Pre GE2025 Mchungaji Msigwa: Kwa nguvu ile ile na Juhudi zile zile za CHADEMA nitazunguka nchi nzima kuelezea Utakatifu wa CCM, msidanganyike na Wapinzani

Pre GE2025 Mchungaji Msigwa: Kwa nguvu ile ile na Juhudi zile zile za CHADEMA nitazunguka nchi nzima kuelezea Utakatifu wa CCM, msidanganyike na Wapinzani

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Aliyekuwa mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA na Mwenyekiti wa Kanda ya Nyasa Mchungaji Peter Msigwa amesema atatumia nguvu na Juhudi zile zile za CHADEMA kuzunguka nchi nzima kuelezea Mazuri na Utakatifu wa CCM

Mchungaji Msigwa amewataka Wananchi wasikubali kudanganyika na Wapinzani kwani Shetani ni baba wa Uwongo

Soma Pia: Msigwa hana haja ya kuzunguka nchi nzima. Hana huo ushawishi na watanzania wengi hawamjui labda huko kwao Iringa

Credit: Mwanahalisi Digital
Kwani sisi hatuoni mpaka msigwa atuaminishe
Huu upumbavu wa vyama utaisha lini nchi hii
 
Aliyekuwa mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA na Mwenyekiti wa Kanda ya Nyasa Mchungaji Peter Msigwa amesema atatumia nguvu na Juhudi zile zile za CHADEMA kuzunguka nchi nzima kuelezea Mazuri na Utakatifu wa CCM

Mchungaji Msigwa amewataka Wananchi wasikubali kudanganyika na Wapinzani kwani Shetani ni baba wa Uwongo

Soma Pia: Msigwa hana haja ya kuzunguka nchi nzima. Hana huo ushawishi na watanzania wengi hawamjui labda huko kwao Iringa

Credit: Mwanahalisi Digital
mtengeneza njia kwajili ya ile sauti ya mtu aliae nyikani ana mbwembwe kweli kweli, amekua mwepesi sana saivi aise 🐒

kiufupi anaendelea kupata relief pole pole, ukilinganisha na alivyo anza na hali aliyokua nayo wakati akijiunga CCM......

ama kwa hakika,
CCM ni dawa na ni tiba ya moyo kisiasa 🐒
 
Ni bora kuelekea mazuri ya ccm kiasi flani anaweza kueleweka kuliko kueleza mapungufu ya chadema alipo kaa miaka na miaka leo hata miezi 6 hana huko aliko keshawaona ni wazuri.

Eleza watu utafanya nini huko ulikohamia mapungufu ya ulikokota hizo sio shida za wana ccm
 
Anajua maana ya utakatifu?. Mchungaji mzima hajui maana ya utakatifu. Ok, aendelee kuzunguka ili kaheshima kadogo alikobakiza kaishe kote abakie katuni na kichekesho kwa walionuna.
 
Aliyekuwa mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA na Mwenyekiti wa Kanda ya Nyasa Mchungaji Peter Msigwa amesema atatumia nguvu na Juhudi zile zile za CHADEMA kuzunguka nchi nzima kuelezea Mazuri na Utakatifu wa CCM

Mchungaji Msigwa amewataka Wananchi wasikubali kudanganyika na Wapinzani kwani Shetani ni baba wa Uwongo

Soma Pia: Msigwa hana haja ya kuzunguka nchi nzima. Hana huo ushawishi na watanzania wengi hawamjui labda huko kwao Iringa

Credit: Mwanahalisi Digital
Stupid pastor. Wenzako akina Nasary, Silinde, hata wale Covi 19 uliwasikia wanabwatukia chama kilichowalea kama wako kwenye joto. Wewe na hako kadichana kanakoitwa Upendo ndo mmekuwa wajinga wa kukata tawi mlilolikalia kwa muda mrefu. We zunguka tu si unalipwa?
 
Aliyekuwa mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA na Mwenyekiti wa Kanda ya Nyasa Mchungaji Peter Msigwa amesema atatumia nguvu na Juhudi zile zile za CHADEMA kuzunguka nchi nzima kuelezea Mazuri na Utakatifu wa CCM

Mchungaji Msigwa amewataka Wananchi wasikubali kudanganyika na Wapinzani kwani Shetani ni baba wa Uwongo

Soma Pia: Msigwa hana haja ya kuzunguka nchi nzima. Hana huo ushawishi na watanzania wengi hawamjui labda huko kwao Iringa

Credit: Mwanahalisi Digital
Hii tuseme ni njaa au ndio uanasiHasa huo. ???!
Je tuendelee kupoteza muda kwa kuwaamini wanasiHasa wa namna hizi ???!
Kumbe siku zote huwa tunadanganywa tu kama watoto wadogo. !
 
Aliyekuwa mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA na Mwenyekiti wa Kanda ya Nyasa Mchungaji Peter Msigwa amesema atatumia nguvu na Juhudi zile zile za CHADEMA kuzunguka nchi nzima kuelezea Mazuri na Utakatifu wa CCM

Mchungaji Msigwa amewataka Wananchi wasikubali kudanganyika na Wapinzani kwani Shetani ni baba wa Uwongo

Soma Pia: Msigwa hana haja ya kuzunguka nchi nzima. Hana huo ushawishi na watanzania wengi hawamjui labda huko kwao Iringa

Credit: Mwanahalisi Digital
Huyu akapimwe akili.
 
Hii tuseme ni njaa au ndio uanasiHasa huo. ???!
Je tuendelee kupoteza muda kwa kuwaamini wanasiHasa wa namna hizi ???!
Kumbe siku zote huwa tunadanganywa tu kama watoto wadogo. !
Usiogope Kiongozi! Huyu ni njaa inamsumbua na uchu wa madaraka. Hajapitia machungu waliyopotia wenzake ya kufilisiwq Mali,na kubambikiwq kesi
 
Aliyekuwa mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA na Mwenyekiti wa Kanda ya Nyasa Mchungaji Peter Msigwa amesema atatumia nguvu na Juhudi zile zile za CHADEMA kuzunguka nchi nzima kuelezea Mazuri na Utakatifu wa CCM

Mchungaji Msigwa amewataka Wananchi wasikubali kudanganyika na Wapinzani kwani Shetani ni baba wa Uwongo

Soma Pia: Msigwa hana haja ya kuzunguka nchi nzima. Hana huo ushawishi na watanzania wengi hawamjui labda huko kwao Iringa

Credit: Mwanahalisi Digital
Huyu sms anazo Dr Msukuma hana thamani tena.
 
Aliyekuwa mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA na Mwenyekiti wa Kanda ya Nyasa Mchungaji Peter Msigwa amesema atatumia nguvu na Juhudi zile zile za CHADEMA kuzunguka nchi nzima kuelezea Mazuri na Utakatifu wa CCM

Mchungaji Msigwa amewataka Wananchi wasikubali kudanganyika na Wapinzani kwani Shetani ni baba wa Uwongo

Soma Pia: Msigwa hana haja ya kuzunguka nchi nzima. Hana huo ushawishi na watanzania wengi hawamjui labda huko kwao Iringa

Credit: Mwanahalisi Digital
Kijamaa kijinga sana. 🤣🤣🤣🙏
 
CCM wanazidi kumjaza upepo azidi kuropoka halafu wanamkolimba kisha waseme Chadema ndiyo wamemuua,siku zake zinahesabika lazima CCM wamuue tu huyu mpumbavu kisha jumba bovu waangushiwe Chadema.
 
CCM wanazidi kumjaza upepo azidi kuropoka halafu wanamkolimba kisha waseme Chadema ndiyo wamemuua,siku zake zinahesabika lazima CCM wamuue tu huyu mpumbavu kisha jumba bovu waangushiwe Chadema.
Ghafla amekuwa Mpumbavu? 🐼
 
Aliyekuwa mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA na Mwenyekiti wa Kanda ya Nyasa Mchungaji Peter Msigwa amesema atatumia nguvu na Juhudi zile zile za CHADEMA kuzunguka nchi nzima kuelezea Mazuri na Utakatifu wa CCM

Mchungaji Msigwa amewataka Wananchi wasikubali kudanganyika na Wapinzani kwani Shetani ni baba wa Uwongo

Soma Pia: Msigwa hana haja ya kuzunguka nchi nzima. Hana huo ushawishi na watanzania wengi hawamjui labda huko kwao Iringa

Credit: Mwanahalisi Digital
Ni sawaa ila CHADEMA itabaki tuu hata aropoke vipi

Tutawasahu kama wengine tulivyowasahu kabisaa
 
Back
Top Bottom