Mchungaji Msigwa umetukosea heshima wanandugu kwa kushindwa kutambua mchango wa fedha za familia

Mchungaji Msigwa umetukosea heshima wanandugu kwa kushindwa kutambua mchango wa fedha za familia

Nimemsikiliza kwa makini ndugu yangu PETER MSIGWA kwenye hotuba yake na vyombo vya habari ambapo yeye na viongozi wengine wa Chadema waliokuwa gerezani wameachiwa huru baada ya kulipa faini.

Kilichonishangaza ni MSIGWA kushindwa kutambua mchango wetu wa kifedha uliokuwa unaratibiwa na kaka yake, BERNET MSIGWA ambapo kwa ndugu wa huku Iringa tulifanikiwa kukusanya jumla ya milioni 2 na baadae alikwenda kuomba msaada kwa mwanafamilia mwenzetu Mhe. Rais JOHN MAGUFULI ambaye alijitolea sh. milioni 38.

MSIGWA kwa kutanguliza maslahi ya Chadema umeikana michango yetu wanandugu, eti kwa sababu wakati kaka yake BERNET anashughulika kukutoa gerezani aliambatana na POLEPOLE ambaye kutokana na Mhe. Rais kutingwa na Majukumu alimuagiza ashirikiane nae.

Ndugu yetu PETER kumbuka kuna maisha baada ya Siasa, kuna muda utastaafu Siasa, utapata misiba(japo siombei hilo)na hata kufariki dunia, sisi ndugu zako ndio tutakaowajibika kukusitiri na kusaidia familia utakayoiacha Chadema hawata kuwa na wewe tena.

Ni raia yangu utajitokeza kwa wanandugu kuomba msamaha juu ya jambo hilo, ikumbukwe kwa mila na desturi zetu za kihehe mafadhaiko uliyosababisha kwetu yanaweza kukusababishia laana ya kushindwa ubunge kwenye uchaguzi na kufukuzwa uanachama na Chadema.

Ndimi ndugu yako,
Luvanda Ngurusavangi Msigwa
Igumbilo, Iringa.
Kama kweli wewe ni ndugu wa damu wa Mch. Peter Msigwa basi nampa pole kuwa na ndugu juha kama wewe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Weka DNA test tuone kama wewe kweli ni ndugu. Wapo wengi wanajiita ndugu lakini ni aliens
 
Nimemsikiliza kwa makini ndugu yangu PETER MSIGWA kwenye hotuba yake na vyombo vya habari ambapo yeye na viongozi wengine wa Chadema waliokuwa gerezani wameachiwa huru baada ya kulipa faini.

Kilichonishangaza ni MSIGWA kushindwa kutambua mchango wetu wa kifedha uliokuwa unaratibiwa na kaka yake, BERNET MSIGWA ambapo kwa ndugu wa huku Iringa tulifanikiwa kukusanya jumla ya milioni 2 na baadae alikwenda kuomba msaada kwa mwanafamilia mwenzetu Mhe. Rais JOHN MAGUFULI ambaye alijitolea sh. milioni 38.

MSIGWA kwa kutanguliza maslahi ya Chadema umeikana michango yetu wanandugu, eti kwa sababu wakati kaka yake BERNET anashughulika kukutoa gerezani aliambatana na POLEPOLE ambaye kutokana na Mhe. Rais kutingwa na Majukumu alimuagiza ashirikiane nae.

Ndugu yetu PETER kumbuka kuna maisha baada ya Siasa, kuna muda utastaafu Siasa, utapata misiba(japo siombei hilo)na hata kufariki dunia, sisi ndugu zako ndio tutakaowajibika kukusitiri na kusaidia familia utakayoiacha Chadema hawata kuwa na wewe tena.

Ni raia yangu utajitokeza kwa wanandugu kuomba msamaha juu ya jambo hilo, ikumbukwe kwa mila na desturi zetu za kihehe mafadhaiko uliyosababisha kwetu yanaweza kukusababishia laana ya kushindwa ubunge kwenye uchaguzi na kufukuzwa uanachama na Chadema.

Ndimi ndugu yako,
Luvanda Ngurusavangi Msigwa
Igumbilo, Iringa.
Msigwa kasema mambo ya kifamilia yanaongelewa nyumbani kifamilia siyo kwenye kadamnasi na si hapa jamvini. Kaongeeni hayo nyumbani kuwa kawakosea kutotambua mchango wenu.
 
Nimemsikiliza kwa makini ndugu yangu PETER MSIGWA kwenye hotuba yake na vyombo vya habari ambapo yeye na viongozi wengine wa Chadema waliokuwa gerezani wameachiwa huru baada ya kulipa faini.

Kilichonishangaza ni MSIGWA kushindwa kutambua mchango wetu wa kifedha uliokuwa unaratibiwa na kaka yake, BERNET MSIGWA ambapo kwa ndugu wa huku Iringa tulifanikiwa kukusanya jumla ya milioni 2 na baadae alikwenda kuomba msaada kwa mwanafamilia mwenzetu Mhe. Rais JOHN MAGUFULI ambaye alijitolea sh. milioni 38.

MSIGWA kwa kutanguliza maslahi ya Chadema umeikana michango yetu wanandugu, eti kwa sababu wakati kaka yake BERNET anashughulika kukutoa gerezani aliambatana na POLEPOLE ambaye kutokana na Mhe. Rais kutingwa na Majukumu alimuagiza ashirikiane nae.

Ndugu yetu PETER kumbuka kuna maisha baada ya Siasa, kuna muda utastaafu Siasa, utapata misiba(japo siombei hilo)na hata kufariki dunia, sisi ndugu zako ndio tutakaowajibika kukusitiri na kusaidia familia utakayoiacha Chadema hawata kuwa na wewe tena.

Ni raia yangu utajitokeza kwa wanandugu kuomba msamaha juu ya jambo hilo, ikumbukwe kwa mila na desturi zetu za kihehe mafadhaiko uliyosababisha kwetu yanaweza kukusababishia laana ya kushindwa ubunge kwenye uchaguzi na kufukuzwa uanachama na Chadema.

Ndimi ndugu yako,
Luvanda Ngurusavangi Msigwa
Igumbilo, Iringa.
Hili litakuwa lijitu la ccm limetumwa kuja kuleta porojo huku ili kuhadaa umma wa wapigania haki, Mh Msigwa ni wa kwetu nyie nendeni huko mkaangaike na Polepole
 
Msigwa ni Mchungaji wa kanisa gani

Sent using Jamii Forums mobile app
Alishasaliti kanisa

Vineyard.jpg
 
  • mngepeleka chadema waunganishe nguvu.
  • kama mliona za maana si mngeenda benki kimya kuzilipa na kumtoa?
  • matangazo yalikuwa ya nini?
  • kwanini muanze michango baada ya wanawake wa chadema kutolewa rumande?
  • kama vipi andamaneni mkadai hela zenu pale KRA
Tenda wema nenda zako
 
Kwani aliwaomba mumchangie au kiherehere chenu ili mjiinue baada ya kujua rais ni ndg yenu.
Nyambafu na msirudie tena, msigwa syo wa kulamba miguu inayonuka.
Nimemsikiliza kwa makini ndugu yangu PETER MSIGWA kwenye hotuba yake na vyombo vya habari ambapo yeye na viongozi wengine wa Chadema waliokuwa gerezani wameachiwa huru baada ya kulipa faini.

Kilichonishangaza ni MSIGWA kushindwa kutambua mchango wetu wa kifedha uliokuwa unaratibiwa na kaka yake, BERNET MSIGWA ambapo kwa ndugu wa huku Iringa tulifanikiwa kukusanya jumla ya milioni 2 na baadae alikwenda kuomba msaada kwa mwanafamilia mwenzetu Mhe. Rais JOHN MAGUFULI ambaye alijitolea sh. milioni 38.

MSIGWA kwa kutanguliza maslahi ya Chadema umeikana michango yetu wanandugu, eti kwa sababu wakati kaka yake BERNET anashughulika kukutoa gerezani aliambatana na POLEPOLE ambaye kutokana na Mhe. Rais kutingwa na Majukumu alimuagiza ashirikiane nae.

Ndugu yetu PETER kumbuka kuna maisha baada ya Siasa, kuna muda utastaafu Siasa, utapata misiba(japo siombei hilo)na hata kufariki dunia, sisi ndugu zako ndio tutakaowajibika kukusitiri na kusaidia familia utakayoiacha Chadema hawata kuwa na wewe tena.

Ni raia yangu utajitokeza kwa wanandugu kuomba msamaha juu ya jambo hilo, ikumbukwe kwa mila na desturi zetu za kihehe mafadhaiko uliyosababisha kwetu yanaweza kukusababishia laana ya kushindwa ubunge kwenye uchaguzi na kufukuzwa uanachama na Chadema.

Ndimi ndugu yako,
Luvanda Ngurusavangi Msigwa
Igumbilo, Iringa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Msigwa ni mchungaji wa kanisa la vine yard kama sijasahau. alikuwa anatumia ukumbi kwa kufanya ibada karibu na makitaba iringa. Nimeabudu kanisani kwake. Ni mtumishi wa Mungu! Nimewahi kum translate kwa kiswahili wakati yy akihubiri kwa english. Mahubiri ya mchungaji yako very powerful.

Anapenda sana kutunza mazingira na akiwa anauza pia miche ya miti, maua, nk.

Lakini Najiuliza kama huyu mtumishi wa Mungu anao muda tena wa kuchunga kondoo wa Bwana maana asilimia 100 yuko kwenye siasa. siasa za kushinda mahakamani, polisi, nk.
 
Nimemsikiliza kwa makini ndugu yangu PETER MSIGWA kwenye hotuba yake na vyombo vya habari ambapo yeye na viongozi wengine wa Chadema waliokuwa gerezani wameachiwa huru baada ya kulipa faini.

Kilichonishangaza ni MSIGWA kushindwa kutambua mchango wetu wa kifedha uliokuwa unaratibiwa na kaka yake, BERNET MSIGWA ambapo kwa ndugu wa huku Iringa tulifanikiwa kukusanya jumla ya milioni 2 na baadae alikwenda kuomba msaada kwa mwanafamilia mwenzetu Mhe. Rais JOHN MAGUFULI ambaye alijitolea sh. milioni 38.

MSIGWA kwa kutanguliza maslahi ya Chadema umeikana michango yetu wanandugu, eti kwa sababu wakati kaka yake BERNET anashughulika kukutoa gerezani aliambatana na POLEPOLE ambaye kutokana na Mhe. Rais kutingwa na Majukumu alimuagiza ashirikiane nae.

Ndugu yetu PETER kumbuka kuna maisha baada ya Siasa, kuna muda utastaafu Siasa, utapata misiba(japo siombei hilo)na hata kufariki dunia, sisi ndugu zako ndio tutakaowajibika kukusitiri na kusaidia familia utakayoiacha Chadema hawata kuwa na wewe tena.

Ni raia yangu utajitokeza kwa wanandugu kuomba msamaha juu ya jambo hilo, ikumbukwe kwa mila na desturi zetu za kihehe mafadhaiko uliyosababisha kwetu yanaweza kukusababishia laana ya kushindwa ubunge kwenye uchaguzi na kufukuzwa uanachama na Chadema.

Ndimi ndugu yako,
Luvanda Ngurusavangi Msigwa
Igumbilo, Iringa.
Huyu atakuwa ni mpuuzi mwingine. Hakustahili kuchanganya undugu na ushabiki wake kwa CCM.

Hakukuwa na ndugu yeyote yule mpaka akatafutwe Polepole?
 
Msigwa ni mchungaji wa kanisa la vine yard kama sijasahau. alikuwa anatumia ukumbi kwa kufanya ibada karibu na makitaba iringa. Nimeabudu kanisani kwake. Ni mtumishi wa Mungu! Nimewahi kum translate kwa kiswahili wakati yy akihubiri kwa english. Mahubiri ya mchungaji yako very powerful.

Anapenda sana kutunza mazingira na akiwa anauza pia miche ya miti, maua, nk.

Lakini Najiuliza kama huyu mtumishi wa Mungu anao muda tena wa kuchunga kondoo wa Bwana maana asilimia 100 yuko kwenye siasa. siasa za kushinda mahakamani, polisi, nk.
Mkuu upako anao?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Msigwa ni mchungaji wa kanisa la vine yard kama sijasahau. alikuwa anatumia ukumbi kwa kufanya ibada karibu na makitaba iringa. Nimeabudu kanisani kwake. Ni mtumishi wa Mungu! Nimewahi kum translate kwa kiswahili wakati yy akihubiri kwa english. Mahubiri ya mchungaji yako very powerful.

Anapenda sana kutunza mazingira na akiwa anauza pia miche ya miti, maua, nk.

Lakini Najiuliza kama huyu mtumishi wa Mungu anao muda tena wa kuchunga kondoo wa Bwana maana asilimia 100 yuko kwenye siasa. siasa za kushinda mahakamani, polisi, nk.
Mkuu umeanza vizuri kwa kumsifia Mchungaji Msigwa, kwa nini tena unamalizia kwa kumzodoa ?.
 
Nimemsikiliza kwa makini ndugu yangu PETER MSIGWA kwenye hotuba yake na vyombo vya habari ambapo yeye na viongozi wengine wa Chadema waliokuwa gerezani wameachiwa huru baada ya kulipa faini.

Kilichonishangaza ni MSIGWA kushindwa kutambua mchango wetu wa kifedha uliokuwa unaratibiwa na kaka yake, BERNET MSIGWA ambapo kwa ndugu wa huku Iringa tulifanikiwa kukusanya jumla ya milioni 2 na baadae alikwenda kuomba msaada kwa mwanafamilia mwenzetu Mhe. Rais JOHN MAGUFULI ambaye alijitolea sh. milioni 38.

MSIGWA kwa kutanguliza maslahi ya Chadema umeikana michango yetu wanandugu, eti kwa sababu wakati kaka yake BERNET anashughulika kukutoa gerezani aliambatana na POLEPOLE ambaye kutokana na Mhe. Rais kutingwa na Majukumu alimuagiza ashirikiane nae.

Ndugu yetu PETER kumbuka kuna maisha baada ya Siasa, kuna muda utastaafu Siasa, utapata misiba(japo siombei hilo)na hata kufariki dunia, sisi ndugu zako ndio tutakaowajibika kukusitiri na kusaidia familia utakayoiacha Chadema hawata kuwa na wewe tena.

Ni raia yangu utajitokeza kwa wanandugu kuomba msamaha juu ya jambo hilo, ikumbukwe kwa mila na desturi zetu za kihehe mafadhaiko uliyosababisha kwetu yanaweza kukusababishia laana ya kushindwa ubunge kwenye uchaguzi na kufukuzwa uanachama na Chadema.

Ndimi ndugu yako,
Luvanda Ngurusavangi Msigwa
Igumbilo, Iringa.
Mambo Yakifamilia yana taratibu zake,msigwa ni simba Wa yuda nitaendelea kumuheshimu sana
 
Nimemsikiliza kwa makini ndugu yangu PETER MSIGWA kwenye hotuba yake na vyombo vya habari ambapo yeye na viongozi wengine wa Chadema waliokuwa gerezani wameachiwa huru baada ya kulipa faini.

Kilichonishangaza ni MSIGWA kushindwa kutambua mchango wetu wa kifedha uliokuwa unaratibiwa na kaka yake, BERNET MSIGWA ambapo kwa ndugu wa huku Iringa tulifanikiwa kukusanya jumla ya milioni 2 na baadae alikwenda kuomba msaada kwa mwanafamilia mwenzetu Mhe. Rais JOHN MAGUFULI ambaye alijitolea sh. milioni 38.

MSIGWA kwa kutanguliza maslahi ya Chadema umeikana michango yetu wanandugu, eti kwa sababu wakati kaka yake BERNET anashughulika kukutoa gerezani aliambatana na POLEPOLE ambaye kutokana na Mhe. Rais kutingwa na Majukumu alimuagiza ashirikiane nae.

Ndugu yetu PETER kumbuka kuna maisha baada ya Siasa, kuna muda utastaafu Siasa, utapata misiba(japo siombei hilo)na hata kufariki dunia, sisi ndugu zako ndio tutakaowajibika kukusitiri na kusaidia familia utakayoiacha Chadema hawata kuwa na wewe tena.

Ni raia yangu utajitokeza kwa wanandugu kuomba msamaha juu ya jambo hilo, ikumbukwe kwa mila na desturi zetu za kihehe mafadhaiko uliyosababisha kwetu yanaweza kukusababishia laana ya kushindwa ubunge kwenye uchaguzi na kufukuzwa uanachama na Chadema.

Ndimi ndugu yako,
Luvanda Ngurusavangi Msigwa
Igumbilo, Iringa.
Sijawahi kuona Wahehe wanafiki kiasi hiki.
Wakati "mwanafamilia" mwenzenu anampeleka Mhe. Peter Msigwa mahabusu 'bila kosa' na kumpitisha Kisutu wakati anampeleka jela, Wanafamilia mlikuwa mmeziba masikio na kufumba macho?
Masononeko na mateso ya watoto wa Msigwa, na mama yao hamkuyaona?
Masononeko yenu yamejitokeza tu, baada ya Watanzania kumtoa jela?
Luvanda Ngurusavangi Msigwa, unajua kuwa kulipa faini maana yake ni kwamba Mhe. Peter Msigwa ametumikia kifungo?
Unajua kuwa kumbukumbu za kifungo ni doa chafu katika maisha yake?
Je, wanafamilia mnaandaa utaratibu gani kufuta hilo doa chafu?
Luvanda, wanafamilia mmejipangaje kuhakikisha kuwa mwamafamilia mwenzenu Mhe. Peter Msigwa anaendelea kupata haki yake ya kuongea na Watanzania waliompigia kura kuwa Mbunge ambazo zimenyakuliwa a "mwanafamilia mwenzenu aliyechangia milioni 38"?
Kinyume cha hapo, wewe Luvanga Ngurusavangi Msigwa utakuwa ni mshiriki wa utesaji wa Mhe. Peter Msigwa.
 
Back
Top Bottom