Mchungaji Msigwa asema: Bila kusimamia misingi (principles) vyama vinakosa uhalali wa kuwepo

Mahali tulipofikia watanzania na uelewa uliopo,ZZK ni marehemu wa kisiasa.
Hata afanye hawezi kujisafisha
Exactly Zitto Kabwe amejimaliza kisiasa , hawezi kujisafisha hata kwa Jiki madoa ya usaliti hayatamtoka amekuwa Lipumba namba 2 .
 
Chama chake yeye kinasimamia misingi ipi mpaka sasa?
 
Nakubaliana na hoja yake lakini pia bado nasubiria Msigwa na CHADEMA kwa ujumla kuwaomba watz msamaha kwa kumpokea Lowassa na kumfanya kuwa mgombea Urais mwaka 2015. I believe this was such a huge confusion and a contradiction...
Kwa sasa, huyo Lowassa yupo wapi?
 
Intelligent
 
Wamevuta dola milion 5 cash na Dalali wa mchongo wote ni Polepole akisaidiana na Zito kwa kifupi wamefanya biashara haramu ya kisiasa
 
Mchungaji mzima haelewi kuwa Zitto na mbowe na maalim ni watu watatu tu ndiyo anaitaflipflop? Twaafwa!
 

Nilisha sema utamaduni wetu ni tatizo kubwa nitaongeaea. Utamaduni wa kuangaliana na kutokutaka mwenzako apate nao ni mbaya sana

Hichi ni kipimo na wala sio siasa au Chama. Kama utamwelewa vizuri hili ndilo tatizo kubwa tulionalo kitaifa fikra na utamaduni. Matatizo yote yana anza na fikra
 
Yeye bado hajatengeneza kiki ya kutishiwa ili aende kuishi kanada?
 
Wakikuambia ulete wachungaji, utaleta huyu jamaaa?? Toka aliposema watakao muunga mkono lowasa wapimwe akili, halafu akamkubali, pale alipoteza utumishi wa kirohooo
Hahahahahaha mkuu sio kwa dongo hilo๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Tatizo la akili ndogo ni kwamba badala ya ku analyse the content (HOJA) wanaishia ku analyse the person (MTOA HOJA).
 
Wakikuambia ulete wachungaji, utaleta huyu jamaaa?? Toka aliposema watakao muunga mkono lowasa wapimwe akili, halafu akamkubali, pale alipoteza utumishi wa kirohooo

Moja ya utamaduni mbaya ni kumwangalia mtu na sio hoja. Yaani ndiyo tunayosema hapa utamaduni wewe unamwangalia Msigwa kwa alichosema 2015 badala ya kusikiliza hoja na mawazo yake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ