mbarikiwa amesisitiza kuwa, hakuna wito wa pekee kama anavyodai Christina Shusho wa kumwacha mume Ili kufuata huduma Bali amesukumwa na Roho ya ukahaba.
Maneno mazito sana haya ...
 
Nina Mashaka Sana na Yule Kungwi Maarufu wa Arusha na Kifo Cha Mume wake.

Huenda Kuna namna hakufurahia Maendeleo ya huduma ya Ukungwi wa Mke wake.
Hamna yule mmewake alimpenda sana na alimhudumia mpaka mwisho na haachi kumwongelea siku zote,ukungwi ni kujiendeleza tu
 
Biblia haikuruhu talaka...kama ni mujibu wa biblia...yeye amekosea
Hta hvyo Bible haikuwahi kumruhusu kamwe mwanamke kuwa mchungaji,wala muhubiri wala mtume...wala kuhubiri katika kanisa bali imemtaka atii kwa kila namna
 
Eeh, kapitisha rula sema maneno makali sana, huyo ni mama mchungaji.
Biblia haikuruhu talaka...kama ni mujibu wa biblia...yeye amekosea
Hta hvyo Bible haikuwahi kumruhusu kamwe mwanamke kuwa mchungaji,wala muhubiri wala mtume...wala kuhubiri katika kanisa bali imemtaka atii kwa kila namna
 
Mwenye namba za huyo madam Shusho, mwambieni kuna Sir Pugnator huku nahitaji tufanye huduma
 
Back
Top Bottom