brownjosephati
JF-Expert Member
- Jun 7, 2024
- 549
- 674
Duuuuu, umeua.Nilimuomba Lissu mapema ataje aliyempelekea Abdul nikimlenga Msigwa moja kwa moja, kwa vile kikichomkimbiza Chadema ni video zake za kugawa rushwa kwenye Kanda.
Mbowe huyu anayetukanwa ndio amezuia kusambazwa Video za Aibu za Msigwa akigawa rushwa ili kumuokoa.
Hata hivyo akiendelea na ujinga tutavunja protocol
Wewe shida yako ni ukosefu wa busara hivyo unadhani wengine nao hawana busara.Hahaha, hai make sense kabisa...
Nyinyi muwe na uchafu wa Msigwa halafu mkae kimya?
AsanteππΎππΎππΎMtajuana wenyewe kenge nyie.
Ni Msigwa ila muda wa kumtaja haujatimiaLissu amseme HADHARANI huyo Mtu aliyempeleka Abdul kwake kwa lengo la kwenda kumhonga.
TuuHii haiwezi kuwa sawa maana alianza kulalamika kuhusu Rushwa aliyopewa Sugu na Mama Abdul ili wamuangushe Msigwa. Lissu akiwa Iringa alipigania sana hili. Sasa iweje Msigwa ndiye awe beneti na Abdul ili ampelekee hela Tundu Lissu. Story yako inakosa wanunuzi
Muda haujatimia.. Vita bado kuna silaha si za kutumia sasakama Mbwai na iwe mbwai, mwaga video aumbuke
Indio nilisemaSi ulisema Polepole alikuwa anahonga wapinzani, umesahau?
Tuupe muda wakatiKuondoa huu utata Lissu apasue hili buyu aeleze ni nani alimpeleka Abdul. Ushahidi anao wa camera na nina uhakika atakuwa amerikodi mazungumzo yao,kwa vile ameamua kulianzisha ni vema alimalizie kabisa vinginevyo ataonekana anaropoka. Tunataka hili swala liishe.
Muda utasema lakini wawili hao wanahusikaMbona Nimesikia Wenje?
AsanteππΎππΎππΎMtajuana wenyewe kenge nyie.
Ni Msigwa ila muda wa kumtaja haujatimiaLissu amseme HADHARANI huyo Mtu aliyempeleka Abdul kwake kwa lengo la kwenda kumhonga.
TuuHii haiwezi kuwa sawa maana alianza kulalamika kuhusu Rushwa aliyopewa Sugu na Mama Abdul ili wamuangushe Msigwa. Lissu akiwa Iringa alipigania sana hili. Sasa iweje Msigwa ndiye awe beneti na Abdul ili ampelekee hela Tundu Lissu. Story yako inakosa wanunuzi
Muda haujatimia.. Vita bado kuna silaha si za kutumia sasakama Mbwai na iwe mbwai, mwaga video aumbuke
Indio nilisemaSi ulisema Polepole alikuwa anahonga wapinzani, umesahau?
Tuupe muda wakatiKuondoa huu utata Lissu apasue hili buyu aeleze ni nani alimpeleka Abdul. Ushahidi anao wa camera na nina uhakika atakuwa amerikodi mazungumzo yao,kwa vile ameamua kulianzisha ni vema alimalizie kabisa vinginevyo ataonekana anaropoka. Tunataka hili swala liishe.
Muda utasema lakini wawili hao wanahusikaMbona Nimesikia Wenje?
Upe muda wakati njinjo na usitake kunifunga mdomo kwa kigezo cha heshimaTunampinga mwandishi kwa vile ukisikiliza anazungumzia huyo aliyempeleka Abdul kwake yupo CDM. Je, Msigwa yupo CDM sasa? Mshana Jr unajiangusha. Bora kuwa kimya ili utunze heshima yako
AsanteππΎππΎππΎMtajuana wenyewe kenge nyie.
Ni Msigwa ila muda wa kumtaja haujatimiaLissu amseme HADHARANI huyo Mtu aliyempeleka Abdul kwake kwa lengo la kwenda kumhonga.
TuuHii haiwezi kuwa sawa maana alianza kulalamika kuhusu Rushwa aliyopewa Sugu na Mama Abdul ili wamuangushe Msigwa. Lissu akiwa Iringa alipigania sana hili. Sasa iweje Msigwa ndiye awe beneti na Abdul ili ampelekee hela Tundu Lissu. Story yako inakosa wanunuzi
Muda haujatimia.. Vita bado kuna silaha si za kutumia sasakama Mbwai na iwe mbwai, mwaga video aumbuke
Indio nilisemaSi ulisema Polepole alikuwa anahonga wapinzani, umesahau?
Tuupe muda wakatiKuondoa huu utata Lissu apasue hili buyu aeleze ni nani alimpeleka Abdul. Ushahidi anao wa camera na nina uhakika atakuwa amerikodi mazungumzo yao,kwa vile ameamua kulianzisha ni vema alimalizie kabisa vinginevyo ataonekana anaropoka. Tunataka hili swala liishe.
Muda utasema lakini wawili hao wanahusikaMbona Nimesikia Wenje?
Upe muda wakati njinjo na usitake kunifunga mdomo kwa kigezo cha heshimaTunampinga mwandishi kwa vile ukisikiliza anazungumzia huyo aliyempeleka Abdul kwake yupo CDM. Je, Msigwa yupo CDM sasa? Mshana Jr unajiangusha. Bora kuwa kimya ili utunze heshima yako
expand...Msigwa ndo muasisi wa rusha ndani ya chadema.Msigwa ndo muasisi wa rusha ndani ya chadema.
Narudia namfahamu msigwa na namjua.
Yeye ni mpenda pesa na ngoneka na kondoo wake.
Naweza kuweka ushahidi mkihitaji
Clip za tukio hazipo? Leteni tuangalie wenyewe.Ni kwavile tu hatukuwa makini kumwangalia mchungwji siku ile Lissu anaongea kuhusu pesa chafu lakini mlengwa alipata taharuki kwa vyovyote
Labda kama kuna maana nyingine ya neno busara...Wewe shida yako ni ukosefu wa busara hivyo unadhani wengine nao hawana busara.
Kwa taarifa yako tanzania mwanasiasa mwenye busara iliyozidi kipimo ni mbowe
Hawa watu ni wataalam wa kupakana matopeClip za tukio hazipo? Leteni tuangalie wenyewe.
Kwenye siasa ni nadra sana hiki unachotaka kiwe.Asante kwa taarifa mkuu, lakini mwenye kuweza kuthibitisha ukweli kuhusu muhusika wa tukio ni Lissu mwenyewe na nadhani kunapoendea ukweli utawekwa wazi kabisa.
Hayo yote uliyoyataja huko ccm ndio nyumbani kwao.Chadema ni wadini na hawafai hata kukaimu ubalozi wa nyumba kumi
AsanteππΎππΎππΎMtajuana wenyewe kenge nyie.
Ni Msigwa ila muda wa kumtaja haujatimiaLissu amseme HADHARANI huyo Mtu aliyempeleka Abdul kwake kwa lengo la kwenda kumhonga.
TuuHii haiwezi kuwa sawa maana alianza kulalamika kuhusu Rushwa aliyopewa Sugu na Mama Abdul ili wamuangushe Msigwa. Lissu akiwa Iringa alipigania sana hili. Sasa iweje Msigwa ndiye awe beneti na Abdul ili ampelekee hela Tundu Lissu. Story yako inakosa wanunuzi
Muda haujatimia.. Vita bado kuna silaha si za kutumia sasakama Mbwai na iwe mbwai, mwaga video aumbuke
Indio nilisemaSi ulisema Polepole alikuwa anahonga wapinzani, umesahau?
Tuupe muda wakatiKuondoa huu utata Lissu apasue hili buyu aeleze ni nani alimpeleka Abdul. Ushahidi anao wa camera na nina uhakika atakuwa amerikodi mazungumzo yao,kwa vile ameamua kulianzisha ni vema alimalizie kabisa vinginevyo ataonekana anaropoka. Tunataka hili swala liishe.
Muda utasema lakini wawili hao wanahusikaMbona Nimesikia Wenje?
Upe muda wakati njinjo na usitake kunifunga mdomo kwa kigezo cha heshimaTunampinga mwandishi kwa vile ukisikiliza anazungumzia huyo aliyempeleka Abdul kwake yupo CDM. Je, Msigwa yupo CDM sasa? Mshana Jr unajiangusha. Bora kuwa kimya ili utunze heshima yako
expand...Msigwa ndo muasisi wa rusha ndani ya chadema.Msigwa ndo muasisi wa rusha ndani ya chadema.
Narudia namfahamu msigwa na namjua.
Yeye ni mpenda pesa na ngoneka na kondoo wake.
Naweza kuweka ushahidi mkihitaji
Clip za tukio hazipo? Leteni tuangalie wenyewe.
Sasa mkuu, mbona unakomenti kitu tofauti kabisa na mada?Chadema ni wadini na hawafai hata kukaimu ubalozi wa nyumba kumi
Unaposema nadra maana yake ni kwamba, uwezokano wa kutokea upo lakini huwa kama kweli itatokea basi ni mara chache sana, basi kama ni hivo acha tuache muda uongee.Kwenye siasa ni nadra sana hiki unachotaka kiwe.
Siasa na wanasiasa, katika moja na mbili!, Ni shida kweli kweli!Hivi anavyohangaika sasa Msigwa ni kutokana na mambo mawili makubwa
1. Kupigwa chini kwenye uchaguzi
2. Kushindwa kumshawishi Lissu apokee rushwa
Kuna mengine madogodogo lakini hayo ndio makubwa
Genious wa karne!Itakuwa huyu TL kuna namna ameamua kuyatazama maisha kuwa PESA ni muhimu Sana Ila HAKI ndo muhimu kwanza.
Huo mchele MTU kuamua kuuacha tena mwanasiasa inafikirisha Sana
Stay strong TL.
Lissu ana busara nyingi kuliko tunavyomfahamu. Ni suala la muda.Kama inakuja hivi halafu kama inakataa, sasa Kwa nini lissu hamtaji huyo mtu aliyeongozana na Abdul mpaka nyumbani kwake.
Abdul na huyo kiongozi walioenda kwa Lisu kumhonga siyo sahizi, ilikuwa kabla Lisu hajaenda Ubelgiji, na Msigwa alikuwa bado hajaondoka CHADEMA.Tunampinga mwandishi kwa vile ukisikiliza anazungumzia huyo aliyempeleka Abdul kwake yupo CDM. Je, Msigwa yupo CDM sasa? Mshana Jr unajiangusha. Bora kuwa kimya ili utunze heshima yako
Uongo! Masuala ya rushwa za Abdul katika kumpa hela Sugu alizisema akiwa yupo Iringa kwa mara ya kwanza. Hapo hata Uchaguzi ulikuwa bado.Abdul na huyo kiongozi walioenda kwa Lisu kumhonga siyo sahizi, ilikuwa kabla Lisu hajaenda Ubelgiji, na Msigwa alikuwa bado hajaondoka CHADEMA.
MshanaJR Hebu fikiria! Mtu ana uhasama na sugu kwa vile amepewa hela za kuhonga na Abdul. Kesi ipo Kamati kuu, leo alete pesa ampe Msigwa na Msigwa ampeleke Abdul kwa Lissu aliyetamka hadharani akiwa Iringa? Think twice. Mnataka kumchafua Msigwa kwa vile amekimbia.AsanteππΎππΎππΎ
Ni Msigwa ila muda wa kumtaja haujatimia
Tuu
Muda haujatimia.. Vita bado kuna silaha si za kutumia sasa
Indio nilisema
Tuupe muda wakati
ππππ