Mchungaji Msigwa wa CHADEMA kuongea na Waandishi wa Habari leo saa 5:00 asubuhi

Mchungaji Msigwa wa CHADEMA kuongea na Waandishi wa Habari leo saa 5:00 asubuhi

Mwenyekiti mstaafu wa CHADEMA Kanda ya Nyasa Mchungaji Msigwa ataongea na Waandishi wa habari Leo saa 5 00 asubuhi nyumbani kwake Kihesa - Iringa

Yajayo yanafurahisha na tutawajuza kutokea hapa Unyaluni 😄🔥

Ahsanteni.
Imeenda hiyo aisee
 
1717403533412.png

AMETOA UTAMBULISHO WOTE UNAMTAMBULISHA KAMA MWANA CHADEMA.
 
Ataongea Kwa niaba ya Lisu team wamepanga kuichafua Chadema Halafu wanahamia ACT wazalendo
daa wakihamia ACT uchsguz ujao utakuwa na upinzani mkali sana maana act wana nguvu tayari na wanaenda kuiua chadema kabisa hapo na kina mdee wanahamia act na kundi lake halafu wote wanarudi bungeni safiiiiiiiii
 

CHADEMA wanapenda 'usela' sana, yani wamemchagua Sugu wakamuacha Msigwa?

Nimeona pia baadhi wanamuita Msigwa pandikizi la CCM, hii ndio njia pekee inayotumika ndani ya CHADEMA kumuua mwanachama wao kisiasa ndani ya chama.

Eti "wanamwita" au nyie CCM ndio mnaji - impersonate kama CHADEMA na kumuita hivyo ndugu Mch. Peter Msigwa purposely ili kujaribu kuleta vurugu?

It's impossible kui - shake CHADEMA kwa style hiyo. Na Mch Msigwa si mtu wa kuwa shaken na maCCM kwa namna hiyo ya kijinga!
 
Wacha ujinga,unaelewa maana ya uchaguzi wewe kifaduro?
Kama kuna sehemu nimekuumiza, pole!

Tatizo la vichwa maji wengi ni kusoma ili kukosoa na sio kusoma ili kuelewa. Niliposema CHADEMA wanapenda usela, "wamemchagua" Sugu wakamuacha Msigwa hukuelewa kwamba nimezungumzia uchaguzi hapo? Kwamba walipewa fursa ya kuchagua na wamemchagua msela?

Hizo shule mlienda kusomea ujinga?
 
Ngoja tutege TV zetu tujue ni nini kimemkumba Mchungaji Msigwa Kamanda wetu Shupavu kabisa.

Ila tujichunge na fitina zinazotaka kupandikizwe na Mama Abduli.
 
Eti "wanamwita" au nyie CCM ndio mnaji - impersonate kama CHADEMA na kumuita hivyo ndugu Mch. Peter Msigwa purposely ili kujaribu kuleta vurugu?

It's impossible kui - shake CHADEMA kwa style hiyo. Na Mch Msigwa si mtu wa kuwa shaken na maCCM kwa namna hiyo ya kijinga!
Na huu ndio ugonjwa wenu, mtu akiwa na mawazo tofauti na nyie tayari mnampa U-CCM. Wewe nani amekwambia mimi mwanaCCM? Ukinikuta nimeikosoa CCM humu utanipa chama gani?
 
Kama kuna sehemu nimekuumiza, pole!

Tatizo la vichwa maji wengi ni kusoma ili kukosoa na sio kusoma ili kuelewa. Niliposema CHADEMA wanapenda usela, "wamemchagua" Sugu wakamuacha Msigwa hukuelewa kwamba nimezungumzia uchaguzi hapo? Kwamba walipewa fursa ya kuchagua na wamemchagua msela?

Hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Siwezi kuumizwa na mpumbavu. Sana sana ninawachora tu maujinga yenu mnayopost
 
Kama kuna sehemu nimekuumiza, pole!

Tatizo la vichwa maji wengi ni kusoma ili kukosoa na sio kusoma ili kuelewa. Niliposema CHADEMA wanapenda usela, "wamemchagua" Sugu wakamuacha Msigwa hukuelewa kwamba nimezungumzia uchaguzi hapo? Kwamba walipewa fursa ya kuchagua na wamemchagua msela?

Hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Wewe ndiye mjinga unayetaka Chadema wafanye kama akili yako inavyowaza.
 
Siwezi kuumizwa na mpumbavu. Sana sana ninawachora tu maujinga yenu mnayopost
Wewe ndiye mjinga unayetaka Chadema wafanye kama akili yako inavyowaza.
Majibu hayakuwa yako mkuu, nadhani nilikuwa najadili na mtu mwingine.

Ila kama ndio unamiliki ID mbili, naendelea kukupa pole zaidi! Kujibu ujumbe mmoja mara mbili ni kiashiria tosha cha maumivu makali, sikuwa na nia ya kukuumiza!
 
Kama kuna sehemu nimekuumiza, pole!

Tatizo la vichwa maji wengi ni kusoma ili kukosoa na sio kusoma ili kuelewa. Niliposema CHADEMA wanapenda usela, "wamemchagua" Sugu wakamuacha Msigwa hukuelewa kwamba nimezungumzia uchaguzi hapo? Kwamba walipewa fursa ya kuchagua na wamemchagua msela?

Hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Bimkubwa umekuja kivingine
 
Back
Top Bottom