Rafiki wa Msigwa ni Lissu. Msigwa ni kada wa CCM. Lema amesema kuwa alikuwa anampigia Rais moja kwa moja. Pamoja na Kikwete na Pinda. Wote hao hawamtaki Mbowe. Bado mchezo hamjausoma?
Amandla...
..Na Raisi akampigia Mbowe na kumpa 150 mil kwa ajili ya Kanisa.