Uchaguzi 2020 Mchungaji Msigwa rasmi kutangaza nia Dodoma hotel Jumapili 14 Juni

Ushahidi kuwa Chadema na wafuasi wake wamechanganyikiwa ki akili na sasa wanapuka hovyo.
 
Watanzania tumelogwa?
Hivi tukiwaweka Mchungaji Msigwa, Mama Samia (Makamu), Majaliwa (PM). Nani anafaa kuwa rais kati ya hawawa?
 
Ni for Presidency na si For President

Huyu alikuwa muuza miche ya miti na matunda mwenzangu huyu 2000-2005. Kijiwe chetu kulikuwa opposite na NSSF kwenye duka la unga la mzee Ng'owo
Eti FOR PRESIDENT!
Hahaha mgombea wa chadema hakuna hata mmoja huko wa kusahihisha Hilo bango?

Sent using Jamii Forums mobile app
For president is right.

By the way, hii ndiyo imekua ikitumika traditionally miaka nenda miaka rudi.

Na inatumika mainly huko kwa wenye kiingereza chao, haikuanzia Chadema.

President ni job title ya position, kama accountant ama receptionist.

Hivyo basi, while kusema Johnthebaptist for receptionist ama Erythrocyte for accountant ni sahihi, Trump for president ni sahihi vile vile, consider kama inafuatiliwa na neno position hapo
 
Ni for Presidency na si For President

Huyu alikuwa muuza miche ya miti na matunda mwenzangu huyu 2000-2005. Kijiwe chetu kulikuwa opposite na NSSF kwenye duka la unga la mzee Ng'owo
sasa si wateja wake umechukua wewe !
 
Kweli hakuna watu wajinga kama wazungu. Chadema wanawachezea sinema ili wajidai wanademokrasia ili wapate pesa za kupigia kampeni.
 
Siyo kile chama kingine, wakisikia tu fununu mtu anataka kuchukua fomu, kupambana na Jiwe, anafukuzwa kwenye Chama!
Mungu aipumzishe kwa amani roho ya marehemu Chacha Wangwe! Nadhani umenielewa...
 
Chadema wanatukosea sana huko lissu katangaza nia tena baada ya muda mfupi anaomba mchango unashindwa elewa wa kazi gani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…