Pre GE2025 Mchungaji Peter Msigwa: Tunazima zote tunawasha Kijani

Pre GE2025 Mchungaji Peter Msigwa: Tunazima zote tunawasha Kijani

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Lucas Mwashambwa

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2022
Posts
28,722
Reaction score
20,610
Ndugu zangu Watanzania,

Soma Mwenyewe alichoandika mchungaji peter Msigwa,ambaye ameonekana kuwa na furaha kubwa sana tangia ameingia na kujiunga na CCM.muda wote anaonekana ni Mwenye tabasamu ,furaha na kicheko.

Tofauti na alipokuwa CHADEMA alikuwa muda wote amekunjamana sura kwa mawazo na msongo wa mawazo.Sasa ameingia CCM chama kilichojaa furaha , upendo na ushirikiano na kumfanya kuwa na tabasamu muda wote utafikiri Mwalimu ambaye watoto wamefaulu vizuri soma lake katika mtihani wa Taifa kidato cha Nne..tofauti na kule CHADEMA ambako vitoto vidogo vya Bavicha vilikuwa vikimkosea heshima Mtumishi huyu wa Mungu .
Screenshot_20240812-202121_1.jpg
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.

PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Nyasa, Mchungaji Peter Msigwa ahamia CCM
 
Ndugu zangu Watanzania,

Soma Mwenyewe alichoandika mchungaji peter Msigwa,ambaye ameonekana kuwa na furaha kubwa sana tangia ameingia na kujiunga na CCM.muda wote anaonekana ni Mwenye tabasamu ,furaha na kicheko.

Tofauti na alipokuwa CHADEMA alikuwa muda wote amekunjamana sura kwa mawazo na msongo wa mawazo.Sasa ameingia CCM chama kilichojaa furaha , upendo na ushirikiano na kumfanya kuwa na tabasamu muda wote utafikiri Mwalimu ambaye watoto wamefaulu vizuri soma lake katika mtihani wa Taifa kidato cha Nne..tofauti na kule CHADEMA ambako vitoto vidogo vya Bavicha vilikuwa vikimkosea heshima Mtumishi huyu wa Mungu .View attachment 3068090
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
USD 500,000. Alizohongwa na Abdul siyo hela ya kitoto kwa Msigwa hata ingekuwa wewe ungekuwa unakenua kenua 24/7.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Soma Mwenyewe alichoandika mchungaji peter Msigwa,ambaye ameonekana kuwa na furaha kubwa sana tangia ameingia na kujiunga na CCM.muda wote anaonekana ni Mwenye tabasamu ,furaha na kicheko.

Tofauti na alipokuwa CHADEMA alikuwa muda wote amekunjamana sura kwa mawazo na msongo wa mawazo.Sasa ameingia CCM chama kilichojaa furaha , upendo na ushirikiano na kumfanya kuwa na tabasamu muda wote utafikiri Mwalimu ambaye watoto wamefaulu vizuri soma lake katika mtihani wa Taifa kidato cha Nne..tofauti na kule CHADEMA ambako vitoto vidogo vya Bavicha vilikuwa vikimkosea heshima Mtumishi huyu wa Mungu .View attachment 3068090
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Siku hizi halindwi lkn?
 
Ndugu zangu Watanzania,

Soma Mwenyewe alichoandika mchungaji peter Msigwa,ambaye ameonekana kuwa na furaha kubwa sana tangia ameingia na kujiunga na CCM.muda wote anaonekana ni Mwenye tabasamu ,furaha na kicheko.

Tofauti na alipokuwa CHADEMA alikuwa muda wote amekunjamana sura kwa mawazo na msongo wa mawazo.Sasa ameingia CCM chama kilichojaa furaha , upendo na ushirikiano na kumfanya kuwa na tabasamu muda wote utafikiri Mwalimu ambaye watoto wamefaulu vizuri soma lake katika mtihani wa Taifa kidato cha Nne..tofauti na kule CHADEMA ambako vitoto vidogo vya Bavicha vilikuwa vikimkosea heshima Mtumishi huyu wa Mungu .View attachment 3068090
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Naona kaenda kumuangukia Msukuma asimuumbue na zile sms. Huyu ameshakuwa mtumwa.
 
Naona kaenda kumuangukia Msukuma asimuumbue na zile sms. Huyu ameshakuwa mtumwa.
Acha ujinga wako . Kwa sasa mtumishi wa Mungu amejaa amani ndani ya moyo wake baada ya kuwa kwenye chama kinachoheshimu na kumjali kila mtu.tofauti na huko CHADEMA ambako wote ni makambale.
 
Aliingia chadema na utaoiamlo,oicha zaje tunazo awena adabu
 
Acha ujinga wako . Kwa sasa mtumishi wa Mungu amejaa amani ndani ya moyo wake baada ya kuwa kwenye chama kinachoheshimu na kumjali kila mtu.tofauti na huko CHADEMA ambako wote ni makambale.
Mjinga ni wewe unayejipendekeza kwa vile umesikia amejazwa petro dollars umehamia kwake. Mtumishi wa Mungu hawezi kuwa mwongo na mnafiq kama huyo tumbili.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Soma Mwenyewe alichoandika mchungaji peter Msigwa,ambaye ameonekana kuwa na furaha kubwa sana tangia ameingia na kujiunga na CCM.muda wote anaonekana ni Mwenye tabasamu ,furaha na kicheko.

Tofauti na alipokuwa CHADEMA alikuwa muda wote amekunjamana sura kwa mawazo na msongo wa mawazo.Sasa ameingia CCM chama kilichojaa furaha , upendo na ushirikiano na kumfanya kuwa na tabasamu muda wote utafikiri Mwalimu ambaye watoto wamefaulu vizuri soma lake katika mtihani wa Taifa kidato cha Nne..tofauti na kule CHADEMA ambako vitoto vidogo vya Bavicha vilikuwa vikimkosea heshima Mtumishi huyu wa Mungu .View attachment 3068090
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Nuru haipo tena plus plastic smile
 
Back
Top Bottom