KESHOMSHAHARADaaa nimekumbuka Muinjilist mmoja wa Kisabato niliwahi onana nae Kanda ya ziwa akiitwa MPENDA WALI.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KESHOMSHAHARADaaa nimekumbuka Muinjilist mmoja wa Kisabato niliwahi onana nae Kanda ya ziwa akiitwa MPENDA WALI.
Muda si mrefu atao!Jamaa Yuko sahihi , huyo manzi shape inamzuzua wahuni watapiga saaana
ndio jina lakeHata huyo naye mzushi tu, "Mchungaji Mbarikiwa",ndo nini?!,amebarikiwa na nani!?,Kuna ushahidi au ndo kujikweza tu!?,siku hizi yameibuka mambo ya ajabu sana. Mtu anajiita mchungaji Mbarikiwa na watu wanamuona kama Mtakatifu fulani hivi.
Salaam,Shalom!!
Akizungumza Leo ibadani, Mchungaji Mbarikiwa amepigia mstari kuwa, kilichomsukuma Christina Shusho kumwacha mumewe Kwa kisingizio Cha huduma, ni umalaya tu na hakuna kingine.
Itakumbukwa, Msanii huyo, hivi karibuni ameendelea kutetea uamuzi wake huo Kwa kuhusishwa kifo Cha mwimbaji WA INJILI aliyeimba wimbo wa Equemme aitwaye Osinach kuwa kifo chake kilitokana na manyanyaso ya NDOA na alitaka kuvunja NDOA ila akazuiwa na viongozi wa Dini yake, ametumia sababu hiyo kutaka kuhalalisha uamuzi wake wa kutengana na mumewe Kwa kigezo Cha huduma.
Mchungaji Mbarikiwa amesisitiza kuwa, hakuna wito wa pekee kama anavyodai Christina Shusho wa kumwacha mume Ili kufuata huduma Bali amesukumwa na Roho ya ukahaba.
Mchungaji Mbarikiwa amedai kuwa huko mbeleni, siku Si nyingi, Msanii huyo ataonyesha wazi anachokificha sasa.
Ninakubaliana na Mchungaji Mbarikiwa kuwa Christina Shusho hayuko sahihi Kwa kauli na vitendo vyake sababu anaingiza Roho ya kuvunja NDOA Kwa wanawake wakristo Walio ndani ya NDOA sababu ni Yeye ni public figure.
Tuendelee kumkemea mtu huyu Ili asilivuruge Kanisa na kuvunja moyo mabinti ambao hawajaolewa kupata HOFU ya changamoto za ndani ya NDOA.
NB: NDOA na iheshimiwe na watu wote, na kifo pekee ndio kitatamatisha mkataba wa NDOA.
Source: Shuhuda za kikosikazi Cha INJILI Tv.
Karibuni🙏
Pia soma
Christina Shusho: Nilimuacha mume nitimize ndoto zangu
Salaam,Shalom!!
Akizungumza Leo ibadani, Mchungaji Mbarikiwa amepigia mstari kuwa, kilichomsukuma Christina Shusho kumwacha mumewe Kwa kisingizio Cha huduma, ni umalaya tu na hakuna kingine.
Itakumbukwa, Msanii huyo, hivi karibuni ameendelea kutetea uamuzi wake huo Kwa kuhusishwa kifo Cha mwimbaji WA INJILI aliyeimba wimbo wa Equemme aitwaye Osinach kuwa kifo chake kilitokana na manyanyaso ya NDOA na alitaka kuvunja NDOA ila akazuiwa na viongozi wa Dini yake, ametumia sababu hiyo kutaka kuhalalisha uamuzi wake wa kutengana na mumewe Kwa kigezo Cha huduma.
Mchungaji Mbarikiwa amesisitiza kuwa, hakuna wito wa pekee kama anavyodai Christina Shusho wa kumwacha mume Ili kufuata huduma Bali amesukumwa na Roho ya ukahaba.
Mchungaji Mbarikiwa amedai kuwa huko mbeleni, siku Si nyingi, Msanii huyo ataonyesha wazi anachokificha sasa.
Ninakubaliana na Mchungaji Mbarikiwa kuwa Christina Shusho hayuko sahihi Kwa kauli na vitendo vyake sababu anaingiza Roho ya kuvunja NDOA Kwa wanawake wakristo Walio ndani ya NDOA sababu ni Yeye ni public figure.
Tuendelee kumkemea mtu huyu Ili asilivuruge Kanisa na kuvunja moyo mabinti ambao hawajaolewa kupata HOFU ya changamoto za ndani ya NDOA.
NB: NDOA na iheshimiwe na watu wote, na kifo pekee ndio kitatamatisha mkataba wa NDOA.
Source: Shuhuda za kikosikazi Cha INJILI Tv.
Karibuni🙏
Pia soma
Christina Shusho: Nilimuacha mume nitimize ndoto zangu
Mkuu hilo ni jina lake halisi, punguza jazba🤣🤣🙌Hata huyo naye mzushi tu, "Mchungaji Mbarikiwa",ndo nini?!,amebarikiwa na nani!?,Kuna ushahidi au ndo kujikweza tu!?,siku hizi yameibuka mambo ya ajabu sana. Mtu anajiita mchungaji Mbarikiwa na watu wanamuona kama Mtakatifu fulani hivi.
Swali fikirishi ni Mama mchungaji wa nani tukijibu vizuri swali atakuwa na uhalali wa kuitwa mama mchungajiEeh, kapitisha rula sema maneno makali sana, huyo ni mama mchungaji.
Swali fikirishi ulipokuwa na miaka 19 uliweza kutambua kama huyu ni mwanaume handsome?Ila ukweli mchungu muonekano wa yule mzee shusho hapana kwakwel ingawa mwanaume Hana ulazima wa Kuwa mzuri ila yule Mzee kazidi kamuharibia mbegu kabisa Christina wote wamefanana na baba yao Christina ana haki ya kumuacha tu
Dhiki ndugu !Swali fikirishi ulipokuwa na miaka 19 uliweza kutambua kama huyu ni mwanaume handsome?
Ni vigumu sana kummiliki mwanamke aliyepata umaarufu jua likiwa limezama!Salaam,Shalom!!
Akizungumza Leo ibadani, Mchungaji Mbarikiwa amepigia mstari kuwa, kilichomsukuma Christina Shusho kumwacha mumewe Kwa kisingizio Cha huduma, ni umalaya tu na hakuna kingine.
Itakumbukwa, Msanii huyo, hivi karibuni ameendelea kutetea uamuzi wake huo Kwa kuhusishwa kifo Cha mwimbaji WA INJILI aliyeimba wimbo wa Equemme aitwaye Osinach kuwa kifo chake kilitokana na manyanyaso ya NDOA na alitaka kuvunja NDOA ila akazuiwa na viongozi wa Dini yake, ametumia sababu hiyo kutaka kuhalalisha uamuzi wake wa kutengana na mumewe Kwa kigezo Cha huduma.
Mchungaji Mbarikiwa amesisitiza kuwa, hakuna wito wa pekee kama anavyodai Christina Shusho wa kumwacha mume Ili kufuata huduma Bali amesukumwa na Roho ya ukahaba.
Mchungaji Mbarikiwa amedai kuwa huko mbeleni, siku Si nyingi, Msanii huyo ataonyesha wazi anachokificha sasa.
Ninakubaliana na Mchungaji Mbarikiwa kuwa Christina Shusho hayuko sahihi Kwa kauli na vitendo vyake sababu anaingiza Roho ya kuvunja NDOA Kwa wanawake wakristo Walio ndani ya NDOA sababu ni Yeye ni public figure.
Tuendelee kumkemea mtu huyu Ili asilivuruge Kanisa na kuvunja moyo mabinti ambao hawajaolewa kupata HOFU ya changamoto za ndani ya NDOA.
NB: NDOA na iheshimiwe na watu wote, na kifo pekee ndio kitatamatisha mkataba wa NDOA.
Source: Shuhuda za kikosikazi Cha INJILI Tv.
Karibuni🙏
Pia soma
Christina Shusho: Nilimuacha mume nitimize ndoto zangu
Tatizo amejiona mzuri sana haendani na Mzee shusho Hana mvuto akasema beauty yake haiwezi kuishia hapo lzma adange kama kina hamisaSwali fikirishi ulipokuwa na miaka 19 uliweza kutambua kama huyu ni mwanaume handsome?
Mzuri kwa umbo sawa, je yaliyomo yamo?Tatizo amejiona mzuri sana haendani na Mzee shusho Hana mvuto akasema beauty yake haiwezi kuishia hapo lzma adange kama kina hamisa
Yamo maana kutoka na waheshimiwa membe na mh mamvi sio mchezoMzuri kwa umbo sawa, je yaliyomo yamo?
Haaa ngoja nitafute pesa, kumbe mnafaidi vinono hadi Kenya mnaenda naye? Duu nyie nyie Shetani anawaonaYamo maana kutoka na waheshimiwa membe na mh mamvi sio mchezo