Mchungaji Mbarikiwa: Kilichokutuma Christina Shusho ni umalaya tu hakuna huduma hapo

Huyu binti amepotea
 
Hata huyo naye mzushi tu, "Mchungaji Mbarikiwa",ndo nini?!,amebarikiwa na nani!?,Kuna ushahidi au ndo kujikweza tu!?,siku hizi yameibuka mambo ya ajabu sana. Mtu anajiita mchungaji Mbarikiwa na watu wanamuona kama Mtakatifu fulani hivi.
Dhambi iko wapi mwenzio anajiwazia mema au wewe ndo Tina wa mwanaume ataacha wazazI wake
 
Wewe ni mpumbavu Hilo sio swala binafsi labda angekuwa kaanzisha kanisa la biblia yake kama la Beyonce ukishaingia kwenye ulokole ndoa si swala binafsi ni Jambo linalojenga ushuuda wewe Vipi bana au chawa WA tina
 
Wewe ni mpumbavu
Wewe kinyamkera uliyekurupuka huko na mawenge yako, umeelewa nilicho kisema?
Hilo sio swala binafsi labda angekuwa kaanzisha kanisa la biblia yake kama la Beyonce ukishaingia kwenye ulokole
Ulokole alianzisha baba yako we nyang'au?
ndoa si swala binafsi ni Jambo linalojenga ushuuda wewe Vipi bana au chawa WA tina
Mtu kaamua kuachana na mmewe kwa maamuzi yake binafsi, Ninyi vinyamkera mnacho washwawashwa kuingilia maamuzi ya mtu binafsi ni nini?
 
Asili ya Mizimu ni kuzimu,

Kuzimu ni nyumbani Kwa wafu,

Wewe kwenu ni kuzimu waliko mababu na ndugu waliokufa?
Wakristu wanakwenda kuzimu kwa kuabudu ukuta Israel na Waislam wanakwenda kuzimu kuabudu jiwe Uarabuni. Mimi nazimu na kuabudu mizimu yangu hapa hapa Tanzania na siabudu mizimu ya watu wengine wasio na asili yangu. Kwani Wakristu na Waislam wanaabudu watu walio hai huko Israel na Uarabuni? Nafikiri umeshanielewa mpaka hapo. Kijana, achana na hihi dini za kipuuzi, it's not in your DNA......ni ujinga kumuabudu mwarab au Muisrael wakati wewe ni mtu mweusi.
 
Imeandikwa,

Wamwabuduo halisi, watamwabudu katika Roho na Kweli.

Hakuna mbingu ya dini ulizotaja,

Mbingu ni ya wamwaminio Yesu Kristo kuwa BWANA na Mwokozi wa MAISHA yao,

Ni waliokubali kuishi maisha matakatifu, waliojikinai, wasioenenda Sawa sawa na Dunia ienendavyo,

Mbingu ni ya Wana wa Mungu, ndio wale waliaminio Jina lake. Mbingu ni ya wale waliowekwa ALAMA/MUHURI/CHAPA/ NEMBO ya Mungu katika paji ya vichwa vyao.

Karibu🙏
 
Of course, imeandikwa na binadamu siyo Mungu. Hizi dini za maboti (Abrahamic religion) ni man made, usipotoke kijana. Soma uelimike usipende kujikaririsha tu ujinga, haya unayofanya wewe ni ujinga tuliokuwa tunaaminishwa zamani kabla hatujasoma.
 
Masingle maza mnajazba sana nanyie ndo mnaenda kujazana huko kanisani kwake mzidi kuhubiliana uvunjaji wandoa shubamit... Kwanza aturudishie pesa zamichango yetu yaharusi kabla hajanza kuhubili huko kanisan kwenu
 
C. SHUSHO NI MALAYA SANA YULE MWANAMKE... NA ANAJUA KUUZA UTELEZI PESA YAKO TU UNAMVUA SKETI...
Usingo maza kwasasa no njia ya kufanya umalaya mjini...
 
Of course, imeandikwa na binadamu siyo Mungu. Hizi dini za maboti (Abrahamic religion) ni man made, usipotoke kijana. Soma uelimike usipende kujikaririsha tu ujinga, haya unayofanya wewe ni ujinga tuliokuwa tunaaminishwa zamani kabla hatujasoma.
Ninayokuambia Si habari za vitabu pekee,

Ni maisha halisi,

Na Mungu muumba wa Mbingu na Nchi ni baba yangu, na Huwa ninaongea naye, na anaishi ndani yangu.
 
Bi Tina au we ni jini mahaba, basi niue
 
 

Attachments

  • IMG_0543.jpeg
    121 KB · Views: 3
Ndoa zina siri nyingi usihukumu bila kujua wangeuana mngesema bora wange achana kwanini mna mhukumu Christina Shusho bila kujua upande wa pili?
 
Masingle maza mnajazba sana nanyie ndo mnaenda kujazana huko kanisani kwake mzidi kuhubiliana uvunjaji wandoa shubamit... Kwanza aturudishie pesa zamichango yetu yaharusi kabla hajanza kuhubili huko kanisan kwenu
sasa mbona wewe uliyezaliwa baada ya mama yako kupigwa mtungo amsemwi? Yaani umepatikana kati kati ya wanaume zaidi ya mmoja wewe unajiita mtoto au uchafu?
 
kilichomsukuma Christina Shusho kumwacha mumewe Kwa kisingizio Cha huduma, ni umalaya tu na hakuna kingine.
Kumbe ni minyege ndio imemtoa kwa mumewe. Nina imani mumwe wake mpya (Diamond) atamtindua minyege yote kwishney. Yule jamaa hacheki na nyani. Na asipokaa sawa atamzalisha na kumtupa kama alivyowstupa wengine.. Shauri yake.
 
Ameamua kumpopoa "demu" mpya wa diamond malaya mmoja tuu yule
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…