johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Mwenyekiti mstaafu wa CHADEMA Kanda ya Nyasa Mchungaji Msigwa ataongea na Waandishi wa habari Leo saa 5 00 asubuhi nyumbani kwake Kihesa - Iringa
Yajayo yanafurahisha na tutawajuza kutokea hapa Unyaluni 😄🔥
Ahsanteni.
Yajayo yanafurahisha na tutawajuza kutokea hapa Unyaluni 😄🔥
Ahsanteni.