SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Yote anayozungumza anaandikiwa na MakallaHivi bado qnaandikiwa tumemo na thinktank wa CCM. Maana ile clip ndio ilisababisha nisimtilie maanani Msigwa kwa chochote.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yote anayozungumza anaandikiwa na MakallaHivi bado qnaandikiwa tumemo na thinktank wa CCM. Maana ile clip ndio ilisababisha nisimtilie maanani Msigwa kwa chochote.
1979+ Freeman Mbowe alikuwa anaingia na " Mguu wa kuku" hadi Bar na mandata wanamwangalia tu 😂😂😂kwani huyu ndie yule alikuaga anakoroga chai pale ikulu?🐒
saa zinngine historia inatukumbusha mambo mengi sana mpaka tunaweza kudifine hulka za watu vizuri kiuhalisia walivyo 🐒1979+ Freeman Mbowe alikuwa anaingia na " Mguu wa kuku" hadi Bar na mandata wanamwangalia tu 😂😂😂
Enzi hizo mchungaji Msigwa anawauzia Mitumba Wanafunzi wa The Highlands sec school akina ASAS pale Unyaluni 😄🌹
Lile rungu la Cyprian Musiba kwa Bernard Membe limemlamba Msigwa,Yote anayozungumza anaandikiwa na Makalla
Salaam bwana John, laiti siku moja ningepata fursa ya kukutana na wewe ningechota historia kedekede na maarifa mengi.Freeman ndio Kijana wa kwanza kumuonaga akitembea na " Mguu wa kuku" hadi Bar 😀😀
Enzi hizo tunagonga Crown Beer kwa Mzee Kamtawa aka Saidi TANU pale Mwananyamala Komakoma 😂😂🌹🌹
Aliambiwa lini? Wapi?Msigwa aliambiwa kuwa ili awe analipwa na ccm inabidi awe anamtukana MBOWE
🤣🤣🤣Tunaomjua Freeman Mbowe tangu hajastaafu Utumishi wa Umma kwa kutimiza umri wa kustaafu tunajua Kamanda Peter Msigwa ameingia Cha kike 😂😂😂
Na hilo atakuwa amehakikishiwa na kina chimbi..kesi itapigwa danadana na Majaji wa Ccm.
Kwenye kikao cha makubaliano wakati anahamia ccm..Aliambiwa lini? Wapi?
Sina swali lingine Mheshimiwa Hakimu, nilitamani tu kusoma hilo au kusikia akipewa hayo maelekezo.Kwenye kikao cha makubaliano wakati anahamia ccm..
Swali lingine
Huyo Musiba unamsikia siku Hizi?Hili suala la kumpeleka mahakamani ndio limempa msigwa kitu aliokuwa anakitafuta. Mbowe kachemka au kashauriwa vibaya, wangeendelea kumpuuza angeacha mwenyewe, sasa kumpeleka mahakamani ni upuuzi kabisa wamemwongezea kiki.
Hizi kesi za hivi huwa zinàanza kwa mikwata mingi lakini huwa zinajifia zenyewe.mifano Musiba, Kipanya na mwijaku ingawa hii bado mbichi lakini itakufa kifo cha mende tu.
Kesi zenye fidia isiyokuwa na uhalisia ni kupoteza muda wa Mahakama
Na ule msemo wa "jini ulilolifuga mwenyewe ndiyo linalokufhuru" basi hapa umetimia.Ile habari ya nguruwe kujikaanga kwa mafuta yake mwenyewe ndiyo hii sasa 🐒
zimwi likujualo halikuli likakwisha 🤣Na ule msemo wa "jini ulilolifuga mwenyewe ndiyo linalokufhuru" basi hapa umetimia.
Mkuu pilipili usiokula yakuwashaje?Msigwa aliambiwa kuwa ili awe analipwa na ccm inabidi awe anamtukana MBOWE
Mahakama zetu zina kazi kweli kurudisha heshima yao. Labda huu utakuwa mwanzo...kesi itapigwa danadana na Majaji wa Ccm.
Una kitu fulani hapa, naelekea kukuelewa!Hapo hamna KESI bwashee
Shauri litamalizwa Kimya Kimya na Mchungaji Msigwa ataambiwa asidemand tena Ubunge kwani ameshalipiwa mahali kwenye kesi ya Ukweni 😃😃
Siasa ni Sayansi 😂