Mchungaji Msigwa: Rais Magufuli huenda kanisani kama muumini au Rais?

Umekasirika kuujua ukweli kwamba Msigwa alikuwa muuza mitumba?

Tena kwa taarifa yako hata kisiasa Msigwa alibebwa sana na marehemu Gervas Kalolo wa pale mashine mbili stendi!
Eti eeeeeeh ? πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Ondoa gazeti lako
 
Huku kutumia Makanisa ( Udini ) kupitia Kanisa Katoliki ndiyo kulikuwa Kichocheo kimojawapo cha 1994 Rwanda Genocide hivyo tuwe Makini mno na Kanisa Katoliki nalo liwe na Uangalifu wa Kutouendeleza huu Utamaduni wa Kipumbavu ambao hatukuwahi Kuuona katika Awamu za Marais Wakatoliki Hayati Nyerere na Hayati Mkapa.
 
Msigwa alikuwa muuza mitumba pale Miyomboni, alivyokuja Mrema ndio akawa anamuita kiutaniutani " mchungaji " na jina hilo likaenea

Kaka yake ndio Mchungaji na ana Kanisa la kilokole Mtwivila!
We dada unachunguza sana wanaume.
 

Boss huu utoto umeandika hapa hoja yako ni nini?
 
Unajua mi nilikuwa namuona msigwa kama ndo hope pekee iliyobaki chadema, kumbe na yeye yuko hivi? Nimetekewa kabisa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…