Mwendapole2005
Member
- Jul 6, 2016
- 14
- 15
Nathubutu kusema Msigwa ameshindwa kusoma nyakati, hatukatai kwamba CHADEMA hakuna mapungufu lakini sioni kama Matatizo anayoyasema ndio chanzo cha yeye kuhama. Watu wenye macho matatu wanajua ni uchu wa madaraka tu, kwa sababu shida ilianza baada ya kushindwa na Sugu kwenye Uchaguzi Kanda ya kusini.
Kwanini nasema kahimia CCM kipindi kibaya. CCM sasa hivi inaongozwa na Mwenyekiti ambaye anaamini kwenye misingi ya Demokrasia ya kweli, ni kiongozi anayependa Vyama vya upinzani viwe imara ili kuweka upinzani wa kweli kwenye chama chake na hana mpango wa kuvibomoa Vyama vya upinzani, pia ni Kiongozi ambaye anaamini katika misingi yake, anaweza akasemwa vibaya lakini yeye anasonga mbele, pia ni Kiongozi ambaye hana visasi na mtu.
Ndio maana Msigwa kama amehamia CCM kwa ajili ya kupata Teuzi hapa kafeli labda ingekuwa kipindi hicho.
Pia soma Kuelekea 2025 - Aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Nyasa, Mchungaji Peter Msigwa ahamia CCM
Kwanini nasema kahimia CCM kipindi kibaya. CCM sasa hivi inaongozwa na Mwenyekiti ambaye anaamini kwenye misingi ya Demokrasia ya kweli, ni kiongozi anayependa Vyama vya upinzani viwe imara ili kuweka upinzani wa kweli kwenye chama chake na hana mpango wa kuvibomoa Vyama vya upinzani, pia ni Kiongozi ambaye anaamini katika misingi yake, anaweza akasemwa vibaya lakini yeye anasonga mbele, pia ni Kiongozi ambaye hana visasi na mtu.
Ndio maana Msigwa kama amehamia CCM kwa ajili ya kupata Teuzi hapa kafeli labda ingekuwa kipindi hicho.
Pia soma Kuelekea 2025 - Aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Nyasa, Mchungaji Peter Msigwa ahamia CCM