Unajua maana ya kujiuzulu? Pumba kabisaSalaam, Shalom!!
Tangu uhame CHADEMA kwenda CCM imekuwa ukihuburi udikteta wa Mwenyekiti Mbowe kwamba hafuati taratibu nk, nk...
Kumbe taratibu zinasema unaweza kujiuzulu bila kuandika barua?Wewe hujielewi.
Tangu lini kujiuzulu kukawa na taratibu?
Kwani Katiba na Sheria za chama zinasemaje kuhusu Utaratibu wa Makamo Mwenyekiti CCM kujiuzulu?Unajua maana ya kujiuzulu? Pumba kabisa
Kuna notice of resignation sio lazima iwe barua, inaweza kuwa email or any means of communicaionKumbe taratibu zinasema unaweza kujiuzulu bila kuandika barua?
Ndivyo Katiba ya chama imetoa Utaratibu huo?Kuna notice of resignation sio lazima iwe barua, inaweza kuwa email or any means of communicaion
Karibu CCJ ndugu.Salaam, Shalom!!
Tangu uhame CHADEMA kwenda CCM umekuwa ukihuburi udikteta wa Mwenyekiti Mbowe kwamba hafuati taratibu nk, nk...
Kwani usajili umekamilika?Karibu CCJ ndugu.
Msome tena.Taratibu utamuelewa.Wewe nae una UPUMBAVU mwingi kichwani.Sasa Msigwa ni nani hapo ccm mpaka awajibike kueleza kama kujiuzulu kwa Kinana taratibu zimefuatwa?
Muda mwingine sio lazima kupost kama hauna maudhui(content)
Kwani lazima kunifokea?Wewe nae una UPUMBAVU mwingi kichwani.Sasa Msigwa ni nani hapo ccm mpaka awajibike kueleza kama kujiuzulu kwa Kinana taratibu zimefuatwa?
Muda mwingine sio lazima kupost kama hauna maudhui(content)
Hebu check na msigwa nadhan atakua n majibu mazuri zaidNdivyo Katiba ya chama imetoa Utaratibu huo?
Labda atanijibu katika thread hii.Hebu check na msigwa nadhan atakua n majibu mazuri zaid
Tuendelee kuwa na subiraLabda atanijibu katika thread hii.
"Kujiuzulu" ndio kiswahili fasaha.Kujiuzulu bila kujidhuru.Kazi kwelikweli!🤔
Waswahili mmezoea kudekezwa kama mashoga hata pale mnapoharibu.Mimi sina na kamwe sitokua na lugha laini kwa mtu anayeleta UPUMBAVU.Kwani lazima kunifokea?
Siasa haitaki hasira. Nijibu taratibu nielewe!!
Kabisa.Na,ninasisitiza mtu awayeyote,akijiuzulu awe muangalifu asijidhuru mwili na hata nafsi yake."Kujiuzulu" ndio kiswahili fasaha.
Utter NuisanceMsome tena.Taratibu utamuelewa.