Mchungaji Msigwa kama Kuna ubaya alikutendea Mbowe mimi Yohana namuombea Msamaha, Unamsema mno nawe ni Mchungaji wa kondoo!

Mchungaji Msigwa kama Kuna ubaya alikutendea Mbowe mimi Yohana namuombea Msamaha, Unamsema mno nawe ni Mchungaji wa kondoo!

Cha ajabu sijamskia Mbowe akimuongelea Msigwa hata siku moja !
 
Kwa bahati mbaya hajibiwi sasa, ndio shida ilipo
 
Mchungaji Msigwa jaribu kuwa Gentleman mambo ya mipasho Siyo poa Sisi ni Wanaume tena ni Wakristo

Nimeona baada ya Press ya Freeman ya Jana umemshukia kwa dharau kubwa Ukurasani kwako X

Nikukumbushe tu ulikuwa na nafasi ya uwaziri wakati Wenzako akina Katambi, Gekui, Mollel na Waitara wanaunga Juhudi lakini kwa sasa hutamuweza kamwe Steve Mengele Hata kama Madaraka Nyerere kamkataa😀

Msamehe Freeman Mbowe kama kuna lolote alikukosea kisha jikite sasa na mambo ya CCM na ikikupendeza kagombee Ubunge kwenu Makete kwa Msaidizi wa Dr Mwigullu PhD

Ulale Unono 😀🌹
Sijui mchungaji alidhulumiwaga nini na Freeman Mbowe maana kwa chuki hii aliyonayo hakika tayari ni kikwazo kwake kuuona ufalme wa mbinguni...!

Na bahati mbaya kwake ni kuwa anayemsema wala hata hana time naye, hahangaiki kujibishana naye. HII YA MBOWE NI HEKIMA YA HALI YA JUU SANA...!!
 
Mchungaji Msigwa jaribu kuwa Gentleman mambo ya mipasho Siyo poa Sisi ni Wanaume tena ni Wakristo

Nimeona baada ya Press ya Freeman ya Jana umemshukia kwa dharau kubwa Ukurasani kwako X

Nikukumbushe tu ulikuwa na nafasi ya uwaziri wakati Wenzako akina Katambi, Gekui, Mollel na Waitara wanaunga Juhudi lakini kwa sasa hutamuweza kamwe Steve Mengele Hata kama Madaraka Nyerere kamkataa😀

Msamehe Freeman Mbowe kama kuna lolote alikukosea kisha jikite sasa na mambo ya CCM na ikikupendeza kagombee Ubunge kwenu Makete kwa Msaidizi wa Dr Mwigullu PhD

Ulale Unono 😀🌹
kama analamba asali, hautaki msigwa amsanue? binafsi hata kama si mshabiki wa chadema, naamini nilipoteza muda mwingi sana kumwamini mbowe. nchi hii wa kuaminiwa na anayepata shida ya kweli ni mwanasheria Lisu tu. wengine wote njaa na kulamba asali.
 
Back
Top Bottom