wa ukae
JF-Expert Member
- Aug 11, 2008
- 2,720
- 2,151
Unaweza kufuata katiba lakini hiyo katiba Ikawa na mapungufu Moja kati ya pungufu katika katiba ya CHADEMA ni kutoweka ukomo katika cheo Cha MwenyekitiKama swala la kutokuwa na ukomo ingekuwa ni tatizo basi chama kisingesajiriwa. Demokrasia ni pamoja na kufata katiba
Mfano tu sisi tunaolilia katiba mpya kwani Nchi haina katiba? Katiba ipo ila tunaona baadhi ya maneno Yana mapungufu na kwa hili lazima Chadema wajirekebishe waludishe kipengere Cha ukomo kama ilivyokuwa mwanzo
Na kwa utaratibu huu atatokea mwingine atarekebisha katiba na kujiita Mwenyekiti wa milele