CHIEF PRIEST
JF-Expert Member
- Dec 13, 2021
- 11,635
- 21,347
Chawa mkubwa usiyekuwa na haya hata kidogo. Mwanaume kuwa hivyo siyo afya kabisa unajua uchawa na ushoga pipa na mfuniko wake.Mimi sijawahi kuwa chawa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chawa mkubwa usiyekuwa na haya hata kidogo. Mwanaume kuwa hivyo siyo afya kabisa unajua uchawa na ushoga pipa na mfuniko wake.Mimi sijawahi kuwa chawa
Ulitaka ajikoboe kama farujoni na mbeleji?Mbona anazidi kuwa mweusi sasa? ...
Confidence haipo kabisa hapo
Labda nurueliWewe ndio huna nuru.
Naona unapenda sana huo mchezo maana huishi kuutaja taja muda wote.Chawa mkubwa usiyekuwa na haya hata kidogo. Mwanaume kuwa hivyo siyo afya kabisa unajua uchawa na ushoga pipa na mfuniko wake.
Hapana tabia zako zinaashiria 🌈 ndiyo maana nakuonya kishikaji watu wengi wanakusoma hivyo,badilica unajichoresha sana. ephen_Naona unapenda sana huo mchezo maana huishi kuutaja taja muda wote.
Wewe una nafasi gani CCM kama kinamjali kila mtu? Akina Gekul wamepita juu kwa juu wakawa mawaziri. Wewe upo tu unapiga makofi unasambaza mikono au? Akina Nasari je? Akina Lijualikali je? Hebu niambie CCM imekujali vp!Acha ujinga wako . Kwa sasa mtumishi wa Mungu amejaa amani ndani ya moyo wake baada ya kuwa kwenye chama kinachoheshimu na kumjali kila mtu.tofauti na huko CHADEMA ambako wote ni makambale.
Huyu ni mshikaji wangu akitoa boko namuwakia arudi kwenye mstari,wewe kama ukiona anaharibu halafu unampa like humtendei haki. Huyu ni mwanetu lazima tumuonye.Nishakwambia kama hupendezwi na Lucas ukiona nyuzi zake jikate kushotoo😂
Tuachee!Huyu ni mshikaji wangu akitoa boko namuwakia arudi kwenye mstari,wewe kama ukiona anaharibu halafu unampa like humtendei haki. Huyu ni mwanetu lazima tumuonye.
Simuachi ng'o mpaka a behave kiume. 😉Tuachee!
Huyo ameshindikana🙌Simuachi ng'o mpaka a behave kiume. 😉
Hapana tabia zako zinaashiria 🌈 ndiyo maana nakuonya kishikaji watu wengi wanakusoma hivyo,badilica unajichoresha sana. ephen_
Umesamehewa dhambi zako zote.enenda kwa amani ya Bwana ukawahubirie watu injili na uwe mvuvi wa watu kuwatoa kutoka dhambini.waambie watu wageuke na kumgeukia Mungu kama alivyofanya Musa kugeuka na kutizama kijiti kilichokuwa kikiwaka moto lakini hakiteketei.Mungu bado anakupenda na ana makusudi na wewe kuwepo mzima hata kama bado hujitambuiHapana tabia zako zinaashiria 🌈 ndiyo maana nakuonya kishikaji watu wengi wanakusoma hivyo,badilica unajichoresha sana. ephen_
Kumbe wewe ni mchungaji🙄Umesamehewa dhambi zako zote.enenda kwa amani ya Bwana ukawahubirie watu injili na uwe mvivu wa watu kuwatoa kutoka dhambini.waambie watu wageuke na kumgeukia Mungu kama alivyofanya Musa kugeuka na kutizama kijiti kilichokuwa kikiwaka moyo lakini hakiteketea.Mungu bado nakupenda na ana makusudi na wewe kuwepo mzima hata kama bado hujitambui
Mimi ni mkulima nakula mpaka naacha kwenye sahani.au na wewe nikutumie maparachichi wakati namtumia ephen .Njaa mbaya sana
Mimi nina madhahu yangu ya jadi. Karibu upate ukombozi wa fikraUmesamehewa dhambi zako zote.enenda kwa amani ya Bwana ukawahubirie watu injili na uwe mvivu wa watu kuwatoa kutoka dhambini.waambie watu wageuke na kumgeukia Mungu kama alivyofanya Musa kugeuka na kutizama kijiti kilichokuwa kikiwaka moyo lakini hakiteketea.Mungu bado nakupenda na ana makusudi na wewe kuwepo mzima hata kama bado hujitambui
Ukivimbiwa maparachichi ndiyo unakuja kupumulia humuMimi ni mkulima nakula mpaka naacha kwenye sahani.au na wewe nikutumie maparachichi wakati namtumia ephen .
Naona umechanganyikiwa mpaka unatetemeka kuandika na kukosea. Mjue sana Mungu ndipo mema yatakapokujilia.Mungu akusaidie na kukufanya kiumbe kipya na chombo chake cha kuwahubiria wengine wokovu. Sauli alikuwa ni Muovu lakini Mungu alimbadilisha na kumfanya chombo chake cha kueneza injili.hata wewe utabadilika tu na kuwa chombo cha Bwana.Mimi nina madhahu yangu ya jadi. Karibu upate ukombozi wa fikra
kwambakubalance maumivuNilifikiri huyu jamaa ni mlemavu wa mguu tu, kumbe I was very wrong.
Msimu wa maparachichi bado?Mimi ni mkulima nakula mpaka naacha kwenye sahani.au na wewe nikutumie maparachichi wakati namtumia ephen .