Pre GE2025 Mchungaji Peter Msigwa: Tunazima zote tunawasha Kijani

Pre GE2025 Mchungaji Peter Msigwa: Tunazima zote tunawasha Kijani

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Naona umechanganyikiwa mpaka unatetemeka kuandika na kukosea. Mjue sana Mungu ndipo mema yatakapokujilia.Mungu akusaidie na kukufanya kiumbe kipya na chombo chake cha kuwahubiria wengine wokovu. Sauli alikuwa ni Muovu lakini Mungu alimbadilisha na kumfanya chombo chake cha kueneza injili.hata wewe utabadilika tu na kuwa chombo cha Bwana.
Hata wewe ni mwovu kuwa chawa wa watawala waovu ni dhambi.
 
Back
Top Bottom