LGE2024 Mchungaji Peter Msigwa aichachafya CHADEMA mchana kweupe, afunguka Ugomvi uliopo kati ya Mbowe na Lissu

LGE2024 Mchungaji Peter Msigwa aichachafya CHADEMA mchana kweupe, afunguka Ugomvi uliopo kati ya Mbowe na Lissu

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Mchungaji Msigwa, ambaye ni mbunge wa zamani wa jimbo la Iringa mjini kwa tiketi ya chama cha CHADEMA na kujiunga CCM Juni 30, 2024 amewataka wananchi wawachague wagombea wa CCM kwasababu vyama vya upinzani hazina sifa, hawana uhalali wakuikosoa Serikali ya Chama cha Mapinduzi.

"Nimekaa ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendelea (CHADEMA) zaidi ya miaka 20 na nimekuwa kiongozi mwandamizi, mjumbe wa kamati kuu, nyinyi mlinipa Ubunge kwa miaka 10, nimekua kiongozi wa kanda hii yenye mikoa mitano, ninaijua hii kanda vizuri, nakijua chama (CHADEMA) vizuri. Yale ambayo waliwaaminisha Wananchi kwamba kuna Demokrasia, kuna haki, kuna kukemea ufisadi kuna kupinga rushwa ilikuwa ni uongo, hawana uhalali huo."

Soma:
Bado ana mahaba ya dhati na mtalaka
 
Mchungaji Msigwa, ambaye ni mbunge wa zamani wa jimbo la Iringa mjini kwa tiketi ya chama cha CHADEMA na kujiunga CCM Juni 30, 2024 amewataka wananchi wawachague wagombea wa CCM kwasababu vyama vya upinzani hazina sifa, hawana uhalali wakuikosoa Serikali ya Chama cha Mapinduzi.

"Nimekaa ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendelea (CHADEMA) zaidi ya miaka 20 na nimekuwa kiongozi mwandamizi, mjumbe wa kamati kuu, nyinyi mlinipa Ubunge kwa miaka 10, nimekua kiongozi wa kanda hii yenye mikoa mitano, ninaijua hii kanda vizuri, nakijua chama (CHADEMA) vizuri. Yale ambayo waliwaaminisha Wananchi kwamba kuna Demokrasia, kuna haki, kuna kukemea ufisadi kuna kupinga rushwa ilikuwa ni uongo, hawana uhalali huo."

Soma:
Inawezekana ni kweli... Hapa anaonyesha kuwa naye ni mnafiki. Kayajua hayo kwa miaka 20 kaendelea kukaa hadi pale walipomnyima uongozi ndipo katoka. Ila kama angepewa angeendelea kukaa humo humo na kuendelea kudanganya. Huyu ina maana hata ccm akikuta kuna mabaya as long as anapata uongozi hatosema ataendelea kukaa hata miaka 50.
 
Mchungaji Msigwa, ambaye ni mbunge wa zamani wa jimbo la Iringa mjini kwa tiketi ya chama cha CHADEMA na kujiunga CCM Juni 30, 2024 amewataka wananchi wawachague wagombea wa CCM kwasababu vyama vya upinzani hazina sifa, hawana uhalali wakuikosoa Serikali ya Chama cha Mapinduzi.

"Nimekaa ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendelea (CHADEMA) zaidi ya miaka 20 na nimekuwa kiongozi mwandamizi, mjumbe wa kamati kuu, nyinyi mlinipa Ubunge kwa miaka 10, nimekua kiongozi wa kanda hii yenye mikoa mitano, ninaijua hii kanda vizuri, nakijua chama (CHADEMA) vizuri. Yale ambayo waliwaaminisha Wananchi kwamba kuna Demokrasia, kuna haki, kuna kukemea ufisadi kuna kupinga rushwa ilikuwa ni uongo, hawana uhalali huo."

Soma:
Anasoma scripts
Mchungaji Msigwa, ambaye ni mbunge wa zamani wa jimbo la Iringa mjini kwa tiketi ya chama cha CHADEMA na kujiunga CCM Juni 30, 2024 amewataka wananchi wawachague wagombea wa CCM kwasababu vyama vya upinzani hazina sifa, hawana uhalali wakuikosoa Serikali ya Chama cha Mapinduzi.

"Nimekaa ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendelea (CHADEMA) zaidi ya miaka 20 na nimekuwa kiongozi mwandamizi, mjumbe wa kamati kuu, nyinyi mlinipa Ubunge kwa miaka 10, nimekua kiongozi wa kanda hii yenye mikoa mitano, ninaijua hii kanda vizuri, nakijua chama (CHADEMA) vizuri. Yale ambayo waliwaaminisha Wananchi kwamba kuna Demokrasia, kuna haki, kuna kukemea ufisadi kuna kupinga rushwa ilikuwa ni uongo, hawana uhalali huo."

Soma:
Anasoma scripts katika waliokosea kuchanga karata zao ni huyu mwehu.yeye alifuatwa mpaka gerezani kwa amri ya Magufuli akakataa leo upepo umebqdilika ati ndo anahama?
 
Msigwa ni mtu mkweli. Mtu alikuwa kamati kuu ya CHADEMA hawezi danganya.
 
Msigwa ni mtu mkweli. Mtu alikuwa kamati kuu ya CHADEMA hawezi danganya.
Kinana alikuwa kamati kuu ccm mbona alidanganya akasafirisha twiga wakiwa hai?
Majaliwa yupo kamati kuu mbona alidanganya kwamba Magufuli yu mzima kumbe keshakufa?
Samia yupo cc mbona alidanganya kwamba ajali ya kariakoonilipotokea hakuwepo nchini wakati alikuwepo?
Jifunze kufikiri acha UCHAWA
 
Yaani zaidi ya miaka 20 unaona madudu huko CHADEMA upo tu?...sema ukweli Mtumishi,sio ile kuukosa MKATE wa hiyo kanda??
 
Mchungaji Msigwa, ambaye ni mbunge wa zamani wa jimbo la Iringa mjini kwa tiketi ya chama cha CHADEMA na kujiunga CCM Juni 30, 2024 amewataka wananchi wawachague wagombea wa CCM kwasababu vyama vya upinzani hazina sifa, hawana uhalali wakuikosoa Serikali ya Chama cha Mapinduzi.

"Nimekaa ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendelea (CHADEMA) zaidi ya miaka 20 na nimekuwa kiongozi mwandamizi, mjumbe wa kamati kuu, nyinyi mlinipa Ubunge kwa miaka 10, nimekua kiongozi wa kanda hii yenye mikoa mitano, ninaijua hii kanda vizuri, nakijua chama (CHADEMA) vizuri. Yale ambayo waliwaaminisha Wananchi kwamba kuna Demokrasia, kuna haki, kuna kukemea ufisadi kuna kupinga rushwa ilikuwa ni uongo, hawana uhalali huo."

Soma:
Hayo yoote hakuwahi kuyasema hafi pale alipopigwa chini kwenye uchaguzi wa kanda?
 
Kwani Msigwa hajui kuwa watu wanachagua upande wa pili kwa kuwa CCM wameshindwa kufanya kile ambacho wanapaswa kuwafanyia wananchi?.
 
Wabongo bana! Mtu mmoja anachachafyaje taasisi? Aliondoka Slaa na Kabourou kabla hujazaliwa na hajachachafya atakuwa huyu jamaa? Inasikitisha sana, akiichachafya basi itakua na udhaifu mkubwa. Alikuwepo kwenye huo ugomvi akawaamua? Au anapiga ramli na maombi naye pia? Ila wabongo kwa kuwa ni watu wa kiroho sana watamuamini natarajia
 
Back
Top Bottom