- Thread starter
- #21
Basi kunywa maji Ili utulize munkari Kwa AFYA Yako.Waswahili mmezoea kudekezwa kama mashoga hata pale mnapoharibu.Mimi sina na kamwe sitokua na lugha laini kwa mtu anayeleta UPUMBAVU.
Never.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi kunywa maji Ili utulize munkari Kwa AFYA Yako.Waswahili mmezoea kudekezwa kama mashoga hata pale mnapoharibu.Mimi sina na kamwe sitokua na lugha laini kwa mtu anayeleta UPUMBAVU.
Never.
Dah!Aiseee!Jambo moja ila tafsiri tofauti.Utter Nuisance
Wewe ndiye unatakiwa kunywa maji mengi ili yasafishe UPUMBAVU uliojaa kwenye ubongo wako.Basi kunywa maji Ili utulize munkari Kwa AFYA Yako.
Jibu HOJA, hayo mambo ya Heshima ndiyo hujaribu KAZI.Nilikuwa namheshimu mleta hoja leo ndio amenionesha yeye ni zero brain hajielewi.
Wewe umepoteza heshima kwa bandiko hovyo kama hili,umejishushia heshima.Jibu HOJA, hayo mambo ya Heshima ndiyo hujaribu KAZI.
Nape amekwenda kufufua kile chama chake?Karibu CCJ ndugu.
Karibu Kwa maoni Yako na kuboresha HOJA ikiwa Kuna mapungufu umeyaona.Wewe umepoteza heshima kwa bandiko hovyo kama hili,umejishushia heshima.
Wewe ni shoga? Kumbe huwa mnadekezwa?Waswahili mmezoea kudekezwa kama mashoga hata pale mnapoharibu.Mimi sina na kamwe sitokua na lugha laini kwa mtu anayeleta UPUMBAVU.
Never.
Je atatoboa?Nape amekwenda kufufua kile chama chake?
Kwani usajili unahitaji nini,kama maokoto yapo,mali watu ipo,miundo msingi ipo.Nia ipo,nguvu ipo.Nini kimesalia?Kwani usajili umekamilika?
Muda uliopo unatosha kukijenga chama kuelekea uchaguzi, au watajipanga Kwa ajili ya 2030?Kwani usajili unahitaji nini,kama maokoto yapo,mali watu ipo,miundo msingi ipo.Nia ipo,nguvu ipo.Nini kimesalia?
30 mbali mno tuna uchu kama yule mnyama wa madoa doa.Muda uliopo unatosha kukijenga chama kuelekea uchaguzi, au watajipanga Kwa ajili ya 2030?
MBona ukali kama wote utafikiri anasemwa mjomba hapa.Nilikuwa namheshimu mleta hoja leo ndio amenionesha yeye ni zero brain hajielewi.
Mkuu ni hii thread au Kuna mahali mlishapishana?Wewe ndiye unatakiwa kunywa maji mengi ili yasafishe UPUMBAVU uliojaa kwenye ubongo wako.
Kuachika ni shughuri, muda wote anakumbukia mitekenyo ya kwenye 6by6.Salaam, Shalom!!
Tangu uhame CHADEMA kwenda CCM umekuwa ukihuburi udikteta wa Mwenyekiti Mbowe kwamba hafuati taratibu nk, nk.
Muda uliokaa CCM nadhani umekwishasoma Katiba, Ilani na Sheria na taratibu za chama na kuzielewa,
Swali: Ndugu Msigwa, kujiuzulu Kwa Makamo Mwenyekiti wa Chama chako CCM, taratibu zimefuatwa?
Ikiwa taratibu hazikufuatwa, unaonaje ukihama tena CCM kutafuta chama kingine?
Karibuni Kwa maoni 🙏
Kama mkt kamfukuza Makamo kinyemela, basi Msigwa ahame chama mara Moja ikiwa Kweli alikwenda CCM kusaka DEMOKRASIA ya Kweli.kwani Msigwa hajui? Njaa tu Msigwa ndio inayomsumbua.
Hawa jamaa Kwa povu Hilo, tungekuwa live kwenye mdahalo wangerusha ngumi😀MBona ukali kama wote utafikiri anasemwa mjomba hapa.