johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Yuko Kibaha chuoni anafundishwa ujinga wa kilumumbaMara nyingi Watu wanaohamia CCM kutoka Chadema huwaga na mbwembwe sana lakini kwa Mchungaji Msigwa imekuwa tofauti Kabisa
Yuko wapi Pastor?
Akijitokeza hatakuwa tofauti na Lucas Mwashambwa.Yuko Kibaha chuoni anafundishwa ujinga wa kilumumba
Wanamtengeneza kwanza siuliona maboko ya siku ile ya kupokelewa alikua nakigugumizi ila anajua " heshima na tamaa havikai nyumba moja" unachagua kimoja
Yaani Msigwa alivyokuwa anajua kujenga hoja hadi bunge zima linakuwa kimya kumsikiliza leo hii anafundishwa kusema na lile bilinganya Makalla !
Nimemuona nanihii kupelekwa saluni kabla hajapandishwa jukwaani kutukana Chadema. 🤣🤣Mara nyingi Watu wanaohamia CCM kutoka Chadema huwaga na mbwembwe sana lakini kwa Mchungaji Msigwa imekuwa tofauti Kabisa
Yuko wapi Pastor?
Upepo umekata mapema sn, CCM huwa wanawatumia kisha wanawatupa moja kwa mojaMara nyingi Watu wanaohamia CCM kutoka Chadema huwaga na mbwembwe sana lakini kwa Mchungaji Msigwa imekuwa tofauti Kabisa
Yuko wapi Pastor?
Liwe fundisho kwa wajinga wengineAshaumbuliwa kwa matamshi yake Tena yule mropokaji Musukuma ashatuibia Siri kuwa alikuwa MTU wao huku alikuwa anatafuta wa kumeguka nao amewakosa
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Mkuu anasubili teuziUpepo umekata mapema sn, CCM huwa wanawatumia kisha wanawatupa moja kwa moja
CCM ni wajinga anaweza asiteuliwe kabisaMkuu anasubili teuzi
Aaaaaa bwana wee, inawezekana kweli, kwa mapokezi yale! HAIWEZEKANICCM ni wajinga anaweza asiteuliwe kabisa
Habari ndio imeeendaa,hivyo atabakia kuiota chadena tu.Mara nyingi Watu wanaohamia CCM kutoka Chadema huwaga na mbwembwe sana lakini kwa Mchungaji Msigwa imekuwa tofauti Kabisa
Yuko wapi Pastor?
Utaona babaAaaaaa bwana wee, inawezekana kweli, kwa mapokezi yale! HAIWEZEKANI
Atasikika atakapo pata "Script" ya movie 🎥 mpya kwa sharti la kuikariri ipasavyo kabla ya igizo. 😂Mara nyingi Watu wanaohamia CCM kutoka Chadema huwaga na mbwembwe sana lakini kwa Mchungaji Msigwa imekuwa tofauti Kabisa
Yuko wapi Pastor?