Pre GE2025 Mchungaji ndio alimpeleka Abdul kwa Makamu?

Pre GE2025 Mchungaji ndio alimpeleka Abdul kwa Makamu?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Nilimuomba Lissu mapema ataje aliyempelekea Abdul nikimlenga Msigwa moja kwa moja, kwa vile kikichomkimbiza Chadema ni video zake za kugawa rushwa kwenye Kanda.

Mbowe huyu anayetukanwa ndio amezuia kusambazwa Video za Aibu za Msigwa akigawa rushwa ili kumuokoa.

Hata hivyo akiendelea na ujinga tutavunja protocol
Duuuuu, umeua.
Wekeni video huku tutete nae msaliti mkubwa yule
 
Mtajuana wenyewe kenge nyie.
Asante🙏🏾🙏🏾🙏🏾
Lissu amseme HADHARANI huyo Mtu aliyempeleka Abdul kwake kwa lengo la kwenda kumhonga.
Ni Msigwa ila muda wa kumtaja haujatimia
Hii haiwezi kuwa sawa maana alianza kulalamika kuhusu Rushwa aliyopewa Sugu na Mama Abdul ili wamuangushe Msigwa. Lissu akiwa Iringa alipigania sana hili. Sasa iweje Msigwa ndiye awe beneti na Abdul ili ampelekee hela Tundu Lissu. Story yako inakosa wanunuzi
Tuu
kama Mbwai na iwe mbwai, mwaga video aumbuke
Muda haujatimia.. Vita bado kuna silaha si za kutumia sasa
Si ulisema Polepole alikuwa anahonga wapinzani, umesahau?
Indio nilisema
Kuondoa huu utata Lissu apasue hili buyu aeleze ni nani alimpeleka Abdul. Ushahidi anao wa camera na nina uhakika atakuwa amerikodi mazungumzo yao,kwa vile ameamua kulianzisha ni vema alimalizie kabisa vinginevyo ataonekana anaropoka. Tunataka hili swala liishe.
Tuupe muda wakati
Mbona Nimesikia Wenje?
Muda utasema lakini wawili hao wanahusika
 
Mtajuana wenyewe kenge nyie.
Asante🙏🏾🙏🏾🙏🏾
Lissu amseme HADHARANI huyo Mtu aliyempeleka Abdul kwake kwa lengo la kwenda kumhonga.
Ni Msigwa ila muda wa kumtaja haujatimia
Hii haiwezi kuwa sawa maana alianza kulalamika kuhusu Rushwa aliyopewa Sugu na Mama Abdul ili wamuangushe Msigwa. Lissu akiwa Iringa alipigania sana hili. Sasa iweje Msigwa ndiye awe beneti na Abdul ili ampelekee hela Tundu Lissu. Story yako inakosa wanunuzi
Tuu
kama Mbwai na iwe mbwai, mwaga video aumbuke
Muda haujatimia.. Vita bado kuna silaha si za kutumia sasa
Si ulisema Polepole alikuwa anahonga wapinzani, umesahau?
Indio nilisema
Kuondoa huu utata Lissu apasue hili buyu aeleze ni nani alimpeleka Abdul. Ushahidi anao wa camera na nina uhakika atakuwa amerikodi mazungumzo yao,kwa vile ameamua kulianzisha ni vema alimalizie kabisa vinginevyo ataonekana anaropoka. Tunataka hili swala liishe.
Tuupe muda wakati
Mbona Nimesikia Wenje?
Muda utasema lakini wawili hao wanahusika
Tunampinga mwandishi kwa vile ukisikiliza anazungumzia huyo aliyempeleka Abdul kwake yupo CDM. Je, Msigwa yupo CDM sasa? Mshana Jr unajiangusha. Bora kuwa kimya ili utunze heshima yako
Upe muda wakati njinjo na usitake kunifunga mdomo kwa kigezo cha heshima
 
Mtajuana wenyewe kenge nyie.
Asante🙏🏾🙏🏾🙏🏾
Lissu amseme HADHARANI huyo Mtu aliyempeleka Abdul kwake kwa lengo la kwenda kumhonga.
Ni Msigwa ila muda wa kumtaja haujatimia
Hii haiwezi kuwa sawa maana alianza kulalamika kuhusu Rushwa aliyopewa Sugu na Mama Abdul ili wamuangushe Msigwa. Lissu akiwa Iringa alipigania sana hili. Sasa iweje Msigwa ndiye awe beneti na Abdul ili ampelekee hela Tundu Lissu. Story yako inakosa wanunuzi
Tuu
kama Mbwai na iwe mbwai, mwaga video aumbuke
Muda haujatimia.. Vita bado kuna silaha si za kutumia sasa
Si ulisema Polepole alikuwa anahonga wapinzani, umesahau?
Indio nilisema
Kuondoa huu utata Lissu apasue hili buyu aeleze ni nani alimpeleka Abdul. Ushahidi anao wa camera na nina uhakika atakuwa amerikodi mazungumzo yao,kwa vile ameamua kulianzisha ni vema alimalizie kabisa vinginevyo ataonekana anaropoka. Tunataka hili swala liishe.
Tuupe muda wakati
Mbona Nimesikia Wenje?
Muda utasema lakini wawili hao wanahusika
Tunampinga mwandishi kwa vile ukisikiliza anazungumzia huyo aliyempeleka Abdul kwake yupo CDM. Je, Msigwa yupo CDM sasa? Mshana Jr unajiangusha. Bora kuwa kimya ili utunze heshima yako
Upe muda wakati njinjo na usitake kunifunga mdomo kwa kigezo cha heshima
Msigwa ndo muasisi wa rusha ndani ya chadema.
Narudia namfahamu msigwa na namjua.
Yeye ni mpenda pesa na ngoneka na kondoo wake.
Naweza kuweka ushahidi mkihitaji
expand...Msigwa ndo muasisi wa rusha ndani ya chadema.
Narudia namfahamu msigwa na namjua👌🏿🙏🏾.
 
Mtajuana wenyewe kenge nyie.
Asante🙏🏾🙏🏾🙏🏾
Lissu amseme HADHARANI huyo Mtu aliyempeleka Abdul kwake kwa lengo la kwenda kumhonga.
Ni Msigwa ila muda wa kumtaja haujatimia
Hii haiwezi kuwa sawa maana alianza kulalamika kuhusu Rushwa aliyopewa Sugu na Mama Abdul ili wamuangushe Msigwa. Lissu akiwa Iringa alipigania sana hili. Sasa iweje Msigwa ndiye awe beneti na Abdul ili ampelekee hela Tundu Lissu. Story yako inakosa wanunuzi
Tuu
kama Mbwai na iwe mbwai, mwaga video aumbuke
Muda haujatimia.. Vita bado kuna silaha si za kutumia sasa
Si ulisema Polepole alikuwa anahonga wapinzani, umesahau?
Indio nilisema
Kuondoa huu utata Lissu apasue hili buyu aeleze ni nani alimpeleka Abdul. Ushahidi anao wa camera na nina uhakika atakuwa amerikodi mazungumzo yao,kwa vile ameamua kulianzisha ni vema alimalizie kabisa vinginevyo ataonekana anaropoka. Tunataka hili swala liishe.
Tuupe muda wakati
Mbona Nimesikia Wenje?
Muda utasema lakini wawili hao wanahusika
Tunampinga mwandishi kwa vile ukisikiliza anazungumzia huyo aliyempeleka Abdul kwake yupo CDM. Je, Msigwa yupo CDM sasa? Mshana Jr unajiangusha. Bora kuwa kimya ili utunze heshima yako
Upe muda wakati njinjo na usitake kunifunga mdomo kwa kigezo cha heshima
Msigwa ndo muasisi wa rusha ndani ya chadema.
Narudia namfahamu msigwa na namjua.
Yeye ni mpenda pesa na ngoneka na kondoo wake.
Naweza kuweka ushahidi mkihitaji
expand...Msigwa ndo muasisi wa rusha ndani ya chadema.
Narudia namfahamu msigwa na namjua.
Clip za tukio hazipo? Leteni tuangalie wenyewe.
 
Hivi anavyohangaika sasa Msigwa ni kutokana na mambo mawili makubwa
1. Kupigwa chini kwenye uchaguzi
2. Kushindwa kumshawishi Lissu apokee rushwa
Kuna mengine madogodogo lakini hayo ndio makubwa
Siasa na wanasiasa, katika moja na mbili!, Ni shida kweli kweli!
 
Tunampinga mwandishi kwa vile ukisikiliza anazungumzia huyo aliyempeleka Abdul kwake yupo CDM. Je, Msigwa yupo CDM sasa? Mshana Jr unajiangusha. Bora kuwa kimya ili utunze heshima yako
Abdul na huyo kiongozi walioenda kwa Lisu kumhonga siyo sahizi, ilikuwa kabla Lisu hajaenda Ubelgiji, na Msigwa alikuwa bado hajaondoka CHADEMA.
 
Abdul na huyo kiongozi walioenda kwa Lisu kumhonga siyo sahizi, ilikuwa kabla Lisu hajaenda Ubelgiji, na Msigwa alikuwa bado hajaondoka CHADEMA.
Uongo! Masuala ya rushwa za Abdul katika kumpa hela Sugu alizisema akiwa yupo Iringa kwa mara ya kwanza. Hapo hata Uchaguzi ulikuwa bado.
 
Asante🙏🏾🙏🏾🙏🏾

Ni Msigwa ila muda wa kumtaja haujatimia

Tuu

Muda haujatimia.. Vita bado kuna silaha si za kutumia sasa

Indio nilisema

Tuupe muda wakati

😂😂😂😂
MshanaJR Hebu fikiria! Mtu ana uhasama na sugu kwa vile amepewa hela za kuhonga na Abdul. Kesi ipo Kamati kuu, leo alete pesa ampe Msigwa na Msigwa ampeleke Abdul kwa Lissu aliyetamka hadharani akiwa Iringa? Think twice. Mnataka kumchafua Msigwa kwa vile amekimbia.
 
Back
Top Bottom