Pre GE2025 Mchungaji Peter Msigwa, taratibu zimefuatwa kujiuzulu Kwa Mzee Kinana?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kwani usajili unahitaji nini,kama maokoto yapo,mali watu ipo,miundo msingi ipo.Nia ipo,nguvu ipo.Nini kimesalia?
Muda uliopo unatosha kukijenga chama kuelekea uchaguzi, au watajipanga Kwa ajili ya 2030?
 
Kuachika ni shughuri, muda wote anakumbukia mitekenyo ya kwenye 6by6.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…