Nehemia Kilave ninakuita
Ndugu yangu
Nadhani kuna namna fulani dhana ya
Siasa kidogo huijui.
Kwanza kabisa Chama cha Siasa huwa kinajenga
Ideology ambayo huwa inaaminiwa na wafuasi wake. Kama zilivyo dini, siasa nazo ni mfumo wa namna hiyo.
Mchungaji Msigwa siyo lengo pekee la kuongeza wafuasi ndani ya CCM bali pia kuongeza wigo wa watu wanaosikiliza sera za CCM.
Kumbuka mpaka sasa kunahoja ambazo
Msigwa amezitoa ambazo zimezalisha attention kwenye Taifa. Hata wale waliokuwa hawamfuatilii
MSigwa kila mkutano akienda watataka wasikie anaongea nini..
CCM haihitaji watu wote ndani ya CHADEMA bali inahiaji baadhi ya waliomo ndani ya Chama hicho wanaomuunga mkono Msingwa.
CCM tayari ipo na wanachama Hai zaidi ya 15,000,000.