Kimalingano
JF-Expert Member
- Mar 27, 2023
- 709
- 919
kahama chamaMlioko huko mtuambie kasema nini
Saa 6:47 sasaMwenyekiti mstaafu wa CHADEMA Kanda ya Nyasa Mchungaji Msigwa ataongea na Waandishi wa habari Leo saa 5 00 asubuhi nyumbani kwake Kihesa - Iringa
Yajayo yanafurahisha na tutawajuza kutokea hapa Unyaluni ππ₯
Ahsanteni.
ACT Ina nguvu gani?.daa wakihamia ACT uchsguz ujao utakuwa na upinzani mkali sana maana act wana nguvu tayari na wanaenda kuiua chadema kabisa hapo na kina mdee wanahamia act na kundi lake halafu wote wanarudi bungeni safiiiiiiiii
Asipoachia mwaka huu nitaenda kumtoa mwenyewe.Mbona mwenyekiti hataki kuachia wengine?
Acha kupotosha. Hajahama chama Bali kaamua kukata Rufaa.kahama chama
Ameyasemea wapi?Acha kupotosha. Hajahama chama Bali kaamua kukata Rufaa.
Mbona hutujuzi kutoka huko Unyaluni au umejisahau baada ya kunywa Ulanzi?!Yajayo yanafurahisha na tutawajuza kutokea hapa Unyaluni
Erythrocyte ameshaleta Taarifa nami niko kule nachangia πMbona hutujuzi kutoka huko Unyaluni au umejisahau baada ya kunywa Ulanzi?!