shusho hana uhakika na imani anayoiaminiMsingi wa imani ni kutokuwa na uhakika.
atafungisha ndoa vipi wakati yeye imemshinda? Ataimba nini wakati yeye hatendi anayoyaimba?wala hajapotoka na sioni tatizo lolote. Embu sema wewe kapotoka wapi?
Ndio maana nimekwambia kwa kutumia biblia yenu hiyohiyo kama reference, Mchungaji huyo hapaswi kuhukumu maovu ya wengine.HAPANA.
Siyo sawa Wala HAIRUHUSIWI. Chagua kuamini ama kutokuamini.
Maana siyo unachagua vya kuamini wakati unavyoviamini vimefungamanishwa na usivyoviamini.
Kama nguruwe ni haramu usile mkia wa nguruwe halafu useme hujala nguruwe.
Kikristo uzinzi ni dhambi Kwa kuwa wakristo wanaamini Mungu alitoa Amri kumi. Na ndani ya hizo Amri kumi ndimo Kuna Amri mojawapo inayosema Usizini.
Sasa wewe kama huamini kuwa kuna MUNGU hutakiwi kuingilia mtizamo wa wanaoamini kuna Mungu kuhusu uzinzi.
Maana Lazima wewe utumie chanzo chako kuwa uzinzi ni halali ama ni haramu bila ya kuingilia wanaoamini kuwa Bibilia imesema uzinzi ni haramu.
sio aka hilo ni jina lake aliopewa na wazazi wake ambavyo wewe wazazi wako walivyoamua kukuita malalamiko yeyeHata huyo naye mzushi tu, "Mchungaji Mbarikiwa",ndo nini?!,amebarikiwa na nani!?,Kuna ushahidi au ndo kujikweza tu!?,siku hizi yameibuka mambo ya ajabu sana. Mtu anajiita mchungaji Mbarikiwa na watu wanamuona kama Mtakatifu fulani hivi.
Yeye amekemea KIROHO kwa kuagizwa na MUNGU. WEWE unaamini hilo???Ndio maana nimekwambia kwa kutumia biblia yenu hiyohiyo kama reference, Mchungaji huyo hapaswi kuhukumu maovu ya wengine.
Mchungaji huyo amekwenda kinyume na mafundisho ya biblia yanavyo mtaka.
Kabla ya kung'oa boriti kwenye jicho la mwenzake akitazame kwanza kibanzi kilichomo jichoni mwake.
Maneno mazito sana haya ...Mchungaji Mbarikiwa amesisitiza kuwa, hakuna wito wa pekee kama anavyodai Christina Shusho wa kumwacha mume Ili kufuata huduma Bali amesukumwa na Roho ya ukahaba.
Elewa nilicho kwambia nimetumia biblia kama reference.Yeye amekemea KIROHO kwa kuagizwa na MUNGU. WEWE unaamini hilo???
Kunguru hafugikiKaribu Christina na Mimi ni mtumishi bachelor tutengeneze familia. Nitakujali sana sitakunyanyasa na nitakusapoti kutoa huduma ili mradi na Mimi unihudumie.
Hamna yule mmewake alimpenda sana na alimhudumia mpaka mwisho na haachi kumwongelea siku zote,ukungwi ni kujiendeleza tuNina Mashaka Sana na Yule Kungwi Maarufu wa Arusha na Kifo Cha Mume wake.
Huenda Kuna namna hakufurahia Maendeleo ya huduma ya Ukungwi wa Mke wake.
marambili apigwe tayari anachezea sanaJamaa Yuko sahihi , huyo manzi shape inamzuzua wahuni watapiga saaana
Biblia haikuruhu talaka...kama ni mujibu wa biblia...yeye amekoseaEeh, kapitisha rula sema maneno makali sana, huyo ni mama mchungaji.
Hebu tuone hiyo shep basi.Jamaa Yuko sahihi , huyo manzi shape inamzuzua wahuni watapiga saaana
Uko sahihi lakini achana na life la watu wengineNDOA Si muhimu kule kwenu kuzimu ulikotokea.
Kwetu NDOA ni amri, na kifo tu ndicho kitatenganisha NDOA.