Mchungaji Msigwa muogope Mungu na Teknolojia

Haya ni Maneno ya Msigwa akijificha kwenye keyboard humu JF. Kule CCM nako amechafua hali ya hewa kimataifa kwa kumnanga Rais Kurunzinza. Mropokaji mno.
 
Nimeandika kuhusu Msigwa leo asubuhi,jioni niliporudi alikuwepo assassin ananisubiri.
Tunaishi na ibilisi wengi katika nchi hii lakini uovu hautokei.
But that will change. Haiwezekani wawepo waovu lakini uovu usiwepo.
 
Takataka
 
Je kama Msigwa angeshinda uchaguzi ule leo hii angekuwa CCM? Jambo lingine kwako, una abuse jina la Bwana Yesu.
 
Maelezo meengi alafu ujinga mtupu.Usifikiri watu ni wajinga kama wewe.Mbowe yupo sana hapo.badili agenda.ya chadema waachie wenyewe.
 
Andiko lako linamuwakilisha yeye
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…