Pre GE2025 Mchungaji Peter Msigwa: CHADEMA ni saccos ya mtu

Pre GE2025 Mchungaji Peter Msigwa: CHADEMA ni saccos ya mtu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ndugu zangu Watanzania,

Mtumishi wa Mungu Mchungaji peter Msigwa ambaye kwa sasa ni kada mtiifu na Mzalendo kwa chama cha Mapinduzi na ambaye anajutia uamuzi wake wa kupoteza nguvu zake na muda wake wa miaka takriban 20 kuwa ndani ya CHADEMA.

Amsema kuwa CHADEMA ni Sacco's ya mtu ,ambapo hata maamuzi yanafanywa na kumtegemea mtu mmoja.akiendelea kuichana chana CHADEMA ameendelea kusema ya kuwa ni chama kilichojaa utapeli kwa kuwahadaa wananchi kuwa kimejaa na kupigania demokrasia,haki na uhuru ,jambo ambalo siyo la kweli na mambo hayo hayapo wala kufanyika ndani ya CHADEMA.

Soma Pia Mchungaji Msigwa: Nitazunguka Nchi nzima kuelezea Uongo wa CHADEMA

Mtumishi huyo Wa Mungu ameendelea kusema Kuwa CHADEMA haina uhalali wa kuikosoa wala kuishambulia CCM kwa jambo lolote lile .akasema yeye kama mtumishi wa Mungu Biblia inaeleza kuwa unapaswa kutoa kibanzi katika jicho lako kabla ya kumnyooshea kidole mtu Mwingine.

Mtumishi huyo wa Mungu akiwa na sura ya tabasamu na furaha na kupendeza vizuri ndani ya sare za CCM amesema ya kuwa anawasihi sana wananchi kuacha kabisa habari za kuambiwa na CHADEMA kukunja ngumi mpaka migongo yao inapinda.

Mtumishi huyo Wa Mungu akaendelea kusema kuwa kazi ya upinzani hasa CHADEMA ilikuwa ni kupinga pinga tu kila kitu.akatolea mfano kuwa Hayati Daktari Mwalimu John Pombe Joseph Magufuli alipokuwa anaanzisha ujenzi wa miradi mikubwa kama vile Bwawa la Mwalimu Nyerere,SGR pamoja na Daraja la Busisi. Wao CHADEMA na wabunge wao walikuwa wanafanya kazi ya kupinga pinga tu miradi hiyo yenye manufaa makubwa Kwa Taifa letu.

Mtumishi huyu wa Mungu ambaye anaendelea kuisambaratisha CHADEMA kanda ya Ziwa kwa kuusema ukweli mchungu juu ya ulaghai na utapeli wa CHADEMA,amewasihi sana wananchi kuiunga mkono CCM na kuunga juhudi za Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan katika ujenzi wa Taifa letu.

Ikumbukwe ya kuwa mtumishi huyu wa Mungu anaifahamu sana CHADEMA.na ndio maana anaongea vitu vya ukweli na uhalisia kabisa juu ya utapeli uliopo na kujaa ndani ya CHADEMA.ikumbukwe na kufahamika ya kuwa huyu ni Mtumishi wa Mungu ambaye hawezi kudanganya wala kusema uongo juu ya kile kilichopo ndani CHADEMA,maana Mtumishi wa Mungu ni Mwenye hofu ya Mungu na ndio maana ameona asiendelee na dhambi ya kuwadanganya na kuwapoteza watu kuwa waiamini CHADEMA.ndio maana ameona aepuke dhambi hiyo kwa kuondoka CHADEMA na kujiunga na CCM chama kilichobeba matumaini ya mamilioni ya watanzania.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Tafuta pesa ucje olewa
 
Ndugu zangu Watanzania,

Mtumishi wa Mungu Mchungaji peter Msigwa ambaye kwa sasa ni kada mtiifu na Mzalendo kwa chama cha Mapinduzi na ambaye anajutia uamuzi wake wa kupoteza nguvu zake na muda wake wa miaka takriban 20 kuwa ndani ya CHADEMA.

Amsema kuwa CHADEMA ni Sacco's ya mtu ,ambapo hata maamuzi yanafanywa na kumtegemea mtu mmoja.akiendelea kuichana chana CHADEMA ameendelea kusema ya kuwa ni chama kilichojaa utapeli kwa kuwahadaa wananchi kuwa kimejaa na kupigania demokrasia,haki na uhuru ,jambo ambalo siyo la kweli na mambo hayo hayapo wala kufanyika ndani ya CHADEMA.

Soma Pia Mchungaji Msigwa: Nitazunguka Nchi nzima kuelezea Uongo wa CHADEMA

Mtumishi huyo Wa Mungu ameendelea kusema Kuwa CHADEMA haina uhalali wa kuikosoa wala kuishambulia CCM kwa jambo lolote lile .akasema yeye kama mtumishi wa Mungu Biblia inaeleza kuwa unapaswa kutoa kibanzi katika jicho lako kabla ya kumnyooshea kidole mtu Mwingine.

Mtumishi huyo wa Mungu akiwa na sura ya tabasamu na furaha na kupendeza vizuri ndani ya sare za CCM amesema ya kuwa anawasihi sana wananchi kuacha kabisa habari za kuambiwa na CHADEMA kukunja ngumi mpaka migongo yao inapinda.

Mtumishi huyo Wa Mungu akaendelea kusema kuwa kazi ya upinzani hasa CHADEMA ilikuwa ni kupinga pinga tu kila kitu.akatolea mfano kuwa Hayati Daktari Mwalimu John Pombe Joseph Magufuli alipokuwa anaanzisha ujenzi wa miradi mikubwa kama vile Bwawa la Mwalimu Nyerere,SGR pamoja na Daraja la Busisi. Wao CHADEMA na wabunge wao walikuwa wanafanya kazi ya kupinga pinga tu miradi hiyo yenye manufaa makubwa Kwa Taifa letu.

Mtumishi huyu wa Mungu ambaye anaendelea kuisambaratisha CHADEMA kanda ya Ziwa kwa kuusema ukweli mchungu juu ya ulaghai na utapeli wa CHADEMA,amewasihi sana wananchi kuiunga mkono CCM na kuunga juhudi za Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan katika ujenzi wa Taifa letu.

Ikumbukwe ya kuwa mtumishi huyu wa Mungu anaifahamu sana CHADEMA.na ndio maana anaongea vitu vya ukweli na uhalisia kabisa juu ya utapeli uliopo na kujaa ndani ya CHADEMA.ikumbukwe na kufahamika ya kuwa huyu ni Mtumishi wa Mungu ambaye hawezi kudanganya wala kusema uongo juu ya kile kilichopo ndani CHADEMA,maana Mtumishi wa Mungu ni Mwenye hofu ya Mungu na ndio maana ameona asiendelee na dhambi ya kuwadanganya na kuwapoteza watu kuwa waiamini CHADEMA.ndio maana ameona aepuke dhambi hiyo kwa kuondoka CHADEMA na kujiunga na CCM chama kilichobeba matumaini ya mamilioni ya watanzania.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.


swali kwanini aligombea kuwa mwenyekiti? majuzi tu
 
Ndugu zangu Watanzania,

Mtumishi wa Mungu Mchungaji peter Msigwa ambaye kwa sasa ni kada mtiifu na Mzalendo kwa chama cha Mapinduzi na ambaye anajutia uamuzi wake wa kupoteza nguvu zake na muda wake wa miaka takriban 20 kuwa ndani ya CHADEMA.

Amsema kuwa CHADEMA ni Sacco's ya mtu ,ambapo hata maamuzi yanafanywa na kumtegemea mtu mmoja.akiendelea kuichana chana CHADEMA ameendelea kusema ya kuwa ni chama kilichojaa utapeli kwa kuwahadaa wananchi kuwa kimejaa na kupigania demokrasia,haki na uhuru ,jambo ambalo siyo la kweli na mambo hayo hayapo wala kufanyika ndani ya CHADEMA.

Soma Pia Mchungaji Msigwa: Nitazunguka Nchi nzima kuelezea Uongo wa CHADEMA

Mtumishi huyo Wa Mungu ameendelea kusema Kuwa CHADEMA haina uhalali wa kuikosoa wala kuishambulia CCM kwa jambo lolote lile .akasema yeye kama mtumishi wa Mungu Biblia inaeleza kuwa unapaswa kutoa kibanzi katika jicho lako kabla ya kumnyooshea kidole mtu Mwingine.

Mtumishi huyo wa Mungu akiwa na sura ya tabasamu na furaha na kupendeza vizuri ndani ya sare za CCM amesema ya kuwa anawasihi sana wananchi kuacha kabisa habari za kuambiwa na CHADEMA kukunja ngumi mpaka migongo yao inapinda.

Mtumishi huyo Wa Mungu akaendelea kusema kuwa kazi ya upinzani hasa CHADEMA ilikuwa ni kupinga pinga tu kila kitu.akatolea mfano kuwa Hayati Daktari Mwalimu John Pombe Joseph Magufuli alipokuwa anaanzisha ujenzi wa miradi mikubwa kama vile Bwawa la Mwalimu Nyerere,SGR pamoja na Daraja la Busisi. Wao CHADEMA na wabunge wao walikuwa wanafanya kazi ya kupinga pinga tu miradi hiyo yenye manufaa makubwa Kwa Taifa letu.

Mtumishi huyu wa Mungu ambaye anaendelea kuisambaratisha CHADEMA kanda ya Ziwa kwa kuusema ukweli mchungu juu ya ulaghai na utapeli wa CHADEMA,amewasihi sana wananchi kuiunga mkono CCM na kuunga juhudi za Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan katika ujenzi wa Taifa letu.

Ikumbukwe ya kuwa mtumishi huyu wa Mungu anaifahamu sana CHADEMA.na ndio maana anaongea vitu vya ukweli na uhalisia kabisa juu ya utapeli uliopo na kujaa ndani ya CHADEMA.ikumbukwe na kufahamika ya kuwa huyu ni Mtumishi wa Mungu ambaye hawezi kudanganya wala kusema uongo juu ya kile kilichopo ndani CHADEMA,maana Mtumishi wa Mungu ni Mwenye hofu ya Mungu na ndio maana ameona asiendelee na dhambi ya kuwadanganya na kuwapoteza watu kuwa waiamini CHADEMA.ndio maana ameona aepuke dhambi hiyo kwa kuondoka CHADEMA na kujiunga na CCM chama kilichobeba matumaini ya mamilioni ya watanzania.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Ngoma ikilia sana mwisho hupasuka
 
Ndugu zangu Watanzania,

Mtumishi wa Mungu Mchungaji peter Msigwa ambaye kwa sasa ni kada mtiifu na Mzalendo kwa chama cha Mapinduzi na ambaye anajutia uamuzi wake wa kupoteza nguvu zake na muda wake wa miaka takriban 20 kuwa ndani ya CHADEMA.

Amsema kuwa CHADEMA ni Sacco's ya mtu ,ambapo hata maamuzi yanafanywa na kumtegemea mtu mmoja.akiendelea kuichana chana CHADEMA ameendelea kusema ya kuwa ni chama kilichojaa utapeli kwa kuwahadaa wananchi kuwa kimejaa na kupigania demokrasia,haki na uhuru ,jambo ambalo siyo la kweli na mambo hayo hayapo wala kufanyika ndani ya CHADEMA.

Soma Pia Mchungaji Msigwa: Nitazunguka Nchi nzima kuelezea Uongo wa CHADEMA

Mtumishi huyo Wa Mungu ameendelea kusema Kuwa CHADEMA haina uhalali wa kuikosoa wala kuishambulia CCM kwa jambo lolote lile .akasema yeye kama mtumishi wa Mungu Biblia inaeleza kuwa unapaswa kutoa kibanzi katika jicho lako kabla ya kumnyooshea kidole mtu Mwingine.

Mtumishi huyo wa Mungu akiwa na sura ya tabasamu na furaha na kupendeza vizuri ndani ya sare za CCM amesema ya kuwa anawasihi sana wananchi kuacha kabisa habari za kuambiwa na CHADEMA kukunja ngumi mpaka migongo yao inapinda.

Mtumishi huyo Wa Mungu akaendelea kusema kuwa kazi ya upinzani hasa CHADEMA ilikuwa ni kupinga pinga tu kila kitu.akatolea mfano kuwa Hayati Daktari Mwalimu John Pombe Joseph Magufuli alipokuwa anaanzisha ujenzi wa miradi mikubwa kama vile Bwawa la Mwalimu Nyerere,SGR pamoja na Daraja la Busisi. Wao CHADEMA na wabunge wao walikuwa wanafanya kazi ya kupinga pinga tu miradi hiyo yenye manufaa makubwa Kwa Taifa letu.

Mtumishi huyu wa Mungu ambaye anaendelea kuisambaratisha CHADEMA kanda ya Ziwa kwa kuusema ukweli mchungu juu ya ulaghai na utapeli wa CHADEMA,amewasihi sana wananchi kuiunga mkono CCM na kuunga juhudi za Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan katika ujenzi wa Taifa letu.

Ikumbukwe ya kuwa mtumishi huyu wa Mungu anaifahamu sana CHADEMA.na ndio maana anaongea vitu vya ukweli na uhalisia kabisa juu ya utapeli uliopo na kujaa ndani ya CHADEMA.ikumbukwe na kufahamika ya kuwa huyu ni Mtumishi wa Mungu ambaye hawezi kudanganya wala kusema uongo juu ya kile kilichopo ndani CHADEMA,maana Mtumishi wa Mungu ni Mwenye hofu ya Mungu na ndio maana ameona asiendelee na dhambi ya kuwadanganya na kuwapoteza watu kuwa waiamini CHADEMA.ndio maana ameona aepuke dhambi hiyo kwa kuondoka CHADEMA na kujiunga na CCM chama kilichobeba matumaini ya mamilioni ya watanzania.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Huyu tumbili Peter Msigwa amedata kichwani mwezi wa pili huu wimbo wake ni huo huo.
 
Huyu Pasta feki wenzako walikwenda na hiyo hoja tangu 2000 miaka 24 iliyopita tena wazito kuliko wewe wakakwama, wakaja na Udini ikadunda, wakaja na ya Ufisadi ndani ya chama wakakwama vilevile. Kwa hiyo hoja zako ni ZILIPENDWA.

Ndugu kama hujui upepo wa nini watanzania wanataka kusikia kwa sasa basi wewe ni Pasta FEKI usiyejua hata mistari katika vitabu vitakatifu inasemaje kuhusu Majira na Nyakati.

Utahangaika sana kijana - pesa ya CCM haijawahi kumwacha mtu salama.
 
Huyu Pasta feki wenzako walikwenda na hiyo hoja tangu 2000 miaka 24 iliyopita tena wazito kuliko wewe wakakwama, wakaja na Udini ikadunda, wakaja na ya Ufisadi ndani ya chama wakakwama vilevile. Kwa hiyo hoja zako ni ZILIPENDWA.

Ndugu kama hujui upepo wa nini watanzania wanataka kusikia kwa sasa basi wewe ni Pasta FEKI usiyejua hata mistari katika vitabu vitakatifu inasemaje kuhusu Majira na Nyakati.

Utahangaika sana kijana - pesa ya CCM haijawahi kumwacha mtu salama.
Kwani wewe huoni kuwa kwa sasa CHADEMA imepoteza muelekeo, ushawishi na kupuuzwa na watanzania? Hii ndio sababu uliona hata baada ya viongozi wake wote kutupwa ndani , wananchi waliunga mkono na kusema kuwa viongozi wa CHADEMA ni wasaka Tonge tu na wachumia tumbo na wasio na ajenda za kueleweka
 
Tumbili Peter Msigwa jana amefanya sherehe kubwa sana baada ya kupata taarifa kuwa Sugu yuko mahututi kwa kipigo alichopata toka kwa Kamishna wa Polisiccm Awadh amabaye ni IGP mtarajiwa. Hizo dollar za Dulla zimemtia kiburi na ushetani huyu tumbili.
 
Niliwahi kusema haya miaka 10 iliyopita kuwa CHADEMA ni genge la "wahuni" fulani hivi.

Mbaya zaidi sio CHADEMA tu, hata CCM pia. Kwa kifupi wanasiasa wote ni matapeli kama matapeli wengine.

Nilikwishaamua miaka mingi nyuma kamwe sitampigia kura mwanasiasa yeyote yule.

Atakayechaguliwa na achaguliwe I don't care!
 
Mwambieni Msigwa aacha kuchonga mdomo kama..... Kama ameondoka chadema atulie. Aendelee na mishe nyingine. Anajidhalilisha
 
Msigwa sasa anatumia platform ya CCM kutukana Chadema lakini siyo kufafanua sera za CCM kwa wananchi.
 
Msigwa tunajua walikulawiti na kukupiga picha kisha ukapewa hela ndiyo maana uko huko tunajua kuwa mikunjo wajuba wa uvccm wameshaikunjua . Unaongea saana lakini wenzako wanakuona wewe demu wao tu
 
Ndugu zangu Watanzania,

Mtumishi wa Mungu Mchungaji peter Msigwa ambaye kwa sasa ni kada mtiifu na Mzalendo kwa chama cha Mapinduzi na ambaye anajutia uamuzi wake wa kupoteza nguvu zake na muda wake wa miaka takriban 20 kuwa ndani ya CHADEMA.

Amsema kuwa CHADEMA ni Sacco's ya mtu ,ambapo hata maamuzi yanafanywa na kumtegemea mtu mmoja.akiendelea kuichana chana CHADEMA ameendelea kusema ya kuwa ni chama kilichojaa utapeli kwa kuwahadaa wananchi kuwa kimejaa na kupigania demokrasia,haki na uhuru ,jambo ambalo siyo la kweli na mambo hayo hayapo wala kufanyika ndani ya CHADEMA.

Soma Pia Mchungaji Msigwa: Nitazunguka Nchi nzima kuelezea Uongo wa CHADEMA

Mtumishi huyo Wa Mungu ameendelea kusema Kuwa CHADEMA haina uhalali wa kuikosoa wala kuishambulia CCM kwa jambo lolote lile .akasema yeye kama mtumishi wa Mungu Biblia inaeleza kuwa unapaswa kutoa kibanzi katika jicho lako kabla ya kumnyooshea kidole mtu Mwingine.

Mtumishi huyo wa Mungu akiwa na sura ya tabasamu na furaha na kupendeza vizuri ndani ya sare za CCM amesema ya kuwa anawasihi sana wananchi kuacha kabisa habari za kuambiwa na CHADEMA kukunja ngumi mpaka migongo yao inapinda.

Mtumishi huyo Wa Mungu akaendelea kusema kuwa kazi ya upinzani hasa CHADEMA ilikuwa ni kupinga pinga tu kila kitu.akatolea mfano kuwa Hayati Daktari Mwalimu John Pombe Joseph Magufuli alipokuwa anaanzisha ujenzi wa miradi mikubwa kama vile Bwawa la Mwalimu Nyerere,SGR pamoja na Daraja la Busisi. Wao CHADEMA na wabunge wao walikuwa wanafanya kazi ya kupinga pinga tu miradi hiyo yenye manufaa makubwa Kwa Taifa letu.

Mtumishi huyu wa Mungu ambaye anaendelea kuisambaratisha CHADEMA kanda ya Ziwa kwa kuusema ukweli mchungu juu ya ulaghai na utapeli wa CHADEMA,amewasihi sana wananchi kuiunga mkono CCM na kuunga juhudi za Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan katika ujenzi wa Taifa letu.

Ikumbukwe ya kuwa mtumishi huyu wa Mungu anaifahamu sana CHADEMA.na ndio maana anaongea vitu vya ukweli na uhalisia kabisa juu ya utapeli uliopo na kujaa ndani ya CHADEMA.ikumbukwe na kufahamika ya kuwa huyu ni Mtumishi wa Mungu ambaye hawezi kudanganya wala kusema uongo juu ya kile kilichopo ndani CHADEMA,maana Mtumishi wa Mungu ni Mwenye hofu ya Mungu na ndio maana ameona asiendelee na dhambi ya kuwadanganya na kuwapoteza watu kuwa waiamini CHADEMA.ndio maana ameona aepuke dhambi hiyo kwa kuondoka CHADEMA na kujiunga na CCM chama kilichobeba matumaini ya mamilioni ya watanzania.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Kama ulikuwa hujui, hicho unachofikiri ni chama chako cha siasa; umepuyanga vibaya!! Hicho ni kikundi tu cha wahuni wachache wanaowatumia vilaza kama nyinyi, kujineemesha.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Mtumishi wa Mungu Mchungaji peter Msigwa ambaye kwa sasa ni kada mtiifu na Mzalendo kwa chama cha Mapinduzi na ambaye anajutia uamuzi wake wa kupoteza nguvu zake na muda wake wa miaka takriban 20 kuwa ndani ya CHADEMA.

Amsema kuwa CHADEMA ni Sacco's ya mtu ,ambapo hata maamuzi yanafanywa na kumtegemea mtu mmoja.akiendelea kuichana chana CHADEMA ameendelea kusema ya kuwa ni chama kilichojaa utapeli kwa kuwahadaa wananchi kuwa kimejaa na kupigania demokrasia,haki na uhuru ,jambo ambalo siyo la kweli na mambo hayo hayapo wala kufanyika ndani ya CHADEMA.

Soma Pia Mchungaji Msigwa: Nitazunguka Nchi nzima kuelezea Uongo wa CHADEMA

Mtumishi huyo Wa Mungu ameendelea kusema Kuwa CHADEMA haina uhalali wa kuikosoa wala kuishambulia CCM kwa jambo lolote lile .akasema yeye kama mtumishi wa Mungu Biblia inaeleza kuwa unapaswa kutoa kibanzi katika jicho lako kabla ya kumnyooshea kidole mtu Mwingine.

Mtumishi huyo wa Mungu akiwa na sura ya tabasamu na furaha na kupendeza vizuri ndani ya sare za CCM amesema ya kuwa anawasihi sana wananchi kuacha kabisa habari za kuambiwa na CHADEMA kukunja ngumi mpaka migongo yao inapinda.

Mtumishi huyo Wa Mungu akaendelea kusema kuwa kazi ya upinzani hasa CHADEMA ilikuwa ni kupinga pinga tu kila kitu.akatolea mfano kuwa Hayati Daktari Mwalimu John Pombe Joseph Magufuli alipokuwa anaanzisha ujenzi wa miradi mikubwa kama vile Bwawa la Mwalimu Nyerere,SGR pamoja na Daraja la Busisi. Wao CHADEMA na wabunge wao walikuwa wanafanya kazi ya kupinga pinga tu miradi hiyo yenye manufaa makubwa Kwa Taifa letu.

Mtumishi huyu wa Mungu ambaye anaendelea kuisambaratisha CHADEMA kanda ya Ziwa kwa kuusema ukweli mchungu juu ya ulaghai na utapeli wa CHADEMA,amewasihi sana wananchi kuiunga mkono CCM na kuunga juhudi za Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan katika ujenzi wa Taifa letu.

Ikumbukwe ya kuwa mtumishi huyu wa Mungu anaifahamu sana CHADEMA.na ndio maana anaongea vitu vya ukweli na uhalisia kabisa juu ya utapeli uliopo na kujaa ndani ya CHADEMA.ikumbukwe na kufahamika ya kuwa huyu ni Mtumishi wa Mungu ambaye hawezi kudanganya wala kusema uongo juu ya kile kilichopo ndani CHADEMA,maana Mtumishi wa Mungu ni Mwenye hofu ya Mungu na ndio maana ameona asiendelee na dhambi ya kuwadanganya na kuwapoteza watu kuwa waiamini CHADEMA.ndio maana ameona aepuke dhambi hiyo kwa kuondoka CHADEMA na kujiunga na CCM chama kilichobeba matumaini ya mamilioni ya watanzania.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Lucas Mwashambwa mwambie huyo pimbi Msigwa kuwa kama yeye anaiona Chadema ni saccos basi naye ajue wale vijana wa uvccm waliotumika kumlawiti huku wakimrekodi kumshinikiza ajiunge CCM nao wanamuona yeye Msigwa kama demu wao tu. Usisahau tafadhali asifikiri hatujui mbinu iliyotumika kumlainisha. Aendelee kuchonga tu.
 
Back
Top Bottom