LGE2024 Mchungaji Peter Msigwa aichachafya CHADEMA mchana kweupe, afunguka Ugomvi uliopo kati ya Mbowe na Lissu

LGE2024 Mchungaji Peter Msigwa aichachafya CHADEMA mchana kweupe, afunguka Ugomvi uliopo kati ya Mbowe na Lissu

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Mchungaji Msigwa, ambaye ni mbunge wa zamani wa jimbo la Iringa mjini kwa tiketi ya chama cha CHADEMA na kujiunga CCM Juni 30, 2024 amewataka wananchi wawachague wagombea wa CCM kwasababu vyama vya upinzani hazina sifa, hawana uhalali wakuikosoa Serikali ya Chama cha Mapinduzi.

"Nimekaa ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendelea (CHADEMA) zaidi ya miaka 20 na nimekuwa kiongozi mwandamizi, mjumbe wa kamati kuu, nyinyi mlinipa Ubunge kwa miaka 10, nimekua kiongozi wa kanda hii yenye mikoa mitano, ninaijua hii kanda vizuri, nakijua chama (CHADEMA) vizuri. Yale ambayo waliwaaminisha Wananchi kwamba kuna Demokrasia, kuna haki, kuna kukemea ufisadi kuna kupinga rushwa ilikuwa ni uongo, hawana uhalali huo."

Soma:
 
Mchungaji Msigwa, ambaye ni mbunge wa zamani wa jimbo la Iringa mjini kwa tiketi ya chama cha CHADEMA na kujiunga CCM Juni 30, 2024 amewataka wananchi wawachague wagombea wa CCM kwasababu vyama vya upinzani hazina sifa, hawana uhalali wakuikosoa Serikali ya Chama cha Mapinduzi.

"Nimekaa ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendelea (CHADEMA) zaidi ya miaka 20 na nimekuwa kiongozi mwandamizi, mjumbe wa kamati kuu, nyinyi mlinipa Ubunge kwa miaka 10, nimekua kiongozi wa kanda hii yenye mikoa mitano, ninaijua hii kanda vizuri, nakijua chama (CHADEMA) vizuri. Yale ambayo waliwaaminisha Wananchi kwamba kuna Demokrasia, kuna haki, kuna kukemea ufisadi kuna kupinga rushwa ilikuwa ni uongo"

Nilimsikiliza Msigwa, nilichokisikia toka kwake ni kuwathibitisha wana Iringa kwamba alikuwa hafai! Ni kweli alipwaya ndiyo sababu Chadema ikamtupa na CCM inayopenda manyangarakasha ikamuokota ikidhani ni dhahabu.
 
Mchungaji Msigwa, ambaye ni mbunge wa zamani wa jimbo la Iringa mjini kwa tiketi ya chama cha CHADEMA na kujiunga CCM Juni 30, 2024 amewataka wananchi wawachague wagombea wa CCM kwasababu vyama vya upinzani hazina sifa, hawana uhalali wakuikosoa Serikali ya Chama cha Mapinduzi.

"Nimekaa ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendelea (CHADEMA) zaidi ya miaka 20 na nimekuwa kiongozi mwandamizi, mjumbe wa kamati kuu, nyinyi mlinipa Ubunge kwa miaka 10, nimekua kiongozi wa kanda hii yenye mikoa mitano, ninaijua hii kanda vizuri, nakijua chama (CHADEMA) vizuri. Yale ambayo waliwaaminisha Wananchi kwamba kuna Demokrasia, kuna haki, kuna kukemea ufisadi kuna kupinga rushwa ilikuwa ni uongo, hawana uhalali huo."

Soma:

Hivi huyu JAMAA ni Mchungaji wa Kanisa gani....!!!?

Kama yeye inamchukua miaka 20 kujua kuwa alikuwa ameingizwa mjini .... ana akili kweli huyu mtu...!!? Nawaonea huruma hao kondoo wake.
 
Mchungaji Msigwa, ambaye ni mbunge wa zamani wa jimbo la Iringa mjini kwa tiketi ya chama cha CHADEMA na kujiunga CCM Juni 30, 2024 amewataka wananchi wawachague wagombea wa CCM kwasababu vyama vya upinzani hazina sifa, hawana uhalali wakuikosoa Serikali ya Chama cha Mapinduzi.

"Nimekaa ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendelea (CHADEMA) zaidi ya miaka 20 na nimekuwa kiongozi mwandamizi, mjumbe wa kamati kuu, nyinyi mlinipa Ubunge kwa miaka 10, nimekua kiongozi wa kanda hii yenye mikoa mitano, ninaijua hii kanda vizuri, nakijua chama (CHADEMA) vizuri. Yale ambayo waliwaaminisha Wananchi kwamba kuna Demokrasia, kuna haki, kuna kukemea ufisadi kuna kupinga rushwa ilikuwa ni uongo, hawana uhalali huo."

Soma:
Sad Looser 🙁
 
Msigwa anaijua chadema vizuri kuliko mbumbumbu wengi hum tumsikilize
 
Mchungaji Msigwa, ambaye ni mbunge wa zamani wa jimbo la Iringa mjini kwa tiketi ya chama cha CHADEMA na kujiunga CCM Juni 30, 2024 amewataka wananchi wawachague wagombea wa CCM kwasababu vyama vya upinzani hazina sifa, hawana uhalali wakuikosoa Serikali ya Chama cha Mapinduzi.

"Nimekaa ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendelea (CHADEMA) zaidi ya miaka 20 na nimekuwa kiongozi mwandamizi, mjumbe wa kamati kuu, nyinyi mlinipa Ubunge kwa miaka 10, nimekua kiongozi wa kanda hii yenye mikoa mitano, ninaijua hii kanda vizuri, nakijua chama (CHADEMA) vizuri. Yale ambayo waliwaaminisha Wananchi kwamba kuna Demokrasia, kuna haki, kuna kukemea ufisadi kuna kupinga rushwa ilikuwa ni uongo, hawana uhalali huo."

Soma:
Alafu baada ya miaka5 utasikia narudi nyumbani na atapokelewa😂😂😂
 
mwenye kibao cha "wanachonga sana juu yangu, achana nao" sijui ni sister P au Zay B feat Ally choki
 
Atangaze sifa nzuri za kazi za Rais wetu kuliko kuhangaika na Chadema.
 
Hivi huyu JAMAA ni Mchungaji wa Kanisa gani....!!!?

Kama yeye inamchukua miaka 20 kujua kuwa alikuwa ameingizwa mjini .... ana akili kweli huyu mtu...!!? Nawaonea huruma hao kondoo wake.
Hana kanisa, ni mfanyabiashara aliyefeli.
 
Back
Top Bottom