Pre GE2025 Mchungaji Msigwa Mbona hasikiki au amerudi CHADEMA Kimya Kimya?

Pre GE2025 Mchungaji Msigwa Mbona hasikiki au amerudi CHADEMA Kimya Kimya?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Walimpa kiki ili kuzima ishu ya sukari ya Mpina kumshtaki spika na Bashe..sasa kama ujuavyo ccm huwa inawatumia kisha inawaflash waende na mavi..kazi yake imeisha.
 
Unamlinganisha Mashinji na Kamanda Msigwa?!

Hujui Siasa wewe 🐼
Mimi ndio sijui siasa au wewe na Chadema ndio hamjui siasa? Ilikuwaje Chadema wakampa Ukatibu Mkuu Dk. Mashinji wakamuacha Mch. Msigwa? Unataka kusema Ukatibu Mkuu Chadema ni cheo cha OVYO kulinganisha na Uwenyekiti wa Kanda aliokuwa nao Mch. Msigwa? Ahahahahaha!!!!
 
Amejifungia ndani kukariri vimaneno vichache vya Oxford aje kututisha navyo!
 
Back
Top Bottom