Landrover 109
JF-Expert Member
- Mar 22, 2019
- 384
- 597
Siasa zenu za uhasama ndiyo maana jitu liko motoniNi Tanzania ambapo msaliti anafanyiwa home coming.
Rwanda walishavuka huu ujinga
Haya maneno hayakupaswa yatoke kwako mkuu!!Lissu is coming back health n sound... Mbaya wake ameshaoza imebakia skeleton... Matendo ya Mungu si ya binadamu
Msaliti ni yule aliyeenda kwa Shetani Trh 17/03/2021...na huko aliko anachomwa moto na wa milele!Ni Tanzania ambapo msaliti anafanyiwa home coming.
Rwanda walishavuka huu ujinga
Mkuu,unamaanisha Ben Rabiu Saanane,Azory Gwanda,Tundu Lissu na Watanzania waliouawa na kuwekwa kwenye viroba hawana ndugu walioumizwa na Magufuli?Haya maneno hayakupaswa yatoke kwako mkuu!!
Unaheshima na historia kubwa sana hapa JF. Tujifunze kusamehe na kuwapenda ndugu zetu waliotangulia mbele za haki japo walitenda mabaya kwetu. Haitasaidia kitu lakini maneno kama haya ni maumivu kwa wafiwa ambao ni watoto na ndugu wa Marehemu.
Unataka aandike maneno utakayoyapenda ?,Anaeua nafsi hawezi samehewa hapa duniani na huko mbinguni.Huwezi kujifanya Mungu mtu yaani alikuwa hatofautiani na Farau .Haya maneno hayakupaswa yatoke kwako mkuu!!
Unaheshima na historia kubwa sana hapa JF. Tujifunze kusamehe na kuwapenda ndugu zetu waliotangulia mbele za haki japo walitenda mabaya kwetu. Haitasaidia kitu lakini maneno kama haya ni maumivu kwa wafiwa ambao ni watoto na ndugu wa Marehemu.
Ametumia lugha za WachawiHaya maneno hayakupaswa yatoke kwako mkuu!!
Unaheshima na historia kubwa sana hapa JF. Tujifunze kusamehe na kuwapenda ndugu zetu waliotangulia mbele za haki japo walitenda mabaya kwetu. Haitasaidia kitu lakini maneno kama haya ni maumivu kwa wafiwa ambao ni watoto na ndugu wa Marehemu.
Karibu Lissu uendeleze mapambano ya kudai uhuru wetu.Mchungaji Msigwa amesema yeye ni Mwenyekiti wa Kamati ndogo ya Kamati kuu ya Lisu Home Coming na yuko jijini DSM kushirikiana na Viongozi wa Kanda ya Pwani kuandaa Mapokezi
Makamu Mwenyekiti wa Chadema mh Tundu Antipas Lisu atawasili Jumatano saa 7:35 mchana
Mchungaji Msigwa amelazimika kutoendelea na Mikutano ya Musoma ili asimamie uratibu wa Mapokezi ya Lisu
Source: Clouds tv
Hata hivyo haiwezi rudia usaliti kwa taifa lake,chamoto alikipata.Lissu is coming back health n sound... Mbaya wake ameshaoza imebakia skeleton... Matendo ya Mungu si ya binadamu
Muuaji anapoukumiwa kunyongwa unadhani ndugu zake hawaumii,?? je lengo la kutoa hiyo ukumu unadhani ni nini? TafakariHaya maneno hayakupaswa yatoke kwako mkuu!!
Unaheshima na historia kubwa sana hapa JF. Tujifunze kusamehe na kuwapenda ndugu zetu waliotangulia mbele za haki japo walitenda mabaya kwetu. Haitasaidia kitu lakini maneno kama haya ni maumivu kwa wafiwa ambao ni watoto na ndugu wa Marehemu.
Na ni fundisho pia kwao na wengine kuwa ukitenda uovu dhidi ya binadamu unaacha machukizo hata kwa familia yako na wakupendao.Haya maneno hayakupaswa yatoke kwako mkuu!!
Unaheshima na historia kubwa sana hapa JF. Tujifunze kusamehe na kuwapenda ndugu zetu waliotangulia mbele za haki japo walitenda mabaya kwetu. Haitasaidia kitu lakini maneno kama haya ni maumivu kwa wafiwa ambao ni watoto na ndugu wa Marehemu.
Uchumi wao kama USA??Ni Tanzania ambapo msaliti anafanyiwa home coming.
Rwanda walishavuka huu ujinga
Coming home Brother TLMchungaji Msigwa amesema yeye ni Mwenyekiti wa Kamati ndogo ya Kamati kuu ya Lisu Home Coming na yuko jijini DSM kushirikiana na Viongozi wa Kanda ya Pwani kuandaa Mapokezi
Makamu Mwenyekiti wa Chadema mh Tundu Antipas Lisu atawasili Jumatano saa 7:35 mchana
Mchungaji Msigwa amelazimika kutoendelea na Mikutano ya Musoma ili asimamie uratibu wa Mapokezi ya Lisu
Chanzo: Clouds tv
Tundu Kama Tundu Tunampenda sana Watanzania.Karibu nyumbani Tundu Lissu, njoo upige spana jukwaani.
Kwa kuna ubaya gani akilamba asali?Lissu kaijia buyu la asali kaona Mzee wa kubadili gea angani anafaidi Sana asali naye kaona isiwe tabu ngoja nikalambe zangu honey!!