Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nani mkwe wake bhana ! ni ndugu tu wa Jiwe ndio alioa dada wa Msigwa , kwanza dada mwenyewe alishafariki kitamboKwa hiyo Msigwa anataka kupambania urais na mkwewe?
Walijaribu sumu kwa kuilamba.wako wapi na kwanini wako huko ?
Sumu hairambwiWalijaribu sumu kwa kuilamba.
Mkwe wa Lowassa kaachiwa , au Sumaye mashamba yake karejeshewa ?Sumu hairambwi
Eeenh, Erythro, unaelekea kufuzu kwa propaganda hizi!kwamba bei ya madiwani wa Chadema walionunuliwa Iringa inazidi bajeti ya mwaka ya wizara ya viwanda na biashara .
Na kweli, watu wamepiga hela ndefu! Kula helalkn kwenye sanduku la kura ni wewe na roho yako!unaonyesha kwamba bei ya madiwani wa Chadema walionunuliwa Iringa inazidi bajeti ya mwaka ya wizara ya viwanda na biashara
Muongo wa dunia akiwa Rais nakunywa sumuView attachment 1477671
Wote mnakaribishwa
Labda kwa faida ya wageni na wengine , Mchungaji Msigwa ndiye mbunge aliyekomesha siasa za kishamba Iringa mjini , huyu ndiye kiongozi aliyeifuta ccm Iringa , ambapo uchunguzi unaonyesha kwamba bei ya madiwani wa Chadema walionunuliwa Iringa inazidi bajeti ya mwaka ya wizara ya viwanda na biashara .
Tuendelee kuwa pamoja kwa yanayokuja .
😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁View attachment 1477671
Wote mnakaribishwa
Labda kwa faida ya wageni na wengine , Mchungaji Msigwa ndiye mbunge aliyekomesha siasa za kishamba Iringa mjini , huyu ndiye kiongozi aliyeifuta ccm Iringa , ambapo uchunguzi unaonyesha kwamba bei ya madiwani wa Chadema walionunuliwa Iringa inazidi bajeti ya mwaka ya wizara ya viwanda na biashara .
Tuendelee kuwa pamoja kwa yanayokuja .
Huyu si ni mkwe wa JPM huyu!!View attachment 1477671
Wote mnakaribishwa
Labda kwa faida ya wageni na wengine , Mchungaji Msigwa ndiye mbunge aliyekomesha siasa za kishamba Iringa mjini , huyu ndiye kiongozi aliyeifuta ccm Iringa , ambapo uchunguzi unaonyesha kwamba bei ya madiwani wa Chadema walionunuliwa Iringa inazidi bajeti ya mwaka ya wizara ya viwanda na biashara .
Tuendelee kuwa pamoja kwa yanayokuja .
Kwani Ana elimu gani? Ndio maana kaandikaElimu hana cheti pekee alichonacho ni cha ubatizo
Eti FOR PRESIDENT!View attachment 1477671
Wote mnakaribishwa
Labda kwa faida ya wageni na wengine , Mchungaji Msigwa ndiye mbunge aliyekomesha siasa za kishamba Iringa mjini , huyu ndiye kiongozi aliyeifuta ccm Iringa , ambapo uchunguzi unaonyesha kwamba bei ya madiwani wa Chadema walionunuliwa Iringa inazidi bajeti ya mwaka ya wizara ya viwanda na biashara .
Tuendelee kuwa pamoja kwa yanayokuja .
CCM katiba yao ni kila baada ya miaka 10 ndo wanafanya mchakato wa kuchagua mgombea.mwaka huu imekuwaje ?
Hana lolote huyo anatafuna kisingizio Cha kukimbia chadema maana atakatwa tuu na keshapiga mahesabu kule iringa mgombea wa CCM aliyetarajiwa hayupo Tena kufa kufaana.Kwa hiyo Msigwa anataka kupambania urais na mkwewe?
Tatizo unayechekanaye usidhani ni rafiki wabaya wapo humo humoMwakalebela kilichomkuta 2015 hatokisahau kudadeki zake ! aishukuru Yanga kwa kumsitiri
Ni for Presidency na si For PresidentView attachment 1477671
Wote mnakaribishwa
Labda kwa faida ya wageni na wengine , Mchungaji Msigwa ndiye mbunge aliyekomesha siasa za kishamba Iringa mjini , huyu ndiye kiongozi aliyeifuta ccm Iringa , ambapo uchunguzi unaonyesha kwamba bei ya madiwani wa Chadema walionunuliwa Iringa inazidi bajeti ya mwaka ya wizara ya viwanda na biashara .
Tuendelee kuwa pamoja kwa yanayokuja .
Unajifanya hujui utaratibu wa chama?mwaka huu imekuwaje ?
Hahahaaaa....... Rip Anthony Ng'owoNi for Presidency na si For President
Huyu alikuwa muuza miche ya miti na matunda mwenzangu huyu 2000-2005. Kijiwe chetu kulikuwa opposite na NSSF kwenye duka la unga la mzee Ng'owo