Mchungaji Msigwa kama Kuna ubaya alikutendea Mbowe mimi Yohana namuombea Msamaha, Unamsema mno nawe ni Mchungaji wa kondoo!

Mchungaji Msigwa kama Kuna ubaya alikutendea Mbowe mimi Yohana namuombea Msamaha, Unamsema mno nawe ni Mchungaji wa kondoo!

Mchungaji Msigwa jaribu kuwa Gentleman mambo ya mipasho Siyo poa Sisi ni Wanaume tena ni Wakristo

Nimeona baada ya Press ya Freeman ya Jana umemshukia kwa dharau kubwa Ukurasani kwako X

Nikukumbushe tu ulikuwa na nafasi ya uwaziri wakati Wenzako akina Katambi, Gekui, Mollel na Waitara wanaunga Juhudi lakini kwa sasa hutamuweza kamwe Steve Mengele Hata kama Madaraka Nyerere kamkataa😀

Msamehe Freeman Mbowe kama kuna lolote alikukosea kisha jikite sasa na mambo ya CCM na ikikupendeza kagombee Ubunge kwenu Makete kwa Msaidizi wa Dr Mwigullu PhD

Ulale Unono 😀🌹
Mpelekee hii
FB_IMG_1732143913228.jpg
 
Halafu wanshangaa kwanini tunawachukia. Kuna msemo usemao" ukichukiwa siyo kwa sababu unakovu usoni, bali unakovu moyoni."

Kasahau huyo huyo ndiye kamfanya awe mbunge, na ndiye kampa umaarufu alio nao.

Yeye kakazana anakata mkono unao mlisha. Anasahau hata huko CCM kapata jukwaa kwasababu CHADEMA ndio walimpa status aliyonayo.
 
Mchungaji Msigwa jaribu kuwa Gentleman mambo ya mipasho Siyo poa Sisi ni Wanaume tena ni Wakristo

Nimeona baada ya Press ya Freeman ya Jana umemshukia kwa dharau kubwa Ukurasani kwako X

Nikukumbushe tu ulikuwa na nafasi ya uwaziri wakati Wenzako akina Katambi, Gekui, Mollel na Waitara wanaunga Juhudi lakini kwa sasa hutamuweza kamwe Steve Mengele Hata kama Madaraka Nyerere kamkataa😀

Msamehe Freeman Mbowe kama kuna lolote alikukosea kisha jikite sasa na mambo ya CCM na ikikupendeza kagombee Ubunge kwenu Makete kwa Msaidizi wa Dr Mwigullu PhD

Ulale Unono 😀🌹
Kwa nini usimshauri akalime ng'ing'i?Kaloea mjini hadi kasahau kwao Matamba.
 
Mchungaji Msigwa jaribu kuwa Gentleman mambo ya mipasho Siyo poa Sisi ni Wanaume tena ni Wakristo

Nimeona baada ya Press ya Freeman ya Jana umemshukia kwa dharau kubwa Ukurasani kwako X

Nikukumbushe tu ulikuwa na nafasi ya uwaziri wakati Wenzako akina Katambi, Gekui, Mollel na Waitara wanaunga Juhudi lakini kwa sasa hutamuweza kamwe Steve Mengele Hata kama Madaraka Nyerere kamkataa😀

Msamehe Freeman Mbowe kama kuna lolote alikukosea kisha jikite sasa na mambo ya CCM na ikikupendeza kagombee Ubunge kwenu Makete kwa Msaidizi wa Dr Mwigullu PhD

Ulale Unono 😀🌹
Msigwa na Pedeshee CPA Amos Makalla baba Gadi hawawezi kuhutubia bila kumtaja Mbowe sababu vichwani mwao hakuna vya zaidi.
 
Kumuombea mwingine msamaha, ni kauli ya ki Mungu, kiutu Uzima.

Ubarikiwe 🙏
Naunga mkono hoja, hata hapa tuliwahi kumuombea mtu msamaha, Thread 'Watanzania tumshukuru Mungu kupata mtu mwenye moyo wa kusamehe. Je, tumuombe asamehe tu bila kuombwa msamaha au akomae naye?' Watanzania tumshukuru Mungu kupata mtu mwenye moyo wa kusamehe. Je, tumuombe asamehe tu bila kuombwa msamaha au akomae naye?

Mungu ametufundisha kupitia dini zote, samehe hata saba mara sabini. Mara baada ya ombi hilo, kuna mtu alisamehewa Thread 'Asante sana Rais Samia kwa kuliponya Taifa. Umeonesha kwa kauli na matendo; tunajenga nyumba moja, hakuna sababu ya kugombea fito!' Asante sana Rais Samia kwa kuliponya Taifa. Umeonesha kwa kauli na matendo; tunajenga nyumba moja, hakuna sababu ya kugombea fito!

Kusamehe kuna ponya na kuleta baraka.

P
 
Naunga mkono hoja, hata hapa tuliwahi kumuombea mtu msamaha, Thread 'Watanzania tumshukuru Mungu kupata mtu mwenye moyo wa kusamehe. Je, tumuombe asamehe tu bila kuombwa msamaha au akomae naye?' Watanzania tumshukuru Mungu kupata mtu mwenye moyo wa kusamehe. Je, tumuombe asamehe tu bila kuombwa msamaha au akomae naye?

Mungu ametufundisha kupitia dini zote, samehe hata saba mara sabini. Mara baada ya ombi hilo, kuna mtu alisamehewa Thread 'Asante sana Rais Samia kwa kuliponya Taifa. Umeonesha kwa kauli na matendo; tunajenga nyumba moja, hakuna sababu ya kugombea fito!' Asante sana Rais Samia kwa kuliponya Taifa. Umeonesha kwa kauli na matendo; tunajenga nyumba moja, hakuna sababu ya kugombea fito!

Kusamehe kuna ponya na kuleta baraka.

P
Ubarikiwe pia,

Maana Hayati Membe angekusikia,na kusikia BUSARA za maaskofu, tungekuwa naye Hadi hii Leo.
 
Back
Top Bottom