econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 20,189
- 29,663
..kesi itapigwa danadana na Majaji wa Ccm.
Shida ndio hapo. Mahakama na bunge vimekuwa idara za CCM.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
..kesi itapigwa danadana na Majaji wa Ccm.
Labda kama unategemea majaji wa ccm lakini unapomdharilisha mtu si taasisi basi tukutane mahakamaniMwanachama Mpya wa CCM kamanda Peter Msigwa amemtaka mwenyekiti wa Chadema Mh Mbowe wakutane mahakamani
Mbowe alimpa kamanda Peter Msigwa siku 5 za kuomba radhi kufuatia Kashfa mbalimbali alizomzushia
Kamanda Peter Msigwa ameandika Ukurasani X akianza kwa heshima kabisa Mr
Jumaa Mubarak 😀😀😀
===========
Aliyoandika Mchungaji Peter Msigwa kupitia ukurasa wake mtandao wa X
Kumbe Mwamba huwa aninifuatilia . Si walisema nipuuzwe . Niliomba hoja zangu zijibiwe , na Baadhi ya Viongozi wandamizi wa Chadema’ wamesisistiza hoja zangu zijibiwe. Freeman let me give you a friendly reminder
“A political problem need a political solution “
I’ll let the judge decide.
Mr Mbowe mwenyekiti uliyekaa Muda mrefu Sana.
Tukutane mahakamani .
Pia soma > Kuelekea 2025 - Freeman Mbowe amtaka Mchungaji Peter Msigwa kumuomba radhi kwenye Magazeti Frontpage, au Kulipa fidia ya Bilioni 5 kwa kumkashifu na kumchafua jina
Huyu naye masikini tumbili,mama yule naye Chura kiziwi,majina yataongezeka timu ya watekaji warriors.Na masikini tumbili hakujua kuwa huo ulikuwa mtego kwake
Huyu ni msigwa kweli??