Pre GE2025 Mchungaji Msigwa: CHADEMA imepoteza imani na wananchi, No Reforms, No Election ni mkakati butu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hizi ndio tabia za kibongo na zinakatisha tamaa sana huyu kama bado angekuwa CHADEMA angekuwa mstari wa mbele kuiuza Strategy ya NO REFORMS NO ELECTION tena kwa jazba kubwa sasa baada ya kuondoka kwa "hasira" kageuka 360° utasema alikuwepo huko CCM tokea Uhuru.
 
Yaani huyu ndio hajitambui kabisa, hivi yeye ndio msemaji wa Chadema. Badala liongelee chama chake kutwa chadema, kweli njaa mbaya sana
 
upuuzi mwingine huu hapa kaandika mpuuzi mmoja
 
siasa ni sayansi
 
Hizo ni hoja ambazo ziinarekebishwa kwa kukaa meza moja na wenye nguvu ili kuzijadili.sasa chadema wamekuja na utoto wakususia uchaguzi hapo wanakua wanamkomoa nani?.Kwasababu usidanganyike kwamba Ccm na serikali inaogopa hayo matamko.Ukipunguza mihemko utamwelewa msigwa.
 
chadema kasahau nini mla umbwa huyu
 
Huyu Mbena amekonda, kawa mweusi na sura haina nuru kabisa kama alivyokuwa CDM. Hana uhuru wa mawazo hata mawasiliano yake yameshikiliwa na jabali la utapeli wa kisiasa kutoka Kiegea.

Narudia hana uhuru wa kupanga mipango yake binafsi wala kuwasiliana na rafiki wa upande wa pili na huenda akaishia kuchanganyikiwa muda sio mrefu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…