Pre GE2025 Mchungaji Peter Msigwa: CHADEMA ni saccos ya mtu

Pre GE2025 Mchungaji Peter Msigwa: CHADEMA ni saccos ya mtu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Lucas Mwashambwa

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2022
Posts
28,722
Reaction score
20,610
Ndugu zangu Watanzania,

Mtumishi wa Mungu Mchungaji peter Msigwa ambaye kwa sasa ni kada mtiifu na Mzalendo kwa chama cha Mapinduzi na ambaye anajutia uamuzi wake wa kupoteza nguvu zake na muda wake wa miaka takriban 20 kuwa ndani ya CHADEMA.

Amsema kuwa CHADEMA ni Sacco's ya mtu ,ambapo hata maamuzi yanafanywa na kumtegemea mtu mmoja.akiendelea kuichana chana CHADEMA ameendelea kusema ya kuwa ni chama kilichojaa utapeli kwa kuwahadaa wananchi kuwa kimejaa na kupigania demokrasia,haki na uhuru ,jambo ambalo siyo la kweli na mambo hayo hayapo wala kufanyika ndani ya CHADEMA.

Soma Pia Mchungaji Msigwa: Nitazunguka Nchi nzima kuelezea Uongo wa CHADEMA

Mtumishi huyo Wa Mungu ameendelea kusema Kuwa CHADEMA haina uhalali wa kuikosoa wala kuishambulia CCM kwa jambo lolote lile .akasema yeye kama mtumishi wa Mungu Biblia inaeleza kuwa unapaswa kutoa kibanzi katika jicho lako kabla ya kumnyooshea kidole mtu Mwingine.

Mtumishi huyo wa Mungu akiwa na sura ya tabasamu na furaha na kupendeza vizuri ndani ya sare za CCM amesema ya kuwa anawasihi sana wananchi kuacha kabisa habari za kuambiwa na CHADEMA kukunja ngumi mpaka migongo yao inapinda.

Mtumishi huyo Wa Mungu akaendelea kusema kuwa kazi ya upinzani hasa CHADEMA ilikuwa ni kupinga pinga tu kila kitu.akatolea mfano kuwa Hayati Daktari Mwalimu John Pombe Joseph Magufuli alipokuwa anaanzisha ujenzi wa miradi mikubwa kama vile Bwawa la Mwalimu Nyerere,SGR pamoja na Daraja la Busisi. Wao CHADEMA na wabunge wao walikuwa wanafanya kazi ya kupinga pinga tu miradi hiyo yenye manufaa makubwa Kwa Taifa letu.

Mtumishi huyu wa Mungu ambaye anaendelea kuisambaratisha CHADEMA kanda ya Ziwa kwa kuusema ukweli mchungu juu ya ulaghai na utapeli wa CHADEMA,amewasihi sana wananchi kuiunga mkono CCM na kuunga juhudi za Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan katika ujenzi wa Taifa letu.

Ikumbukwe ya kuwa mtumishi huyu wa Mungu anaifahamu sana CHADEMA.na ndio maana anaongea vitu vya ukweli na uhalisia kabisa juu ya utapeli uliopo na kujaa ndani ya CHADEMA.ikumbukwe na kufahamika ya kuwa huyu ni Mtumishi wa Mungu ambaye hawezi kudanganya wala kusema uongo juu ya kile kilichopo ndani CHADEMA,maana Mtumishi wa Mungu ni Mwenye hofu ya Mungu na ndio maana ameona asiendelee na dhambi ya kuwadanganya na kuwapoteza watu kuwa waiamini CHADEMA.ndio maana ameona aepuke dhambi hiyo kwa kuondoka CHADEMA na kujiunga na CCM chama kilichobeba matumaini ya mamilioni ya watanzania.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
 
Nadhani huyu ndugu huenda aliumia sana aliposhindwa uchaguzi wa kuwa Mwenyekiti wa Kanda (Chadema). Ingawa alikuwa amesema angekata rufaa, sasa sijui kama atakata kweli au kwa vile amehama chama atapotezea?

Nadhani itachukua muda ku'heal'. Badala ya kunadi chama chake, yeye anahangaika na chama alichokihama as if kufanya hivyo ndiyo kujenga chama chake kipya.

Nadhani ange'focus' zaidi kwenye kunadi sera za chama chake kipya kuliko kuhangaika na Chadema.
 
Yule ni mchungaji wa kuitwa na Mungu anachosema lazima tuamini

USSR
Kwa hakika tunapaswa kumuamini kabisa.tena ikumbukwe ya kuwa mtumishi huyu wa Mungu amekaa muda mrefu ndani ya CHADEMA na kushika nyadhifa mbalimbali za kiuongozi ndani ya CHADEMA, na hivyo anaifahamu vyema sana na ndio maana ameona utapeli uliopo na unaofanyika ndani ya CHADEMA katika kuwarubuni Watanzania ambao hata hivyo kwa sasa wanaipuuza sana CHADEMA.

Ndio maana hata viongozi wake wote wajuu wakiswagwa ndani huoni wananchi wakichukia au kulalamika maana wanajuwa viongozi wa CHADEMA ni wasaka Tonge na wachumia tumbo tu
 
Nadhani huyu ndugu huenda aliumia sana aliposhindwa uchaguzi wa kuwa Mwenyekiti wa Kanda (Chadema). Ingawa alikuwa amesema angekata rufaa, sasa sijui kama atakata kweli au kwa vile amehama chama atapotezea? Nadhani itachukua muda ku'heal'. Badala ya kunadi chama chake, yeye anahangaika na chama alichokihama as if kufanya hivyo ndiyo kujenga chama chake kipya. Nadhani ange'focus' zaidi kwenye kunadi sera za chama chake kipya kuliko kuhangaika na Chadema.
Mtumishi wa Mungu anaendelea kuinadi CCM na kuelezea mambo mazuri ya CCM na namna atakavyoshirikiana na viongozi wa CCM kukijenga chama.
 
Msigwa aliyejiita "akili kubwa" alikubali vipi kuhudumu kwenye "saccos ya mtu" kwa kipindi kirefu hivyo..!?
Ndio maana anajuta sana kupoteza muda na nguvu zake kwa CHADEMA chama cha kitapeli na kilichokosa Dira,muelekeo na maono. Ndio maana unaona kwa sasa anaendelea kuinadi CCM na kuwaomba wananchi waiunge mkono CCM, kwa kuelezea utapeli wa CHADEMA
 
Ndugu zangu Watanzania,

Mtumishi wa Mungu Mchungaji peter Msigwa ambaye kwa sasa ni kada mtiifu na Mzalendo kwa chama cha Mapinduzi na ambaye anajutia uamuzi wake wa kupoteza nguvu zake na muda wake wa miaka takriban 20 kuwa ndani ya CHADEMA.

Amsema kuwa CHADEMA ni Sacco's ya mtu ,ambapo hata maamuzi yanafanywa na kumtegemea mtu mmoja.akiendelea kuichana chana CHADEMA ameendelea kusema ya kuwa ni chama kilichojaa utapeli kwa kuwahadaa wananchi kuwa kimejaa na kupigania demokrasia,haki na uhuru ,jambo ambalo siyo la kweli na mambo hayo hayapo wala kufanyika ndani ya CHADEMA.

Soma Pia Mchungaji Msigwa: Nitazunguka Nchi nzima kuelezea Uongo wa CHADEMA

Mtumishi huyo Wa Mungu ameendelea kusema Kuwa CHADEMA haina uhalali wa kuikosoa wala kuishambulia CCM kwa jambo lolote lile .akasema yeye kama mtumishi wa Mungu Biblia inaeleza kuwa unapaswa kutoa kibanzi katika jicho lako kabla ya kumnyooshea kidole mtu Mwingine.

Mtumishi huyo wa Mungu akiwa na sura ya tabasamu na furaha na kupendeza vizuri ndani ya sare za CCM amesema ya kuwa anawasihi sana wananchi kuacha kabisa habari za kuambiwa na CHADEMA kukunja ngumi mpaka migongo yao inapinda.

Mtumishi huyo Wa Mungu akaendelea kusema kuwa kazi ya upinzani hasa CHADEMA ilikuwa ni kupinga pinga tu kila kitu.akatolea mfano kuwa Hayati Daktari Mwalimu John Pombe Joseph Magufuli alipokuwa anaanzisha ujenzi wa miradi mikubwa kama vile Bwawa la Mwalimu Nyerere,SGR pamoja na Daraja la Busisi. Wao CHADEMA na wabunge wao walikuwa wanafanya kazi ya kupinga pinga tu miradi hiyo yenye manufaa makubwa Kwa Taifa letu.

Mtumishi huyu wa Mungu ambaye anaendelea kuisambaratisha CHADEMA kanda ya Ziwa kwa kuusema ukweli mchungu juu ya ulaghai na utapeli wa CHADEMA,amewasihi sana wananchi kuiunga mkono CCM na kuunga juhudi za Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan katika ujenzi wa Taifa letu.

Ikumbukwe ya kuwa mtumishi huyu wa Mungu anaifahamu sana CHADEMA.na ndio maana anaongea vitu vya ukweli na uhalisia kabisa juu ya utapeli uliopo na kujaa ndani ya CHADEMA.ikumbukwe na kufahamika ya kuwa huyu ni Mtumishi wa Mungu ambaye hawezi kudanganya wala kusema uongo juu ya kile kilichopo ndani CHADEMA,maana Mtumishi wa Mungu ni Mwenye hofu ya Mungu na ndio maana ameona asiendelee na dhambi ya kuwadanganya na kuwapoteza watu kuwa waiamini CHADEMA.ndio maana ameona aepuke dhambi hiyo kwa kuondoka CHADEMA na kujiunga na CCM chama kilichobeba matumaini ya mamilioni ya watanzania.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Msigwa gombea urais sisi Wana ccm tunakutaka
 
Msigwa gombea urais sisi Wana ccm tunakutaka
Urais Ni wa Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan,Mama yetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi ndiye chaguo letu hapo mwakani na hata Fomu ya Urais ni moja tu ili kuweza kuwapatia watanzania hitaji lao na kiu yao ya kutaka kuona Mama anaendelea kuongoza Taifa letu.
 
Mtamnukuu sana Msigwa mwaka huu, lkn ccm inazidi kudidimia.

Ndiyo maana bibi kaamua kutumia polisi, maana kaona manunuzi ya Msigwa na Peneza hayana msaada.
Utadidimia wewe na chuki zako binafsi. CCM inaendelea kuaminika na kuaminiwa na watanzania.Rais wetu mpendwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan anaendelea kuchanja Mbuga katika mioyo ya mamilioni ya watanzania.
 
Msigwa ameumia sana kuondoka CHADEMA, bado ana hasira na ni kama hajakubali kwamba kwasasa yupo ccm!
 
Msigwa ameumia sana kuondoka CHADEMA, bado ana hasira na ni kama hajakubali kwamba kwasasa yupo ccm!
Mnaoumia ni ninyi CHADEMA ambao mioyo yenu inabubujikwa na machozi ya huzuni baada ya wote wenye akili kubwa kuendelea kuondoka ndani ya CHADEMA.kwa sasa mtumishi wa Mungu anaendelea kuinadi CCM na kuusema uovu na utapeli unaofanyika ndani ya CHADEMA
 
Yule ni mchungaji wa kuitwa na Mungu anachosema lazima tuamini

USSR
Zaburi 1:1
Heri mtu yule asiyekwenda Katika shauri la wasio haki; Wala hakusimama katika njia ya wakosaji; Wala hakuketi barazani pa wenye mizaha.
 
Back
Top Bottom