Kwani sisi hatuoni mpaka msigwa atuaminisheAliyekuwa mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA na Mwenyekiti wa Kanda ya Nyasa Mchungaji Peter Msigwa amesema atatumia nguvu na Juhudi zile zile za CHADEMA kuzunguka nchi nzima kuelezea Mazuri na Utakatifu wa CCM
Mchungaji Msigwa amewataka Wananchi wasikubali kudanganyika na Wapinzani kwani Shetani ni baba wa Uwongo
Soma Pia: Msigwa hana haja ya kuzunguka nchi nzima. Hana huo ushawishi na watanzania wengi hawamjui labda huko kwao Iringa
Credit: Mwanahalisi Digital
mtengeneza njia kwajili ya ile sauti ya mtu aliae nyikani ana mbwembwe kweli kweli, amekua mwepesi sana saivi aise 🐒Aliyekuwa mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA na Mwenyekiti wa Kanda ya Nyasa Mchungaji Peter Msigwa amesema atatumia nguvu na Juhudi zile zile za CHADEMA kuzunguka nchi nzima kuelezea Mazuri na Utakatifu wa CCM
Mchungaji Msigwa amewataka Wananchi wasikubali kudanganyika na Wapinzani kwani Shetani ni baba wa Uwongo
Soma Pia: Msigwa hana haja ya kuzunguka nchi nzima. Hana huo ushawishi na watanzania wengi hawamjui labda huko kwao Iringa
Credit: Mwanahalisi Digital
😂😂😂Ati UTAKATIFU WA CCM hivi huyu Msigwa kalogwa?!🙊
Stupid pastor. Wenzako akina Nasary, Silinde, hata wale Covi 19 uliwasikia wanabwatukia chama kilichowalea kama wako kwenye joto. Wewe na hako kadichana kanakoitwa Upendo ndo mmekuwa wajinga wa kukata tawi mlilolikalia kwa muda mrefu. We zunguka tu si unalipwa?Aliyekuwa mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA na Mwenyekiti wa Kanda ya Nyasa Mchungaji Peter Msigwa amesema atatumia nguvu na Juhudi zile zile za CHADEMA kuzunguka nchi nzima kuelezea Mazuri na Utakatifu wa CCM
Mchungaji Msigwa amewataka Wananchi wasikubali kudanganyika na Wapinzani kwani Shetani ni baba wa Uwongo
Soma Pia: Msigwa hana haja ya kuzunguka nchi nzima. Hana huo ushawishi na watanzania wengi hawamjui labda huko kwao Iringa
Credit: Mwanahalisi Digital
Hii tuseme ni njaa au ndio uanasiHasa huo. ???!Aliyekuwa mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA na Mwenyekiti wa Kanda ya Nyasa Mchungaji Peter Msigwa amesema atatumia nguvu na Juhudi zile zile za CHADEMA kuzunguka nchi nzima kuelezea Mazuri na Utakatifu wa CCM
Mchungaji Msigwa amewataka Wananchi wasikubali kudanganyika na Wapinzani kwani Shetani ni baba wa Uwongo
Soma Pia: Msigwa hana haja ya kuzunguka nchi nzima. Hana huo ushawishi na watanzania wengi hawamjui labda huko kwao Iringa
Credit: Mwanahalisi Digital
Huyu akapimwe akili.Aliyekuwa mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA na Mwenyekiti wa Kanda ya Nyasa Mchungaji Peter Msigwa amesema atatumia nguvu na Juhudi zile zile za CHADEMA kuzunguka nchi nzima kuelezea Mazuri na Utakatifu wa CCM
Mchungaji Msigwa amewataka Wananchi wasikubali kudanganyika na Wapinzani kwani Shetani ni baba wa Uwongo
Soma Pia: Msigwa hana haja ya kuzunguka nchi nzima. Hana huo ushawishi na watanzania wengi hawamjui labda huko kwao Iringa
Credit: Mwanahalisi Digital
Usiogope Kiongozi! Huyu ni njaa inamsumbua na uchu wa madaraka. Hajapitia machungu waliyopotia wenzake ya kufilisiwq Mali,na kubambikiwq kesiHii tuseme ni njaa au ndio uanasiHasa huo. ???!
Je tuendelee kupoteza muda kwa kuwaamini wanasiHasa wa namna hizi ???!
Kumbe siku zote huwa tunadanganywa tu kama watoto wadogo. !
Huyu sms anazo Dr Msukuma hana thamani tena.Aliyekuwa mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA na Mwenyekiti wa Kanda ya Nyasa Mchungaji Peter Msigwa amesema atatumia nguvu na Juhudi zile zile za CHADEMA kuzunguka nchi nzima kuelezea Mazuri na Utakatifu wa CCM
Mchungaji Msigwa amewataka Wananchi wasikubali kudanganyika na Wapinzani kwani Shetani ni baba wa Uwongo
Soma Pia: Msigwa hana haja ya kuzunguka nchi nzima. Hana huo ushawishi na watanzania wengi hawamjui labda huko kwao Iringa
Credit: Mwanahalisi Digital
Kijamaa kijinga sana. 🤣🤣🤣🙏Aliyekuwa mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA na Mwenyekiti wa Kanda ya Nyasa Mchungaji Peter Msigwa amesema atatumia nguvu na Juhudi zile zile za CHADEMA kuzunguka nchi nzima kuelezea Mazuri na Utakatifu wa CCM
Mchungaji Msigwa amewataka Wananchi wasikubali kudanganyika na Wapinzani kwani Shetani ni baba wa Uwongo
Soma Pia: Msigwa hana haja ya kuzunguka nchi nzima. Hana huo ushawishi na watanzania wengi hawamjui labda huko kwao Iringa
Credit: Mwanahalisi Digital
Ghafla amekuwa Mpumbavu? 🐼CCM wanazidi kumjaza upepo azidi kuropoka halafu wanamkolimba kisha waseme Chadema ndiyo wamemuua,siku zake zinahesabika lazima CCM wamuue tu huyu mpumbavu kisha jumba bovu waangushiwe Chadema.
Ni sawaa ila CHADEMA itabaki tuu hata aropoke vipiAliyekuwa mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA na Mwenyekiti wa Kanda ya Nyasa Mchungaji Peter Msigwa amesema atatumia nguvu na Juhudi zile zile za CHADEMA kuzunguka nchi nzima kuelezea Mazuri na Utakatifu wa CCM
Mchungaji Msigwa amewataka Wananchi wasikubali kudanganyika na Wapinzani kwani Shetani ni baba wa Uwongo
Soma Pia: Msigwa hana haja ya kuzunguka nchi nzima. Hana huo ushawishi na watanzania wengi hawamjui labda huko kwao Iringa
Credit: Mwanahalisi Digital
Sasa mtu anayekubali kutumika kama toilet paper wewe ungemuitaje ?Jo muonye huyo ndugu yako watamuua kweli siyo masihara.Ghafla amekuwa Mpumbavu? 🐼