SYLLOGIST!
JF-Expert Member
- Dec 28, 2007
- 8,189
- 7,853
Kang'oe kwanza magego yako ndiyo uwapangie CDM nini cha kufanya
Miaka ni ishirini sasa, magego ya kuyang'oa ni ya Mwenyekiti wa CHADEMA.
Madeni yake ayadai akiwa nje ya chama. Vyama vingine vishaonyesha ukomavu, CHADEMA inangoja nini? Haijalishi.
Mmelia Kulikuwa na Udikteta Nchi hii wakati Dikteta namba moja yupo CHADEMA.
Ni hivi sasa, ninakuhakikishia, ukianzisha poll hapa Jamiiforums ya kuchagua nani anayefaa kukivukisha chama katika wanja hili jipya la Siasa na Demokrasia, Mwenyekiti wa CHADEMA ataangukia pua.
Itoshe, akiingia tu kwenye Kinyanga'anyiro cha kuwania Urais uchaguzi mkuu 2025, CHADEMA ndio 'itapotezwa' mazima.