phantomnation
Member
- Jun 8, 2022
- 58
- 106
Yupo iringa anaomboleza jamanii alifiwa na mwanae wa kwanzaa ko tumpe muda kidogo jamaniii alafu tutamrudia….
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naunga mkono hoja
AaaahaaaYuko Kibaha chuoni anafundishwa ujinga wa kilumumba
Hana umaarufu bila CHADEMA, CCM ina wenyewe hatosikika..Mara nyingi Watu wanaohamia CCM kutoka Chadema huwaga na mbwembwe sana lakini kwa Mchungaji Msigwa imekuwa tofauti Kabisa
Yuko wapi Pastor?
PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Nyasa, Mchungaji Peter Msigwa ahamia CCm
Ata rudije Chadema ili hali Ccm walikuwa wame mpatia pesa aivuruge kanda ya Nyasa? Baada ya kushindwa kwenye uchaguzi ika bidi aende yeye ccm baada ya kukosa fedha za kuwa rudishia? Yaani kule ni mateka kaji salimisha.. Njaa mbaya sana..Mara nyingi Watu wanaohamia CCM kutoka Chadema huwaga na mbwembwe sana lakini kwa Mchungaji Msigwa imekuwa tofauti Kabisa
Yuko wapi Pastor?
PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Nyasa, Mchungaji Peter Msigwa ahamia CCM
Anaandaa madini-chumvi/hotuba za kuisimanga CHADEMA na kuikosoakosoa yeye mwenyewe kwanza.Tulia hapohapo utamsikia tu/timings.Mara nyingi Watu wanaohamia CCM kutoka Chadema huwaga na mbwembwe sana lakini kwa Mchungaji Msigwa imekuwa tofauti Kabisa
Yuko wapi Pastor?
PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Nyasa, Mchungaji Peter Msigwa ahamia CCM
Huyo hatainuka tena labda arudi kwenye madhabahu atubu na ajikite kwenye omahubiri tu lakini kwenye siasa ameingia mkunge na pesa alizolipwa mpaka zimtokee puani asipowatukana viongozi wenzake alikotoka CDM. Mark my words...periodMara nyingi Watu wanaohamia CCM kutoka Chadema huwaga na mbwembwe sana lakini kwa Mchungaji Msigwa imekuwa tofauti Kabisa
Yuko wapi Pastor?
PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Nyasa, Mchungaji Peter Msigwa ahamia CCM
Legacy muhim sana jua kuliko pesa au vyeo ,Mwalim Nyerere amekufa akiwa maskini ,ila legacy yake ipo juu sana , nina wasiwasi Mhungaji msigwa alipingwa Ndumba sio yeyeMara nyingi Watu wanaohamia CCM kutoka Chadema huwaga na mbwembwe sana lakini kwa Mchungaji Msigwa imekuwa tofauti Kabisa
Yuko wapi Pastor?
PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Nyasa, Mchungaji Peter Msigwa ahamia CCM
Dk. Mashinji aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chadema alikuwa na vibe Gani baada ya kutoka Chadema na kuja CCM?Mara nyingi Watu wanaohamia CCM kutoka Chadema huwaga na mbwembwe sana lakini kwa Mchungaji Msigwa imekuwa tofauti Kabisa
Yuko wapi Pastor?
PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Nyasa, Mchungaji Peter Msigwa ahamia CCM
Ile karatasi aliyoandikiwa hakuisoma yote!! WamempuuzaMara nyingi Watu wanaohamia CCM kutoka Chadema huwaga na mbwembwe sana lakini kwa Mchungaji Msigwa imekuwa tofauti Kabisa
Yuko wapi Pastor?
PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Nyasa, Mchungaji Peter Msigwa ahamia CCM
Alikuwa kwa mwenyekiti wa mkoa Iringa walikuwa na kikao hujaona picha?Mara nyingi Watu wanaohamia CCM kutoka Chadema huwaga na mbwembwe sana lakini kwa Mchungaji Msigwa imekuwa tofauti Kabisa
Yuko wapi Pastor?
PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Nyasa, Mchungaji Peter Msigwa ahamia CCM